Kwani hii ni serikali inayotarania kutufanyia kazi ss wananchi?Mama uwezo mdg mno, washauri nao wanashauri kwa uwoga
Hakuna Baraza hapo zaidi ya vichekesho, watu walio pewa nafasi huoni uwezo wao wa kufanya lolote la maana ndani ya baraza/wizara aliyo pewa
Kwa kweli kwa Lukuvi kafeli sana.Hagaya ni utopolo
Lukuvi ana shida gani?
Kabudi naye!
Tatizo upinzani hakuna watu wenye ushawishi kama enzi zile Akina dr.slaaaMasauni ni wa znz pia
naona huu mwaka spika nae atoke tu znz
Waziri mkuu nae znz!
Hivi akina Kabudi, Mkuvi na wengine hata Majaliwa
si wajitoe ccm?
Kweli hii nchi imekuwa genge sasa!
Upinzani hii ndiyo nafasi pekee ya kuingia Ikulu
huenda Mungu amejibu maombi yenu
Cha msingi mleteni mtu sahihi!
Mkuchika ndo kiboko miaka na miaka yupo [emoji16][emoji16]Ndalichako kafail kwenye elimu wamempeleka kwenye kazi akatuongezee machungu.
Sema nini hii nchi waliopata nafasi ya kuichuma wataendelea kuichuma siku zote
Lukuvi
Kabudi
Una maana hawa jamaa ni wavivu?
Kila mtu ana maoni yake...Muhimu ni uwezo wao. Hata wangekuwa wajukuu wa viongozi waliopitaNimeona mkeka wa baraza jipya la Mawaziri, unajiuliza uchaguzi umeisha au bado tupo Kwenye kampeni? Watu waliopo Kwenye baraza la Mawaziri ni watoto wa familia zilezile zinazoelekea kustaafu au zilizostaafu.
Hakuna ufanisi, ubunifu wala mikakati ndani ya baraza bali wamewekwa watu wakumsaidia Mhe. Rais kupiga kampeni kuelekea uchaguzi ujao.
Baraza la Mawaziri kwa kipindi hiki halipaswi kujazwa watu wa propaganda, inahitaji watu wakufikiri kuhusu maendeleo ya nchi yetu.
Baraza la sasa limerejesha fadhila Kwa timu Jk baada ya miaka mitano ya mateso. Naiona Tanzania maskini huko tuendako
Sahihi kabisaYana mwisho, hakuna lililo la milele,sisi watoto tuliokulia mlo mmoja wa kulamangia nasi ipo siku yetu inakuja soon, kwa sasa wacha wenye keki mzoga timu wakenue meno 32 baada ya kuminywa makende kwa miaka 5
Kabudi sawa akafie mbele kwa Lukuvi ndo kuna shida.Hagaya ni utopolo
Lukuvi ana shida gani?
Kabudi naye!
Ww punguani kweliMagufuli alijaza ndugu kuanzia baraza,hazina hadi makatibu tawala akiwemo mwanaye wa kumzaa Ruth Magufuli ambaye ni katibu tawala wilaya ya Morogoro.
Hoffman Sanga mkwe wake Magufuli katibu tawala wilaya ya Mvomero.
Dotto James katibu mkuu hazina ili kurahisisha uchotaji wa fedha bila kuulizwa.
Haya mbona hukuhoji hadi ukae kuhoji leo?
Weka la kwako,hili ni la kwake kwa kadri aonavyo linafaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hoja yako imeishia hapo? Una upeo mdogo sana mzee wangu. Ila pole sana ndo tiba yenyewe ilivyo ni lazima iambatane na maumivu makali.Ww punguani kweli
Tanzania nzima Riziwani ndiye anaijua ardhi kuliko wote?Huoni wewe ndiyo pumba? Mimi nimeuliza hao wateule wana shida gani hadi wakose sifa?
Unachotakiwa ni kujibu sio kuandika kiroja ambacho hakina fact yoyote.
Usubiri kuolewa ww dada.....[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hoja yako imeishia hapo? Una upeo mdogo sana mzee wangu. Ila pole sana ndo tiba yenyewe ilivyo ni lazima iambatane na maumivu makali.
Mimi nimekupa facts hizo sasa badala na wewe uje na facts za kukanusha badala yake unatukana. Hao wote niliowataja ndivyo walivyo ni ndugu wa nasaba na hayati.Ww punguani kweli
Upinzani upo sema mifumo yetu ya haki na utawala ndiyo haitaki kukubali kama tuna upinzani. Waangalie Zambia na Malawi wao mifumo yao na taasisi zao zilishakubali kuwa kuna upinzani na wapinzani ambao wanazo haki kama raia wengine wote na hivyo ni kuendana na utaratibu w kawaida wa kitaasisi. Hapa kwetu wakoloni wa kijani hilo kwao ni unthinkable.Tanzania hakuna upinzan