Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

Viongozi wengi wanaotoka Zanzibar wanajali utu sana.kwa kweli wanafaa zaidi. Inaelekea unapoingia ndani zaidi kuelekea bara ndivyo wanatoka watu katili zaidi. Distance from the sea. Closer one is to the sea more humanly he become. Further one is from the sea more rude he become.
Ungeongea Kiswahili tu mkuu. Ona sasa ulivyojiaibisha!
 
Viongozi wengi wanaotoka Zanzibar wanajali utu sana.kwa kweli wanafaa zaidi. Inaelekea unapoingia ndani zaidi kuelekea bara ndivyo wanatoka watu katili zaidi. Distance from the sea. Closer one is to the sea more humanly he become. Further one is from the sea more rude he become.
Hii issue kuna siku nilijiuliza makabila mengi ya mipakani yako aggressive na selfish sana mfano mikoa kama Mara, Arusha, Kilimanjaro, Mbeya/Songwe, Kagera, Kigoma e.t.c
 
Rais Samia, ni muda muafaka kumalizia maghorofa ya NSSF Kigamboni, pia isuke Kigamboni uache legacy yako pale kwa upande wa DSM

Yale maghorofa yalivyokaa bila kuisha yanaumiza, tukaze moyo yamalizwe.

Pia unaweza kuisuka Kigamboni ikawa njia ya kuifungua Dsm
 
Yale maghorofa yalivyokaa bila kuisha yanaumiza, tukaze moyo yamalizwe.

Pia unaweza kuisuka Kigamboni ikawa njia ya kuifungua Dsm
Ataacha legacy akitujia na katiba mpya mengine yote ni sehemu ya majukumu tu.
 
Legacy gani mnataka?!! Si ameshakua mwanamke wa Kwanza kua Raisi!!!
Mnataka legacy itakayo jaza matumbo yenu! Ehh!?

Mimi bado naamini Ili nchi hii iendelee tunahitaji dictator mwenye akili hivo Ili tuweze fanikiwa katiba hii ni muhim ibaki ilivo.

Naamini mama ata. Ng'atuka au ata mpisha dictator aongoze 2025.

* Dictator ni jina anapewa kiongozi mahiri anayepingana na mifumo kandamizi iliyo wekwa Ili kudistabilise nchi za ulimwengu wa tatu, ambazo Mara zote ndo msingi wa utajiri wa nchi hizo tajiri ambazo ni wezi tangia enzi za akina explorers na missionaries.
Racism ikiwa ndo msingi hasa.

Ni wakati wa africans kuwabagua hao tumpikele ambao kimsingi ndo wezi wetu,
Na hilo linawezekana tukibaki na katiba yetu na tukimpata Raisi dictator anaeijua historia na mwenye high iq.

Caution, andiko hili lina copyright, msilitumie kwenda kuombea funds kwa ajiri ya kuendea kufifiza mapambano yetu dhidi ya wizi wa mabeberu.
 
Tumpe muda airekebishe nchi. Mnaaanzaje kutaka katiba kipindi ambacho nchi ipo vibaya?

Tumieni akili kidogo. Nchi mama ameikuta katika hali mbaya kiuchumi. Acheni aisimamishe kwanza. Ikiweza simama ndo mtakuja jadiliana mambo ya katiba.

Kwa sasa mtulie tumpe muda mama.
Kama hali mbaya mbona ameagiza ndege zingine 3? nchi ipo uchumi wa kati
 
Sabaya's mistress (hawara) katika ubora wako.

Matter core wewee!
Watu kama wewe utafadhaika utakapoambiwa kaachiwa huru: Achana na ushabiki kupita kiasi. Hukumu haitafanyika kwa ushabiki mitandaoni na magazetini.
 
Back
Top Bottom