Leo nimesikia Waziri wa habari akidai yakuwa hii ni serikali ya awamu ya sita,na mambo yake ni kinyume Yale ya awamu ya Tano kusema hivyo ni kutaka kuipaka matope serikali ya awamu ya Tano Ili ionekane ilikuwa mbaya sana.
Nafahamu kabsa yakuwa Nape kwa historia yake, lazima atakuwa Hana Nia njema ya serikali ya awamu ya Tano, maana ilimtumbua baada ya kumtusi Mh Rais wa awamu ile kwa kumuita mshanba na Masaki yakuwa alikuwa akitawala kishamba.
Nape alikuwa Waziri wa habari, aliyoyafanya ana tajua chini ya maelekezo ya kidume Magu leo hii anataka amvue nguo mithil yake alivyovuliwa nguo enzi hizo baada ya kumtusi.
Kama hiyo haitoshi Makamba Jr nae kupitia kwenye wizara ya nishati hasa Tanesco Huyu bwana amekuwa akitoa kauli zinazojichanganya Sana Kila uchwao hasa kuhusu kuunganishwa umeme,na kukatika kwa umeme, amefika atua anatamka wazi eti mitambo haikufanyiwa service muda mrefu kwa sababu jamaa alikuwa anaigopwa HIVi Kuna mtu aliyesoma sayansi kama mwendazake?masuala ya kukatika kwa umeme nani hasiye jua yakuwa Waziri kala dili na wauza majenereta, na Sola wamempa fungu la kufanyia kampeni mapema?kama anabisha aseme .
Kimsingi sisi Kambi ya mwendazake hatufurahiii kamwe uzalilishwaji unao fanywa na mawaziri hasa wale walio tumbuliwa na mwendazake kwa kumtusi leo hii wanaanza kumvua nguo Ili Hali hata boxa aliyozikwa nayo imeisha oza Sasa mnamvua nguo nani akamvalishe?ndugu Samia tafadhali tukumbuke team magu maana na wewe ulikuwa mwenzetu ila Sasa sio wetu ila tulinde.