Ungeongea Kiswahili tu mkuu. Ona sasa ulivyojiaibisha!Viongozi wengi wanaotoka Zanzibar wanajali utu sana.kwa kweli wanafaa zaidi. Inaelekea unapoingia ndani zaidi kuelekea bara ndivyo wanatoka watu katili zaidi. Distance from the sea. Closer one is to the sea more humanly he become. Further one is from the sea more rude he become.
Saa nyingine inatokea. Si wajua harakati za kujifunza king'eng'e!!Ungeongea Kiswahili tu mkuu. Ona sasa ulivyojiaibisha!
Ukiondoa mambo ya imani pia naona desturi na makuzi yanachangiaSi watetei wazanzibari ila wengi ni wakarimu sana. Naona makuzi yao hasa ya kumhofu Allah yanaleta + ve impact kweny uongozi wake
Desturi yao wanaishi kiislam ndio maanaUkiondoa mambo ya imani pia naona desturi na makuzi yanachangia
Hii issue kuna siku nilijiuliza makabila mengi ya mipakani yako aggressive na selfish sana mfano mikoa kama Mara, Arusha, Kilimanjaro, Mbeya/Songwe, Kagera, Kigoma e.t.cViongozi wengi wanaotoka Zanzibar wanajali utu sana.kwa kweli wanafaa zaidi. Inaelekea unapoingia ndani zaidi kuelekea bara ndivyo wanatoka watu katili zaidi. Distance from the sea. Closer one is to the sea more humanly he become. Further one is from the sea more rude he become.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]ww jamaa umenitapeli 30000 yangu .. Tapeli mkubwa ww
Pengine Ana hamu ya kujua. Kama kakosea mrekebishe next time apangilie vizuriUngeongea Kiswahili tu mkuu. Ona sasa ulivyojiaibisha!
Yupo busy na teuzi maana ndiyo
Tunamkumbusha, kuna pesa za watumishi was umma zimekaa tu na majumba hayajaishaYupo busy na teuzi maana ndiyo anachokijua
Yeye anachojua ni kuteua. OverTunamkumbusha, kuna pesa za watumishi was umma zimekaa tu na majumba hayajaisha
Na kusema masisiemu oyeee...Yeye anachojua ni kuteua. Over
Yale maghorofa yalivyokaa bila kuisha yanaumiza, tukaze moyo yamalizwe.
Pia unaweza kuisuka Kigamboni ikawa njia ya kuifungua Dsm
Ataacha legacy akitujia na katiba mpya mengine yote ni sehemu ya majukumu tu.Yale maghorofa yalivyokaa bila kuisha yanaumiza, tukaze moyo yamalizwe.
Pia unaweza kuisuka Kigamboni ikawa njia ya kuifungua Dsm
Hayo makaratasi ya katiba yanaliwa?Ataacha legacy akitujia na katiba mpya mengine yote ni sehemu ya majukumu tu.
Kama hali mbaya mbona ameagiza ndege zingine 3? nchi ipo uchumi wa katiTumpe muda airekebishe nchi. Mnaaanzaje kutaka katiba kipindi ambacho nchi ipo vibaya?
Tumieni akili kidogo. Nchi mama ameikuta katika hali mbaya kiuchumi. Acheni aisimamishe kwanza. Ikiweza simama ndo mtakuja jadiliana mambo ya katiba.
Kwa sasa mtulie tumpe muda mama.
Watu kama wewe utafadhaika utakapoambiwa kaachiwa huru: Achana na ushabiki kupita kiasi. Hukumu haitafanyika kwa ushabiki mitandaoni na magazetini.Sabaya's mistress (hawara) katika ubora wako.
Matter core wewee!