Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

Nimemsikia Rais akitumia neno naomba mara nyingi katika maongezi yake.

Nafahamu watu wa mwambao huwa na lugha ya kiuungwana sana katika mazungumzo yao lakini hii lugha haijakaa kimamlaka sana kuweka mkazo kwa watu ambao hawajazoea lugha kama hiyo kutoka kwa viongozi wao. Hivyo ni vizuri atumie maneno "Nataka" "Naagiza" "Naelekeza" "Nahitaji" "Naamuru"

Pole pole tutaelewana tu.

Hiiiiii bagosha!
 
ATCL Mkurugenzi Mkuu naamini akipona sitegemei, lazima apigwe chini, soon nimeota hapa..
 
Huyu mama watu wasimchukulie poa. Anaonekana mpole kwa kuongea lakini kwa vitendo ni sindano inayochoma. Shauri enu mnaomchulia poa mwenzenu tayari katumbuliwa.
Tumpe mitano tenaaaaa au ?[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Jafo yuko ICU..
 
Mh Raisi mama Samia anasema takukuru waangalie Kama kuna kesi za kubumba bumba wasizipeleke mahakamani

Zinaichafua serekali hongera mama kwa kutambua"wanyonge walikuwa Wana nyongwa kweli"

Kesi nyingi ni zao la kujipendekeza so dhani hata Kama hayati alikuwa anafurahia
TAKUKURU inatakiwa ivunjwe kwanza
 
Pia nakukumbusha kwakuwa mamlaka imeshikiliwa na mwanamke basi tuchague maneno ya kutumia/heshima kwa viongozi wetu,

Neno la kiswahili yaani KONGOLE hutumika kuwapongeza watu jinsia ya kiume baada ya kufanya jambo fulani kwa upande wa mwanamke, kiswahili sanifu cha kumpa sifa/kumpongeza huwa tunatumia neno HONGERA, hivyo kwenye uzi wako ungetumia neno hili kumpongeza Rais wetu kipenzi mama la mama Mama Samia Suluhu kuwa HONGERA SANA MADAM PRESIDENT.
Okay
 
It's my hope she's going to improve!!

Lakini hata hivyo nafasi hiyo ni kubwa mno hasa kwenye jamii zilizojaa mifumo dume, naamini ataboresha lugha na maneno ya kimamlaka , kwani atazoea na kupata experience, rejea pia mazingira yaliyomuweka madarakani ni ya majonzi hivyo kiubinadamu bado madam wetu President bado anamajonzi ya kuondokewa na mtangulizi wake, tumvumilie na kumpa moyo!!
 
Kuna kakitu sijakafurahia pale alipokuwa akiadress rushwa ya ngono vyuoni.
She seems unbothered
 
Seth na Rugemalila kesi yao iliishia wapi?
 
Kiongozi imara na mwenye weledi hutumia lugha ya kiungwana katika kuwasiliana na watu, kutumia lugha ya kiungwana haikufanyi uwe dhaifu na wala kutumia lugha ya kuamrisha haikufanyi uwe imara, utendaji wako wa kazi ndio kila kitu.

Mama Samia endeleza mapambano, tupo nyuma yako wazalendo.
 
Back
Top Bottom