Tulimumu
JF-Expert Member
- Mar 11, 2013
- 14,409
- 13,262
Ushauri wangu kwa mama Samia in huu
1. Asirithi marafiki wala maadui wa JPJM. Awe makini sana. Wapo watakaoanza kujipendekeza kuwa wao ni waaminifu na bora kuliko wengine. Wko watakao taka kuonesha JPJM alikuwa mkorofi ila yeye ndiye mzuri. Waepuke sana watu hao
2. Futa kesi zote za kisiasa zilizofunguliwa wakati wa JPJM
3. To a msamaha kwa wafungwa wote waliopo magerezani kutokana na masuala ya kisiasa.
4. Ruhusu shughuli za kisiasa ziendelee kwa mujibu wa katiba. Acha vyama vya siasa ikiwemo CCM vifanye shughuli zao bila bughudha wa kuzingatia katiba na sheria ya vyama vya siasa
Pitia upya safu ya viongozi wote wa kuteuliwa kama maDAS, RAS, Wakurugenzi, DC, RC na mawaziri kuona wale ambao in wababaishaji waliopata nafasi hizo kwakujikombakomba na kujiramba ramba kwaJPJM
5. Be humble and kind
1. Asirithi marafiki wala maadui wa JPJM. Awe makini sana. Wapo watakaoanza kujipendekeza kuwa wao ni waaminifu na bora kuliko wengine. Wko watakao taka kuonesha JPJM alikuwa mkorofi ila yeye ndiye mzuri. Waepuke sana watu hao
2. Futa kesi zote za kisiasa zilizofunguliwa wakati wa JPJM
3. To a msamaha kwa wafungwa wote waliopo magerezani kutokana na masuala ya kisiasa.
4. Ruhusu shughuli za kisiasa ziendelee kwa mujibu wa katiba. Acha vyama vya siasa ikiwemo CCM vifanye shughuli zao bila bughudha wa kuzingatia katiba na sheria ya vyama vya siasa
Pitia upya safu ya viongozi wote wa kuteuliwa kama maDAS, RAS, Wakurugenzi, DC, RC na mawaziri kuona wale ambao in wababaishaji waliopata nafasi hizo kwakujikombakomba na kujiramba ramba kwaJPJM
5. Be humble and kind