Nimemsikia Rais akitumia neno naomba mara nyingi katika maongezi yake.
Nafahamu watu wa mwambao huwa na lugha ya kiuungwana sana katika mazungumzo yao lakini hii lugha haijakaa kimamlaka sana kuweka mkazo kwa watu ambao hawajazoea lugha kama hiyo kutoka kwa viongozi wao. Hivyo ni vizuri atumie maneno "Nataka" "Naagiza" "Naelekeza" "Nahitaji" "Naamuru"
Pole pole tutaelewana tu.
Hiiiiii bagosha!