Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Including you 😂5 people are here,,,,bilashaka ni walimu
Hapana🤣🤣Including you 😂
Walimu walimu walimu!!! Walimu zipo Tatu.
Nawaomba sana tena sana mjitambue, nendeni na Dunia isiwaache nyuma simnaona mnavyokuwa na matukio ya Ajabu? Matukio yenu mitaan yote ya kufedhehesha. Unaingizwaje kunyuma kwa mfano?.
Huku Namtumbo Kuna teacher kapigwa ngumi na mwanafunz kisa hataki kulipa pesa aliyokopeshwa na mwanafunz wake.
Yaani umekosa kwa kukopa unaenda kukopa kwa mwanafunz unaemfundisha Kisha unatiwa mitama na mwanafunz wako hizi si dharau
Badiliken bhnaaaa naongea kistarabu tu ebu jitambueni
Walimu walimu walimu!!! Walimu zipo Tatu.
Nawaomba sana tena sana mjitambue, nendeni na Dunia isiwaache nyuma simnaona mnavyokuwa na matukio ya Ajabu? Matukio yenu mitaan yote ya kufedhehesha. Unaingizwaje kunyuma kwa mfano?.
Huku Namtumbo Kuna teacher kapigwa ngumi na mwanafunz kisa hataki kulipa pesa aliyokopeshwa na mwanafunz wake.
Yaani umekosa kwa kukopa unaenda kukopa kwa mwanafunz unaemfundisha Kisha unatiwa mitama na mwanafunz wako hizi si dharau
Badiliken bhnaaaa naongea kistarabu tu ebu jitambueni
Kila kazi ipo na ugumu wake ila vinavyotofautisha tu changamoto na mitikasi ni mingi kwenye career hiyo. Yote kwa yote dunia inaendelea tu.
WalimuWalimu walimu walimu!!! Walimu zipo Tatu.
Nawaomba sana tena sana mjitambue, nendeni na Dunia isiwaache nyuma simnaona mnavyokuwa na matukio ya Ajabu? Matukio yenu mitaan yote ya kufedhehesha. Unaingizwaje kunyuma kwa mfano?.
Huku Namtumbo Kuna teacher kapigwa ngumi na mwanafunz kisa hataki kulipa pesa aliyokopeshwa na mwanafunz wake.
Yaani umekosa kwa kukopa unaenda kukopa kwa mwanafunz unaemfundisha Kisha unatiwa mitama na mwanafunz wako hizi si dharau
Badiliken bhnaaaa naongea kistarabu tu ebu jitambueni
View attachment 3038701
Walimu sio viumbe vya kuhurumia hata na siku na moja hawa kwenye chaguzi ndo wanatumiwa na ccm kuiba kula za wapinzani acha ccm iendelee kuwaenyesha.Walimu walimu walimu!!! Walimu zipo Tatu.
Nawaomba sana tena sana mjitambue, nendeni na Dunia isiwaache nyuma simnaona mnavyokuwa na matukio ya Ajabu? Matukio yenu mitaan yote ya kufedhehesha. Unaingizwaje kunyuma kwa mfano?.
Huku Namtumbo Kuna teacher kapigwa ngumi na mwanafunz kisa hataki kulipa pesa aliyokopeshwa na mwanafunz wake.
Yaani umekosa kwa kukopa unaenda kukopa kwa mwanafunz unaemfundisha Kisha unatiwa mitama na mwanafunz wako hizi si dharau
Badiliken bhnaaaa naongea kistarabu tu ebu jitambueni
View attachment 3038701
Umewai kukopesha mikopo mkuuu na kudai mkuuu specifically MFI, hasa mikopo ya biashara mkuuuWalimu walimu walimu!!! Walimu zipo Tatu.
Nawaomba sana tena sana mjitambue, nendeni na Dunia isiwaache nyuma simnaona mnavyokuwa na matukio ya Ajabu? Matukio yenu mitaan yote ya kufedhehesha. Unaingizwaje kunyuma kwa mfano?.
Huku Namtumbo Kuna teacher kapigwa ngumi na mwanafunz kisa hataki kulipa pesa aliyokopeshwa na mwanafunz wake.
Yaani umekosa kwa kukopa unaenda kukopa kwa mwanafunz unaemfundisha Kisha unatiwa mitama na mwanafunz wako hizi si dharau
Badiliken bhnaaaa naongea kistarabu tu ebu jitambueni
View attachment 3038701