Nimemsikia Rais akitumia neno naomba mara nyingi katika maongezi yake.
Nafahamu watu wa mwambao huwa na lugha ya kiuungwana sana katika mazungumzo yao lakini hii lugha haijakaa kimamlaka sana kuweka mkazo kwa watu ambao hawajazoea lugha kama hiyo kutoka kwa viongozi wao. Hivyo ni vizuri atumie maneno "Nataka" "Naagiza" "Naelekeza" "Nahitaji" "Naamuru"
Asante sana mwali, nipo mapumziko kwa siku chache.Guy, you have come back! Karibu nyumbani Mheshimiwa
Jafo yuko ICU..Huyu mama watu wasimchukulie poa. Anaonekana mpole kwa kuongea lakini kwa vitendo ni sindano inayochoma. Shauri enu mnaomchulia poa mwenzenu tayari katumbuliwa.
Tumpe mitano tenaaaaa au ?[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Tutamnyimaa ushirikiano wa kinaKwani FISIEMU wanasemaje??
Tutashukuru kwa yote mkuu, kwani kilakitubu na zama zakeWajinga hawatokuelewa
TAKUKURU inatakiwa ivunjwe kwanzaMh Raisi mama Samia anasema takukuru waangalie Kama kuna kesi za kubumba bumba wasizipeleke mahakamani
Zinaichafua serekali hongera mama kwa kutambua"wanyonge walikuwa Wana nyongwa kweli"
Kesi nyingi ni zao la kujipendekeza so dhani hata Kama hayati alikuwa anafurahia
OkayPia nakukumbusha kwakuwa mamlaka imeshikiliwa na mwanamke basi tuchague maneno ya kutumia/heshima kwa viongozi wetu,
Neno la kiswahili yaani KONGOLE hutumika kuwapongeza watu jinsia ya kiume baada ya kufanya jambo fulani kwa upande wa mwanamke, kiswahili sanifu cha kumpa sifa/kumpongeza huwa tunatumia neno HONGERA, hivyo kwenye uzi wako ungetumia neno hili kumpongeza Rais wetu kipenzi mama la mama Mama Samia Suluhu kuwa HONGERA SANA MADAM PRESIDENT.
Watu ghafla wamesahau na sasa wana presha kutetea vyeo vyao. Kweli duniani hakuna raha, ni hofu na mashaka teleJafo yuko icu..
Amuondoe DPP kwanzaAsante sana mheshimiwa raisi, Kiukweli zile kesi zina harufu kali ya uonevu