Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha hizo, kesi za masheikh wa uamsho zilikuwa mahakamani mbona mlishangilia na kusema mama Samia kawatoa, ana huruma. Iweje kesi ya mbowe ndio mseme eti tuiachie mahakamaKesi iko mahakamani Kama nyinginezo.......
Rais hayuko mahakamani......
Huku mitaani mzunguko wa pesa umeanza kuonekana na mh.Samia ananoga haswa......
#Siempre JMT
Kwani anavyowaacha huru wafungwa katika sikukuu kwa kitaifa huwa ni lazima afanye hivyo?!!Acha hizo, kesi za masheikh wa uamsho zilikuwa mahakamani mbona mlishangilia na kusema mama Samia kawatoa, ana huruma. Iweje kesi ya mbowe ndio mseme eti tuiachie mahakama
😀😁😁😁Kumbe watu mitaani hawampendi Rais kwa sababu Mbowe kawekwa ndani!
Kilio kilio. Tumalize mwaka salama. Wanafamilinwengine watakula Christmas na mwaka mpya bila wenzao. Lakini Mungu yukoSauti inatosha bila shaka.
Leo ndiyo kalikoroga zaidi ni heri angekaa kimya kama hajamsikia zitto. Ugaidi na heshima wapi na wapi?Kwa mujibu wa Jarida la Sauti Kubwa rais ameambiwa na mkwe Mchengerwa na Zerro kuwa kuna watu wanamdharau hasa Mbowe
Bila kujiridhisha ana react kwa hasira
Mpuuzi wewe,Sauti inatosha bila shaka.
Na mie nimeanza kuogopaKilio kilio. Tumalize mwaka salama. Wanafamilinwengine watakula Christmas na mwaka mpya bila wenzao. Lakini Mungu yuko
Kuna jambo sio bure! Likitimia tutajua.
Inashangaza sana kwa rais kufikiria kumuachia gaidi baada ya maombi ya Zitto. Kumbe ilikua ni dharau na siyo ugaidi?Leo ndiyo kalikoroga zaidi ni heri angekaa kimya kama hajamsikia zitto. Ugaidi na heshima wapi na wapi?