Kumbe ilikuwa ni hivyo? Halafu ndo tunaambiwa ni raisi wa wanyonge? Na hao hao wanyonge wanaitikia na kumkubali? Kmamk wanyonge wote...Hautaki watu waajiriwe? Kwa Nini muuza nyanya mwenye mtaji wa sh 3000 alazimishwe kulipia kitambulisho Cha shilingi 20000 ndo auze mchicha?
Nyie ndo zao la majinga mlio bakia baada ya kuondoka kipenzi chenu.Hata samia afanye nini hawezi kufuta legacy ya JPM hilo namkwambia na pia hata JPM angefanya nini hawezi kufuta legacy ya JK iwe kwa mtu mmoja mmoja au kwa taifa zima Hata YESU angefanya miujiza anavyoweza hawezi kufuta legacy ya MUSA kwa wana wa ISRAEL
JPM ile ni zawadi kutoka kwa Mungu amefanya alichotumwa kwa watanzania ameondoka hata Musa mwenyewe hakufika nchi ya Ahadi japo ni yeye ndo aliwatoa Misri kuwapeleka huko ambapo wote walikuwa hawapajui kumbuka hata Musa alipata vipingamizi sana kwa hao hao aliowatoa utumwani mpka kufika kipindi akakata tamaa
Ni jambo la kawaida sana kwa binadamu kuto ridhika na kile alichonacho au kubarikiwa lakini kwa nchi alivyoipokea JPM ingeendelea vile leo tungekuwa tunanunua kiwanja majoe au chamazi miguu 20x20 kwa milioni 60
Alienda kinyume sana. Hatukutegemea kupata raisi wa ajabu kama huyo.Haya maneno yapo miaka yote hata kwa JPM yalikuwepo
Tujikumbushe
Magufuli, lipa kisasi ikibidi; historia ni mwalimu mzuri, itakulinda
MAGUFULI LIPA KISASI IKIBIDI, HISTORIA NI MWALIMU MZURI; ITAKULINDA.! By Malisa GJ, Leo nataka niwafundishe kidogo kuhusu historia na umuhimu wake. Katika historia ya Kanisa kuna maPapa waliwahi kufutwa kwenye orodha ya mapapa wanaotambulika na wakawa declared #AntiPope. Papa Felix II ni...www.jamiiforums.com
Mods habari yenuMH SAMIA, nakushauri sana ili kutngeneza legacy yako nakuonyesha hukukubalina na mtangulizi wako basi nashauri utangaze tota lock down kwa kiezi miwili kuanzia sasa ili kupambana na CORONA . Na hii itakupa heshima kubwa sana kw wapinzani,, wazungu na wanachi wa mjini..
Kila la kheri katika kutkeleza
Hajui maisha ya watanzania sisi tunatafuta chakula cha Leo afu cha kesho itajulikana hiyo kesho, watu watakufa kwa hypoglycemia mzeeUnataka watu wafe na njaaa
Acha ufala, kajifungie mwenyewe. Hiyo Corona Tanzania umeiona wapiMH SAMIA, nakushauri sana ili kutngeneza legacy yako nakuonyesha hukukubalina na mtangulizi wako basi nashauri utangaze tota lock down kwa kiezi miwili kuanzia sasa ili kupambana na CORONA . Na hii itakupa heshima kubwa sana kw wapinzani,, wazungu na wanachi wa mjini..
Kila la kheri katika kutkeleza
Usitegemee sisi TZ tuwe na Lockdown kama huko uliko! Sisi hatuna uoga wa corona kama nyinyi.MH SAMIA, nakushauri sana ili kutngeneza legacy yako nakuonyesha hukukubalina na mtangulizi wako basi nashauri utangaze tota lock down kwa kiezi miwili kuanzia sasa ili kupambana na CORONA . Na hii itakupa heshima kubwa sana kw wapinzani,, wazungu na wanachi wa mjini..
Kila la kheri katika kutkeleza
Wanataka watz wamchukie.Naona kuna trend JF ya kila mtu kujifanya ni mshauri wa nchi against mtazamo wa hayati anyway naona itaisha soon maana kilichofanyika ni kama substitution timu ni ileile japo natamani kusikia jibu kutoka upande wa pili wa timu vipi akifuata ushauri wenu 2025 mtampigia kura, au ndio mnamtega ili mnyonyoe?