Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

expand...
Wandugu ambia huyo mtawala mwanamke, amuogope "MUNGU" kwani si-niyeye kwa kinywa chake? Alitamka ya kwamba atafanya mabadiliko makubwa ht yakimgharimu ki-siasa? Sasa anapambana na nani tena? Ashasahau yeye ndo alitamka?!!!! KITI alichokalia kina DAMU, uovu ni mwingi mno kwa hicho KITI... vilio juu ya hicho KITI ni-vikubwa mno vimefika hadi Mbinguni, ndo maana kila anayekalia hicho KITI mwanzoni huanza vizuri sn, lkn baada ya muda roho za uovu ndani ya hicho KITI huanza tena kutenda kazi.... swali rahisi, ni-nani kakashifu/kachambua dini ya mtu mwingine? ukweli hayupo, TEC wametoa waraka wao wamemaliza wako kimya, hizo ni sababu tu za kuhalalisha jambo fulani, sasa nasema MUNGU HADHIHAKIWI anaujua ukweli wote, nasema, bado kuna mambo MUNGU anataka kuyatenda juu ya hii Nchi, mwenye masikio na asikie..............
 
C.AG yeye kazi yake ni kuandika tu walio fanya ubadhilifu na ushauri wake uwa ni kuwa wasichukuliwe hatua wapewe nafasi ya kudhibitisha kile walichoshutumiwa.

TiSS tuseme wameshindwa je nani wa kumsaidia rais dhidi ya wezi hao anbao anawataja kila uchao anapolalamA?
 
Anayemwangusha Samia ni Samia mwenyewe hakuna mtu mwingine wa kulaumiwa.

Aliyekufa ni Magufuli watendaji wamebaki ni walewale kwa nini wamshinde?
 
Naona wanatumia nguvu kubwa sana kumpamba hizo nguvu wanayotumia si bora wangeielekeza kwenye maendeleo tu!

Mtu mwenyewe hana mvuto amepwaya nguvu ya malori ndio inatumika huko Lindi.

Kwa maajabu gani aliyonayo? Hatuna mtu pale. Uwezo wake wa kuongoza ni mdogo sana na vyeti vyake vya kuunga unga.

Ogopa sana mtu asietamani kusikia kero za watu wake kwa masikio yake mwenyewe. Ogopa sana mtu anaeamua kuwa kimya pale anapokosea ili msahau madhambi yake.

Tuna katiba la hovyo sana.
 

Kapicha kidogo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…