Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

Well said ,mkuu
nakubaliana na mawazo ya mtoa hoja. Kinacho niuma mimi ni pale ambapo wabunge wanajadili masuala bungeni wakisahau kuwa wapo awamu ya sita na siyo ya tano. Nuhimu kuliko yote ni kufumua mfumo mzima wa ulinzi na usalama. Mle ndani kuna watu waadilifu na wacha Mungu. Bahati mbaya sana kuna watu walipenda shortcut kwa kutegemea kulindwa na mtu hao hawatufai hata kidogo. Mabeyo ni mcha Mungu atakusaidia, viongozi wadini na watanzania watukuembea usiku na mchana na mama yetu mpendwa utavuka salama. Kaa karibu na pinda ni mzalendo wa kweli na atakushauri vizuri. Usimuache mze butiku, Mzee Mkama, Mzee warioba, Mzee Lowassa, Mzee Karume, Mzee wasira hawa wana busara nyingi sana na wanaifamu historia ya nchi vizuri. Mwenyezi akulinde akujaliye afya njema na siku nyingi zenye kheri.
 
wakati mnakata mauno kwa kifo cha jpm mlidhani mtarudi kirahisi tu kukita mizizi yenu iliyong'olewa muanze kupiga upya!!!

NO meeeen,tulieni hivyo hivyo.mmemwaga kande tunabandika maharage.maharamia wakubwa.
 
Haya unayoongea yana ushahidi upi au ni just wishful thinking?
Ushahidi upo
1. Aliagiza mahabusu ambao serikali haina ushahidi waachiwe je? Wameachiwa wangapi hadi leo?
Aliagiza vyombo vya habari vilivyo fungiwa kuhuni vifunguliwe na sheria zifuatwe? Leo waziri anataka wakajiekeze kwake. Kati ya waziri na Rais nani mwenye mamlaka?
3. Wawekezaji akaunti zao zifunguliwe. Umesikia majibu ya Mwigulu na wabunge wenye akili wa darasa la saba?
Hebu tuache ushabiki, Samia Suluhu ndie Rais wetu pendeni msipende.
 
Watu unaodhani wapo na wewe hawapo na wewe,hilo ni kundi lenye itikadi ya mrengo wa kushoto.
Ni kundi Toxic,lililoathiriwa na fifth phase administration,ni kundi linaloamini Tofauti na unavyoamini wewe.
Hata namna unavyoendesha Serikali hili kundi linakupinga kimya kimya, Report ya CAG wanaamini imelenga kumchafua Hayati, wanaamini wewe ulikuwa kinyume na Hayati ndo maana CAG kaanika hayo madudu.
Kwanza hawaamini kuwa kifo cha Magufuli ni kazi ya Mungu bali wanaamini kuwa kuna hujuma imefanyika.
Hili ni kundi ambalo baadhi yao wengi Tu umewapa vyeo vikubwa.
Baadhi yao wanadiriki kusema kuwa wewe siyo CCM halisi,Eti utakuwa CHADEMA ,yote hii hawataki wala kusikia Hayati anakosolewa.
Walimuona mungu mtu asiyeweza kukosea lolote.
Hawa ndo wanajipanga kuusaka Urais 2025, ndo hawa hawa waliokuwa wanakupiga majungu usifike ili usifike hapo ulipo.
Wataalamu wa ujasusi wana slogan yao inasema,"once an enemy always an enemy".
Usitarajie hao watu wakakupenda au kukuunga mkono, Kwanza hapo walipo wamechanganyikiwa,hawajui la kufanya,hawana uwezo tu kwa sababu upo juu yao.
Ushauri wangu kwako, ni huu.
1.Ifumue TISS yote kuanzia DGS hadi chini yaani from the Top to the Bottom.
2.Teua mawaziri wapya wote sambamba na wakuu wa mikoa na wilaya.
3.Usipuuze mawazo ya wapinzani
MUHIMU
CDF aendelee kuwa Mabeyo,na hata muda wake ukiisha mwongezee,na zaidi ya yote huyu mzee mwongeze mshahara,anakufaa sana,IGP hana shida yoyote pia.
Message sent and Delivered
Mkuu uko vizuri mno. Umeleza yaliyo kweli kabisa. Maadui ni wengi mno. Imagine wale wa vikao vya kutaka kupindua meza bado wana vyeo. Mama awe makini mno. Ninaamini kuna watu wake humu wampelekee huu ujumbe ni wa ukweli. Akitaka kufanikiwa asizibe viraka bali ashone nguo yake mpya ambayo anajua imemtosha vizuri. Hao aliyorepea ameacha wafuasi na wateule kutoka makenikia ajue alifanya kosa kubwa mno.
Na aliyemshauri hivyo atakuwa kundi hilo ovu kabisa. Ajue wanaendelea kujipanga mpaka wahakikishe 2025 hawampi.

