4 7mbatizaji
JF-Expert Member
- Dec 8, 2019
- 8,406
- 9,619
Well said ,mkuu
nakubaliana na mawazo ya mtoa hoja. Kinacho niuma mimi ni pale ambapo wabunge wanajadili masuala bungeni wakisahau kuwa wapo awamu ya sita na siyo ya tano. Nuhimu kuliko yote ni kufumua mfumo mzima wa ulinzi na usalama. Mle ndani kuna watu waadilifu na wacha Mungu. Bahati mbaya sana kuna watu walipenda shortcut kwa kutegemea kulindwa na mtu hao hawatufai hata kidogo. Mabeyo ni mcha Mungu atakusaidia, viongozi wadini na watanzania watukuembea usiku na mchana na mama yetu mpendwa utavuka salama. Kaa karibu na pinda ni mzalendo wa kweli na atakushauri vizuri. Usimuache mze butiku, Mzee Mkama, Mzee warioba, Mzee Lowassa, Mzee Karume, Mzee wasira hawa wana busara nyingi sana na wanaifamu historia ya nchi vizuri. Mwenyezi akulinde akujaliye afya njema na siku nyingi zenye kheri.