Benson Mramba
JF-Expert Member
- Oct 29, 2013
- 648
- 1,485
Nampongeza sana Mama Samia Suluhu Hassan kuwa Rais wetu wa kwanza mwanamke. Hongera sana mama.
Pili hotuba yako imenipa faraja kubwa kuwa unaelewa tatizo lililokuwa linalikabili taifa chini ya Mpendwa wetu John Magufuli hususan katika suala la siasa na demokrasia.
Kwa maoni yangu tulikwama kwenye upande wa siasa na maeneo mengine kadhaa kwasababu ya hofu ya tu ya Mtangulizi wako ama yake binafsi au ya kujengewa na walinzi wake.
Ukiruhusu siasa hususan mikutano ya hadhara na ukakamilisha miradi iliyoanza hakuna wa kukushinda mbeleni. Usiruhusu hofu mama Mungu aliyekupandisha ndie pekee mwenye uwezo wa kukushusha akiamua sio mwanadamu.
Jambo lingine la muhimu ni mabadiliko ya katiba yetu. Namna ulivyopata urais ni mpango wa Mungu ila katiba hii inaweza pia Ku accommodate mipango ya Wanadamu wenye hila mbaya. Naona hakuna check and balance.
Anakufa Rais anatangaza kifo Makamu wa Rais halafu ndie yeye huyo huyo anakuwa Rais Kamili bila process yoyote ya kidemokrasia ni hatari sana kwa Rais aliyepo madarakani .
Hii ikibaki hivi inaweza kufanya watu wakateua watoto wao kuwa Makamu wa Rais kwa hofu ya kutengenezewa mazingira.
Otherwise tumepoteza Rais mtendaji mtu wa matokeo nitamkumbuka daima. Nimejifunza mengi kwake kwa faida yangu binafsi na jamii
Pili hotuba yako imenipa faraja kubwa kuwa unaelewa tatizo lililokuwa linalikabili taifa chini ya Mpendwa wetu John Magufuli hususan katika suala la siasa na demokrasia.
Kwa maoni yangu tulikwama kwenye upande wa siasa na maeneo mengine kadhaa kwasababu ya hofu ya tu ya Mtangulizi wako ama yake binafsi au ya kujengewa na walinzi wake.
Ukiruhusu siasa hususan mikutano ya hadhara na ukakamilisha miradi iliyoanza hakuna wa kukushinda mbeleni. Usiruhusu hofu mama Mungu aliyekupandisha ndie pekee mwenye uwezo wa kukushusha akiamua sio mwanadamu.
Jambo lingine la muhimu ni mabadiliko ya katiba yetu. Namna ulivyopata urais ni mpango wa Mungu ila katiba hii inaweza pia Ku accommodate mipango ya Wanadamu wenye hila mbaya. Naona hakuna check and balance.
Anakufa Rais anatangaza kifo Makamu wa Rais halafu ndie yeye huyo huyo anakuwa Rais Kamili bila process yoyote ya kidemokrasia ni hatari sana kwa Rais aliyepo madarakani .
Hii ikibaki hivi inaweza kufanya watu wakateua watoto wao kuwa Makamu wa Rais kwa hofu ya kutengenezewa mazingira.
Otherwise tumepoteza Rais mtendaji mtu wa matokeo nitamkumbuka daima. Nimejifunza mengi kwake kwa faida yangu binafsi na jamii