Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

Hujasikia leo ikisemwa kiwanda cha leo ni matokeo ya ziara kule Misri? Hujamsikia Makala akimwomba mama aongeze zaidi safari za nje ili wawekezaji zaidi waje?

Hivyo basi, ni matunda ya ziara za awamu ya sita na siyo kujifungia kwa awamu ya tano.
kwamba hicho kiwanda kimejengwa ndani ya miezi 6?
 
Mh. Rais tunajua unayo mengi ya kufanya lkn hali zetu za kimaisha watumishi wa umma hasa kada za chini (mishahara ya nyanya) tunakufa mama ebu lichukue kama swala nyeti.

Mh. Rais. Tunavumilia ila inashindikana mama, maisha yamekuwa mzigo, ebu tuokoe watumwa wako mama

Hali ya maisha kwetu ni mbaya sana.
 
Pigeni kazi tuko tunafufua uchumi, baada ya miaka mitano mtakua wote na maisha safi.
 
Mh. Rais tunajua unayo mengi ya kufanya lkn hali zetu za kimaisha watumishi wa umma hasa kada za chini (mishahara ya nyanya) tunakufa mama ebu lichukue kama swala nyeti...
Kabisa mtumishi mwenzangu maisha yamekuwa magumu sana
 
Anaitwa mama, rais wa JMT, amir jeshi mkuu, kipenzi cha watu, Tanzanite lady, mkombozi wa watanzania,


" Mama We Love You "

IMG-20211210-WA0009.jpg
 
Mama Samia,
1. Unajua kuwa una maadui wa ile timu aliyoiacha "mwenzio"?
2. Unajua hao ndugu wa mwezio hawajaridhika Bado wewe kuwepo hapo?
3. Unajua kuwa kuna hujuma dhidi yako? Unahujumiwa nawe umejisahau.

Sasa mama umepigwa hujuma nzito, huku mtaani haunogi, wasikupambe hao wanaokubebea miavuli, wanakudanganya kulinda ugali wao. Watu wana chuki na wewe.

Fanya hivi.

(a) Mtoe FREEMAN MBOWE gerezani kupitia DPP, hapo umehujumiwa na hujashtuka(umepigwa kanyanga na wazandiki, mmoja huyo mvaa gwanda la policcm).

Ukitaka uupige mwingi, Mtoe mwenyekiti wa chama Chao hao CHADEMA na weka maridhiano nao, naapa utakuwa umeupiga mwingi.

(b) Kuna wajinga wanakuhujumu kwenye upandaji wa bidhaa, kaa chini, utafakari, una vyanzo vingi vya kupata taarifa, ila kwa hapa umepigwa.

Kidumu chama chenu Cha Mapinduzi!!!!!!!!
 
Mama Samia,
1. Unajua kuwa una maadui wa ile timu aliyoiacha "mwenzio"?
2. Unajua hao ndugu wa mwezio hawajaridhika Bado wewe kuwepo hapo?
3. Unajua kuwa kuna hujuma dhidi yako? Unahujumiwa nawe umejisahau.

Sasa mama umepigwa hujuma nzito, huku mtaani haunogi, wasikupambe hao wanaokubebea miavuli, wanakudanganya kulinda ugali wao. Watu wana chuki na wewe.

Fanya hivi.

(a) Mtoe FREEMAN MBOWE gerezani kupitia DPP, hapo umehujumiwa na hujashtuka(umepigwa kanyanga na wazandiki, mmoja huyo mvaa gwanda la policcm).

Ukitaka uupige mwingi, Mtoe mwenyekiti wa chama Chao hao CHADEMA na weka maridhiano nao, naapa utakuwa umeupiga mwingi.

(b) Kuna wajinga wanakuhujumu kwenye upandaji wa bidhaa, kaa chini, utafakari, una vyanzo vingi vya kupata taarifa, ila kwa hapa umepigwa.

Kidumu chama chenu Cha Mapinduzi!!!!!!!!
Chadomo mnaomba po

USSR
 
Mama Samia,
1. Unajua kuwa una maadui wa ile timu aliyoiacha "mwenzio"?
2. Unajua hao ndugu wa mwezio hawajaridhika Bado wewe kuwepo hapo?
3. Unajua kuwa kuna hujuma dhidi yako? Unahujumiwa nawe umejisahau.

