Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

Wasanii wanachangia kiasi gani cha kodi katika uchumi wa Tanzania?
 
๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ

๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ
 
CCM imetengeneza chawa wapumbavu hadi mwenye akili timamu hawezi elewa, mnatengeneza machawa wasanii wasiojitambua wanaosubiri fadhila kutoka kwenye mamlaka halafu unatuambia uchumi bunifu?

Steven Nyerere a.k.a Steven Mengele na chawa wenzake wanaopewa nafasi ya kumsifia malkia nini tangible walichofanya kwenye uchumi wa nchi hii zaidi ya taasisi za kichawa eti mama mkanye mwanao na upuuzi mwingine?

Akina Diamond wakati wa mateso ya wasanii wenzake aliimba bora nikae kimya. Hawa ni wapumbavu wanaopewa upendeleo kwa pesa za watanzania kwa minajili ya uchawa wakati wa kampeni za uchaguzi za wizi. Period
 
Mnazidi kumuangamiza kwa sifa za kijinga na za uongo usiovalishwa nguo
 
Chawa na kazi ๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡

View: https://x.com/BloombergAfrica/status/1884864677408055360?t=HXfwf_nes6V9Q-yQGQGZTg&s=19
 
Japo amepita kwa kuungaunga kupeperusha bendera ya chama chake, kuna haja ya kumtathmini rais SSH.
Kwanza, hadi anapitishiwa kimizengwe, hakutaja hata sera moja anayolenga kuifanyia kazi.
Pili, hakutaja hata falsafa yake zaidi ya uchawa.
Tatu, hajaeleza mafanikio na maanguko yake.
Nne, kila kitu ni fichi.
Tano, hivyo, si vibaya tukaanza kumtathmini ili machawa au watu wake wamtaarifu kinachojili hapa ugani.
Naomba niwasilishe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