sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,407
- 19,264
Ahahahahah kwakuwa unapitisha magendo bila tatizo! Wacha nifufue kijiwe cha usadali tu now!Mama anapiga kazi vizuri mno, anaupiga mwingi sana..
Zile bifu za kuwekeanza vikwazo na majirani ziliondoa ujjirani mwema ila saizi mama yupo kwenye nyumba basi ujirani mwema umerudi.
Mpaka 2030 petrol litre 1 itakuwa 9000Mama anapiga kazi vizuri mno,,,,anaupiga mwingi sana..
Zile bifu za kuwekeanza vikwazo na majirani ziliondoa ujjirani mwema ila saizi mama yupo kwenye nyumba basi ujirani mwema umerudi...
HahahaaaaAhahahahah kwakuwa unapitisha magendo bila tatizo! Wacha nifufue kijiwe cha usadali tu now!
Kwa upande wa kwenda na beat nakuaminia hujivungi kbs 🤣🤣🤣🤣Uongozi sio jambo lolote bali kufanya maamuzi mazito na magumu ambayo surbonates na wanaoongozwa hawawezi kuyafanya .
Kama kiongozi lazima uwe na jambo linaloelezea wewe ni nani ,una msimamo gani na umeamua gumu lipi.
Malalamiko na kutokukubaliana nawe ni jambo la kawaida sana dhidi ya kiongozi.
lakini lazima kama kiongozi uchukue upande,ufanye na kusimamia maamuzi yenye kukupa upekee.
Katika hili Mhe. Rais Samia so far has been bold enough.
Sisi tunaongozwa hatunabudi kuadapt .
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Wewe ni mfuata upepo.Kidogokidogo UTAMKUBALI TU....
Chifu Hangaya ni mtu mstaarabu sana....tatizo nchi hii ni NGUMU....NGUMU MNOOOOO
SIEMPRE CHIFU HANGAYA 🙏
Tanzania inahitaji kiongozi mkali kama MagufuliKidogokidogo UTAMKUBALI TU....
Chifu Hangaya ni mtu mstaarabu sana....tatizo nchi hii ni NGUMU....NGUMU MNOOOOO
SIEMPRE CHIFU HANGAYA [emoji120]
Sijawahi kumkataa kiongozi wa CCM....Wewe ni mfuata upepo.
hukumkubali wakati akiwa mgombea mwenza
Sijawahi kumkataa kiongozi wa CCM....
Niliutetea utawala wa JPM kama ninavyoutetea utawala huu.....
Madarasa ya ITIKADI yameniivisha hivyo.....
Siempre JMT
Sijawahi kumkataa kiongozi wa CCM....
Niliutetea utawala wa JPM kama ninavyoutetea utawala huu.....
Madarasa ya ITIKADI yameniivisha hivyo.....
Siempre JMT