fimboyaasali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 8,617
- 8,244
Hivyo vyote vitakamilika lakini kuhusu bei maza hana control nayo. Kikwete alituahidi
1.Mkongo wa taifa ukikamika vifurushu vya internet vitapungua
2. Tukianza kuchimba gase bei ya gesi itapungua.
Bado kila kitu (bando na gesi) bei iko juu.
Je bado kukamilika hivyo vitu.?
JPM
Alisema kuwa bwawa la Nyerere likikamilika bei ya umeme itashuka
Mama yetu mpendwa tafadhali nakuomba uimalize kiu hii ya watz.
Ubarikiwe
Sent from my SM-A022F using JamiiForums mobile app
Uwekezaji wa serikali nyingi duniani ktk kukuza technologia ya mawasiliano ni mzuri na kwa dunia ya sasa ni chachu ya maendeleo.Hapo la mkongo tuu ndio linawezekana.Mama kapata pesa bil.92 huko UE kwa ajili ya mambo ya kidijitali so stay tuned next budget.
Umesema kweli tupu,Mungu akubariki,Mungu ambariki Rais wetu,Mungu ampe Rais wetu afya na uzima.
Hongera sana mama kwa kuapishwa kuwa Rais wa Sita wa Tanzania.
Sasa baada ya Tanzania kupata uzoefu wa kutosha kutokana na awamu zake za uongozi, na tukaona mazuri na mapungufu yake, na wewe pia kupata uzoefu wa kutosha chini ya Mzee Magufuli ninakuomba haya yafuatayo:
Katiba mpya ni takwa la watanzania wote sio ombi kwa ccm. Kazi ya raisi ni kusikiliza wananchi na sio vinginevyo.Hongera sana mama kwa kuapishwa kuwa Rais wa Sita wa Tanzania.
Sasa baada ya Tanzania kupata uzoefu wa kutosha kutokana na awamu zake za uongozi, na tukaona mazuri na mapungufu yake, na wewe pia kupata