Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

Tunataka KIA iwe kituo kikubwa cha kusafirisha mbege duniani. Wachaga wametapakaa dunia nzima.
 
Hao mbuzi walipotoka hapo walioelekwa moja kwa moja kukwea pipa kupelekwa Kizimkazi festival.

Palikuwa hapatoshi.
 
Chadomo walipewa pesa za visima vya huko na marehemu Sabodo, walizipeleka wapi?


Nani alipewa viongozi wa CCM and wa kimila! walipewa viongozi wa CCM ambao kama kawaida yao wanafikiria matumbo kwanza. Sabodo sio serikali kule kusini Unguja kwa Mama hakuna shida ya maji ingawa ni gharama kubwa kupeleka maji kule kwasababu maji ya visima ni ya chumvi
 
Neno moja kwa Mama

MAMLAKA

Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

#SamiaAPP
#KaziIendelee
 

Attachments

  • IMG-20240830-WA0019.jpg
    107.4 KB · Views: 6
  • IMG-20240830-WA0020.jpg
    110.3 KB · Views: 5
  • 13fa5796f5364b69b7148e37ea6ce7e9.jpg
    131.3 KB · Views: 3
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…