Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

Mh Rais Samia Suluhu binadam anatabia ya kutorizika hata umpe nini, watumishi wanajipigia debe uwaongezee mishahara, madalaja, nyongeza na uwapunguzie kodi.

mimi nakuomba iyo ya kuongeza mishahara kwa watumishi wote uchakate hesabu ni shilingi ngapi itumike kutuajiri sisi ambao tumemaliza tangu 2015 tukaongeze nguvu kazi katika kuwahudumia wananchi.
Acha unaa mkuu
 
Halafu ukishaajiriwa utaomba wasiajiriwe ili hiyo fedha uongezewe mshahara sababu unafanya sana kazi na mazingira ni magumu😆
 
Mh Rais Samia Suluhu binadam anatabia ya kutorizika hata umpe nini, watumishi wanajipigia debe uwaongezee mishahara, madalaja, nyongeza na uwapunguzie kodi.

mimi nakuomba iyo ya kuongeza mishahara kwa watumishi wote uchakate hesabu ni shilingi ngapi itumike kutuajiri sisi ambao tumemaliza tangu 2015 tukaongeze nguvu kazi katika kuwahudumia wananchi.
Kwa tabia yako hiyo hufai kupata ajira ya serikali maana unaonekana hata ukiajiriwa utakuwa chanzo cha migogoro hapo ofisini kitokana na tabia yako ya uchonganishi , wivu na roho mbaya ya kwanini.
 
Mh Rais Samia Suluhu binadam anatabia ya kutorizika hata umpe nini, watumishi wanajipigia debe uwaongezee mishahara, madalaja, nyongeza na uwapunguzie kodi.

mimi nakuomba iyo ya kuongeza mishahara kwa watumishi wote uchakate hesabu ni shilingi ngapi itumike kutuajiri sisi ambao tumemaliza tangu 2015 tukaongeze nguvu kazi katika kuwahudumia wananchi.
Bora ungeomba fedha wanazolipa wabunge ndio muajiliwe nyie au fedha za kununulia ndege ndio muajiliwe nyie.
Acheni chuki binafsi
 
Hapa ndipo utajua watanzania hawana upendo wa kweli.
Hivi unakomaa kuongezewa mishahara wakati wengine hatuna hata hiyo mishahara midogo.


Eti katiba inasema.Mlikuwa wapi kuongezewa?
 
Inategemea mkuu.

Ila ingebidi ufanye utafiti kwanza je kuongezea mshahara wafanyakazi waliopo kuna athiri vipi upatikanaji wa ajira kwa wasionazo?

Je njia ya kutengeneza ajira kwa wasionazo ni kutowaongezea wafantakazi waliopo mishahara kama sheria zinavyoelekeza?
Unamwitaje mkuu kolo huyo,huyo ni sakala kabisa,yaani anataka aajiriwe yeye kwa kuwaumiza wengine,punguani kabisa huyo msomi bwege
 
Kwa tabia yako hiyo hufai kupata ajira ya serikali maana unaonekana hata ukiajiriwa utakuwa chanzo cha migogoro hapo ofisini kitokana na tabia yako ya uchonganishi , wivu na roho mbaya ya kwanini.
Mko wengi ila ndo ivyo muwafikirie na wenzenu ambao hawana
 
Mh Rais Samia Suluhu binadam anatabia ya kutorizika hata umpe nini, watumishi wanajipigia debe uwaongezee mishahara, madalaja, nyongeza na uwapunguzie kodi.

mimi nakuomba iyo ya kuongeza mishahara kwa watumishi wote uchakate hesabu ni shilingi ngapi itumike kutuajiri sisi ambao tumemaliza tangu 2015 tukaongeze nguvu kazi katika kuwahudumia wananchi.
Dogo tulia,bi mkubwa usituangushe may 1 tafadhali...
 
Roho mbaya yako ndio imekufanya hujaajiliwa hadi sasa hivi. Waliomaliza 2018 wengi wameajiliwa. Endeleza roho ya korosho tuone utafikia wapi
 
Mh Rais Samia Suluhu binadam anatabia ya kutorizika hata umpe nini, watumishi wanajipigia debe uwaongezee mishahara, madalaja, nyongeza na uwapunguzie kodi.

mimi nakuomba iyo ya kuongeza mishahara kwa watumishi wote uchakate hesabu ni shilingi ngapi itumike kutuajiri sisi ambao tumemaliza tangu 2015 tukaongeze nguvu kazi katika kuwahudumia wananchi.
Basi kama hutakiwakaongezewa,na wasio na kazi wasipate ajira,tuangalie miundo mbinu aka miundo msingi.
 
Mh Rais Samia Suluhu binadam anatabia ya kutorizika hata umpe nini, watumishi wanajipigia debe uwaongezee mishahara, madalaja, nyongeza na uwapunguzie kodi.

mimi nakuomba iyo ya kuongeza mishahara kwa watumishi wote uchakate hesabu ni shilingi ngapi itumike kutuajiri sisi ambao tumemaliza tangu 2015 tukaongeze nguvu kazi katika kuwahudumia wananchi.
Kwa hiyo ukiwasagia sumu walioajiriwa wasilipwe maslahi yao, wewe ndo utaipata hiyo ajira....yaani kwa akili hizi huwezi kuajiriwa serikalini na utaondolewa kabla ya mwaka mmoja wa kuthibitishwa kazini...na kaa ukijua huwezi kum-replace afisa mwandamizi aliye kazini zaidi ya miaka 15 na kipeperushi chako ulichotunukiwa Yohana University...
 
Kwa hiyo ukiwasagia sumu walioajiriwa wasilipwe maslahi yao, wewe ndo utaipata hiyo ajira....yaani kwa akili hizi huwezi kuajiriwa serikalini na utaondolewa kabla ya mwaka mmoja wa kuthibitishwa kazini...na kaa ukijua huwezi kum-replace afisa mwandamizi aliye kazini zaidi ya miaka 15 na kipeperushi chako ulichotunukiwa Yohana University...
Ndivyo unavyojidanganya
 
Back
Top Bottom