Mama tunakupenda, mama umekuwa faraja kwa kila sekta, binafsi na umma najua utaboresha. Mama unapendwa na hilo ndilo linalowauma Makenikia. Mama shtuka.
 
nakubaliana na mawazo ya mtoa hoja. Kinacho niuma mimi ni pale ambapo wabunge wanajadili masuala bungeni wakisahau kuwa wapo awamu ya sita na siyo ya tano. Nuhimu kuliko yote ni kufumua mfumo mzima wa ulinzi na usalama. Mle ndani kuna watu waadilifu na wacha Mungu. Bahati mbaya sana kuna watu walipenda shortcut kwa kutegemea kulindwa na mtu hao hawatufai hata kidogo. Mabeyo ni mcha Mungu atakusaidia, viongozi wadini na watanzania watukuembea usiku na mchana na mama yetu mpendwa utavuka salama. Kaa karibu na pinda ni mzalendo wa kweli na atakushauri vizuri. Usimuache mze butiku, Mzee Mkama, Mzee warioba, Mzee Lowassa, Mzee Karume, Mzee wasira hawa wana busara nyingi sana na wanaifamu historia ya nchi vizuri. Mwenyezi akulinde akujaliye afya njema na siku nyingi zenye kheri.
Ubarikiwe sana Mkuu. Tupige maombi. Watashindwa tu hao mafisi. Mungu ametupa Rais wetu ni lazima tumtii na kumheshimu. Asafishe nyumba yake bila kuacha hata taka isiyoonekana.
 
Watu unaodhani wapo na wewe hawapo na wewe,hilo ni kundi lenye itikadi ya mrengo wa kushoto.
Ni kundi Toxic,lililoathiriwa na fifth phase administration,ni kundi linaloamini Tofauti na unavyoamini wewe.
Hata namna unavyoendesha Serikali hili kundi linakupinga kimya kimya, Report ya CAG wanaamini imelenga kumchafua Hayati, wanaamini wewe ulikuwa kinyume na Hayati ndo maana CAG kaanika hayo madudu.
Kwanza hawaamini kuwa kifo cha Magufuli ni kazi ya Mungu bali wanaamini kuwa kuna hujuma imefanyika.
Hili ni kundi ambalo baadhi yao wengi Tu umewapa vyeo vikubwa.
Baadhi yao wanadiriki kusema kuwa wewe siyo CCM halisi,Eti utakuwa CHADEMA ,yote hii hawataki wala kusikia Hayati anakosolewa.
Walimuona mungu mtu asiyeweza kukosea lolote.
Hawa ndo wanajipanga kuusaka Urais 2025, ndo hawa hawa waliokuwa wanakupiga majungu usifike ili usifike hapo ulipo.
Wataalamu wa ujasusi wana slogan yao inasema,"once an enemy always an enemy".
Usitarajie hao watu wakakupenda au kukuunga mkono, Kwanza hapo walipo wamechanganyikiwa,hawajui la kufanya,hawana uwezo tu kwa sababu upo juu yao.
Ushauri wangu kwako, ni huu.
1.Ifumue TISS yote kuanzia DGS hadi chini yaani from the Top to the Bottom.
2.Teua mawaziri wapya wote sambamba na wakuu wa mikoa na wilaya.
3.Usipuuze mawazo ya wapinzani
MUHIMU
CDF aendelee kuwa Mabeyo,na hata muda wake ukiisha mwongezee,na zaidi ya yote huyu mzee mwongeze mshahara,anakufaa sana,IGP hana shida yoyote pia.
Message sent and Delivered
Mkuu system haifumuliwi kama kufumua shati.
Ni vizuri wawepo ili warekebishe pale walipokosea.
Bora ungelisema wavunje Bunge... 😁😁😂😃😃
 