Sasa mama umepigwa hujuma nzito, huku mtaani haunogi, wasikupambe hao wanaokubebea miavuli, wanakudanganya kulinda ugali wao. Watu wana chuki na wewe.

Fanya hivi.

(a) Mtoe FREEMAN MBOWE gerezani kupitia DPP, hapo umehujumiwa na hujashtuka(umepigwa kanyanga na wazandiki, mmoja huyo mvaa gwanda la policcm).

Ukitaka uupige mwingi, Mtoe mwenyekiti wa chama Chao hao CHADEMA na weka maridhiano nao, naapa utakuwa umeupiga mwingi.

(b) Kuna wajinga wanakuhujumu kwenye upandaji wa bidhaa, kaa chini, utafakari, una vyanzo vingi vya kupata taarifa, ila kwa hapa umepigwa.

Kidumu chama chenu Cha Mapinduzi!!!!!!!!
Hahhaaa yaani mmtishe kuwa mta andamana mapaka kieleweke kuhusu katiba na tume huru kisha nyie ndo muwe ndugu zake?

Mnataka ajitenge abaki na nyie kisha mmnyonge.

Kama manataia aje kwenu mwambieni afanye hiyo katiba na tume huru kisha hamtagombea ili amalize vipindi vyake ndo ataweza kuja kwenu na kujitenga na hao mnaowaita sukuma gang.
 
Serikali ya Mwendazake alitakiwa aiache imsaidie kazi miezi mitatu tu ya mwanzo huku akijipanga, kisha aipige chini, siyo kuendelea nayo. Sasa hakuuanika, ataendelea kuutwanga mbichi.
Huku mtaani ukweli ni kuwa raia hawamsomi!
Mengine naona ni yeye mwenyewe ndio anapanga. Anahitaji awe na akili ya aina gani kujua mbowe sio gaidi? Hata hili nalo tunasema anadanganywa?
 
Kesi iko mahakamani Kama nyinginezo.......

Rais hayuko mahakamani......

Huku mitaani mzunguko wa pesa umeanza kuonekana na mh.Samia ananoga haswa......


#Siempre JMT
 
Umeongea kimbea mbea mno, wahuni wanao mhujumu ni wale wahuni wa pwani na wababa wakambo sio sukuma gang wala team magufuli, Kali* we.
 
Mama Samia,
1. Unajua kuwa una maadui wa ile timu aliyoiacha "mwenzio"?
2. Unajua hao ndugu wa mwezio hawajaridhika Bado wewe kuwepo hapo?
3. Unajua kuwa kuna hujuma dhidi yako? Unahujumiwa nawe umejisahau.

Sasa mama umepigwa hujuma nzito, huku mtaani haunogi, wasikupambe hao wanaokubebea miavuli, wanakudanganya kulinda ugali wao. Watu wana chuki na wewe.

Fanya hivi.

(a) Mtoe FREEMAN MBOWE gerezani kupitia DPP, hapo umehujumiwa na hujashtuka(umepigwa kanyanga na wazandiki, mmoja huyo mvaa gwanda la policcm).

Ukitaka uupige mwingi, Mtoe mwenyekiti wa chama Chao hao CHADEMA na weka maridhiano nao, naapa utakuwa umeupiga mwingi.

(b) Kuna wajinga wanakuhujumu kwenye upandaji wa bidhaa, kaa chini, utafakari, una vyanzo vingi vya kupata taarifa, ila kwa hapa umepigwa.

Kidumu chama chenu Cha Mapinduzi!!!!!!!!
Hii imekaa kama blackmailing ya aina fulani. Huyo mrithi wake Rais Samia alimfunga bosi wa TRA kuanzia anaingia ikulu mpaka mwaka 2020 ndio akawaachia. Hivyo suala la Mbowe lisitumike kama njia ya kujengea hoja, sheria ifuate mkondo wake.

Kwamba wanaomchukia ni wengi ni siasa nyingine dhaifu tu. Kuna wanaompenda na wanaongezeka kadri anavyowagusa na mahitaji yao ya kila siku.

Yeye kuwepo hapo ni kwa matakwa ya hayati JPM mwenyewe, hivyo hao wanaoumia mioyo yao watatulia tu wakielewa ukubwa wa mamlaka yake na ukubwa wa kiapo kinachotokana na mamlaka hayo.
 
Back
Top Bottom