Watu unaodhani wapo na wewe hawapo na wewe,hilo ni kundi lenye itikadi ya mrengo wa kushoto.
Ni kundi Toxic,lililoathiriwa na fifth phase administration,ni kundi linaloamini Tofauti na unavyoamini wewe.
Hata namna unavyoendesha Serikali hili kundi linakupinga kimya kimya, Report ya CAG wanaamini imelenga kumchafua Hayati, wanaamini wewe ulikuwa kinyume na Hayati ndo maana CAG kaanika hayo madudu.
Kwanza hawaamini kuwa kifo cha Magufuli ni kazi ya Mungu bali wanaamini kuwa kuna hujuma imefanyika.
Hili ni kundi ambalo baadhi yao wengi Tu umewapa vyeo vikubwa.
Baadhi yao wanadiriki kusema kuwa wewe siyo CCM halisi,Eti utakuwa CHADEMA ,yote hii hawataki wala kusikia Hayati anakosolewa.
Walimuona mungu mtu asiyeweza kukosea lolote.
Hawa ndo wanajipanga kuusaka Urais 2025, ndo hawa hawa waliokuwa wanakupiga majungu usifike ili usifike hapo ulipo.
Wataalamu wa ujasusi wana slogan yao inasema,"once an enemy always an enemy".
Usitarajie hao watu wakakupenda au kukuunga mkono, Kwanza hapo walipo wamechanganyikiwa,hawajui la kufanya,hawana uwezo tu kwa sababu upo juu yao.
Ushauri wangu kwako, ni huu.
1.Ifumue TISS yote kuanzia DGS hadi chini yaani from the Top to the Bottom.
2.Teua mawaziri wapya wote sambamba na wakuu wa mikoa na wilaya.
3.Usipuuze mawazo ya wapinzani
MUHIMU
CDF aendelee kuwa Mabeyo,na hata muda wake ukiisha mwongezee,na zaidi ya yote huyu mzee mwongeze mshahara,anakufaa sana,IGP hana shida yoyote pia.
Message sent and Delivered
Haya bhana message sent and delivered
 
wakati mnakata mauno kwa kifo cha jpm mlidhani mtarudi kirahisi tu kukita mizizi yenu iliyong'olewa muanze kupiga upya!!!

NO meeeen,tulieni hivyo hivyo.mmemwaga kande tunabandika maharage.maharamia wakubwa.
Hayo maharage utaenda kula kuzimu na wafu wako. Tanzania imeanza maisha mapya ya furaha tena. Hata nisipokuwa na sent tano kwenye wallet lakini nikiwa na furaha inatosha. Toka 17 March hakuna mtu amepigwa au kusikia amefia mahabusu kwa kipigo. Hatujasikia mtu amechukuliwa kwenye familia na asionekane tena hata mwili wake. Watu wako na uhuru hata kutumia vyombo vya habari kuongea. Enzi za yuke dikteta ni mpaka upate kibali eti uoongee. Daaaahh Tanzania ilikuwa imebadilishwa jina maana si kwa Tanzania inayojulikana dumiani.

Ila Mungu ni fundi sana.
 
Watu unaodhani wapo na wewe hawapo na wewe,hilo ni kundi lenye itikadi ya mrengo wa kushoto.
Ni kundi Toxic,lililoathiriwa na fifth phase administration,ni kundi linaloamini Tofauti na unavyoamini wewe.
Hata namna unavyoendesha Serikali hili kundi linakupinga kimya kimya, Report ya CAG wanaamini imelenga kumchafua Hayati, wanaamini wewe ulikuwa kinyume na Hayati ndo maana CAG kaanika hayo madudu.
Kwanza hawaamini kuwa kifo cha Magufuli ni kazi ya Mungu bali wanaamini kuwa kuna hujuma imefanyika.
Hili ni kundi ambalo baadhi yao wengi Tu umewapa vyeo vikubwa.
Baadhi yao wanadiriki kusema kuwa wewe siyo CCM halisi,Eti utakuwa CHADEMA ,yote hii hawataki wala kusikia Hayati anakosolewa.
Walimuona mungu mtu asiyeweza kukosea lolote.
Hawa ndo wanajipanga kuusaka Urais 2025, ndo hawa hawa waliokuwa wanakupiga majungu usifike ili usifike hapo ulipo.
Wataalamu wa ujasusi wana slogan yao inasema,"once an enemy always an enemy".
Usitarajie hao watu wakakupenda au kukuunga mkono, Kwanza hapo walipo wamechanganyikiwa,hawajui la kufanya,hawana uwezo tu kwa sababu upo juu yao.
Ushauri wangu kwako, ni huu.
1.Ifumue TISS yote kuanzia DGS hadi chini yaani from the Top to the Bottom.
2.Teua mawaziri wapya wote sambamba na wakuu wa mikoa na wilaya.
3.Usipuuze mawazo ya wapinzani
MUHIMU
CDF aendelee kuwa Mabeyo,na hata muda wake ukiisha mwongezee,na zaidi ya yote huyu mzee mwongeze mshahara,anakufaa sana,IGP hana shida yoyote pia.
Message sent and Delivered
Ushauri mzuri, mabeyo abakie ,ila kuanzia PM na mawaziri wengine ambao bado akili yao inamuwaza fisadi mwendazake atimue wote, na kwa maDC na maRC ivyoivyo
 
Dunia na vyote ni mali ya Mungu
Dunia na vyote vitapita bali neno lake ladumu hata milele!
 
Watu unaodhani wapo na wewe hawapo na wewe,hilo ni kundi lenye itikadi ya mrengo wa kushoto.
Ni kundi Toxic,lililoathiriwa na fifth phase administration,ni kundi linaloamini Tofauti na unavyoamini wewe.
Hata namna unavyoendesha Serikali hili kundi linakupinga kimya kimya, Report ya CAG wanaamini imelenga kumchafua Hayati, wanaamini wewe ulikuwa kinyume na Hayati ndo maana CAG kaanika hayo madudu.
Kwanza hawaamini kuwa kifo cha Magufuli ni kazi ya Mungu bali wanaamini kuwa kuna hujuma imefanyika.
Hili ni kundi ambalo baadhi yao wengi Tu umewapa vyeo vikubwa.
Baadhi yao wanadiriki kusema kuwa wewe siyo CCM halisi,Eti utakuwa CHADEMA ,yote hii hawataki wala kusikia Hayati anakosolewa.
Walimuona mungu mtu asiyeweza kukosea lolote.
Hawa ndo wanajipanga kuusaka Urais 2025, ndo hawa hawa waliokuwa wanakupiga majungu usifike ili usifike hapo ulipo.
Wataalamu wa ujasusi wana slogan yao inasema,"once an enemy always an enemy".
Usitarajie hao watu wakakupenda au kukuunga mkono, Kwanza hapo walipo wamechanganyikiwa,hawajui la kufanya,hawana uwezo tu kwa sababu upo juu yao.
Ushauri wangu kwako, ni huu.
1.Ifumue TISS yote kuanzia DGS hadi chini yaani from the Top to the Bottom.
2.Teua mawaziri wapya wote sambamba na wakuu wa mikoa na wilaya.
3.Usipuuze mawazo ya wapinzani
MUHIMU
CDF aendelee kuwa Mabeyo,na hata muda wake ukiisha mwongezee,na zaidi ya yote huyu mzee mwongeze mshahara,anakufaa sana,IGP hana shida yoyote pia.
Message sent and Delivered
Mawazo murua na constructive
 
Hadithi ya kuambiwa changanya na akili zako, toka lini Mama akawa "saccos" au ndio mnataka kumghilibu awaone nyinyi ndio wakombozi wake .
Safari hii mataga na gang lenu hamna pa kushika.
Mrudi kwenu burundi
 
Back
Top Bottom