Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

Pale alipomwambia Jaji Mkuu watoe hukumu za haki nilionanwabunge wa Ccm nyuso zimebadilika. Akawarudia polisi na magereza naon somo limesomeka. Ile kubambika watu kesi ina elekea mwishoni sasa.
Mungu amesikia maombi ya Watanzania.
Kuna watu watakua na maisha magumu sana
 
Wabunge wa CCM wamepiga makofi leo mpaka mikono yao imebakia na malengelenge kwa ajili ya unafiki wao. Roho zimewashuka Rais SSH aliposema atakuwa akikutana na viongozi wa vyama vya kwa ajili ya mazungumzo juu ya mustakabali wa amani ya nchi yetu.
Screenshot_20210422-191808.jpg
 
Pale alipomwambia Jaji Mkuu watoe hukumu za haki nilionanwabunge wa Ccm nyuso zimebadilika. Akawarudia polisi na magereza naon somo limesomeka. Ile kubambika watu kesi ina elekea mwishoni sasa.
Mungu amesikia maombi ya Watanzania.
Mama kapiga pande zote, kama yatatekelezwa Mungu ampe maisha mrefu
 
CCM walizoea kuishi kwa urongo, ufitini, uzushi, utekaji, na kejeli.

Rais Mama Samia ameyakataa mambo haya yote na hivyo kuwaweka CCM wakose ajenda dhidi ya Upinzani. Wanatakiwa kujibu hoja kwa hoja na sio kwa mapanga.
Je wataweza?
Walizoea vya kunyonga na sasa ni mwendo wa halal,wanatafuta sehemu ya corner wafanye U turn.Wana shida siyo kidogo.
 
kwani yeye mwenyewe siyo ccm? siyo mataga?
Nae pia ni Mataga. Ila anawafundisha Mataga wenzie siasa za kistaarabu na sio zile za kejeli vijembe na matusi. Siasa hizo zimekwenda na mwendazake. Sasa hivi ni kujenga hoja. Siyo kutumiana watu wasiojulikana.
 
Anapiga mziki wa CCM wanapagawa wapinzani
Ishu siyo CCM. CCM ishakufa mbona? Ishu ni personality ya Rais. Magufuli alipotangaza kuviua vyama vya upinzani, haikuwa sera ya CCM. Ilikuwa sera ya Magu. Samia anakiri kwamba bila demokrasia na uhuru wa habari na mawazo, hatuwezi kuwa na maendeleo ya kweli. Usisahau hiyo
 
Kwani mama ni chama gani?
Hujajua kwamba CCM iko makundi mawili? Hujaona huko bungeni wabunge wa CCM wakiparuana kuonyeshana upendo kwa JPM na wengine kwa SSH hadi mama akaingilia kati kwamba hao wawili ni "kitu kimoja" ??
 
CCM walizoea kuishi kwa urongo, ufitini, uzushi, utekaji, na kejeli.

Rais Mama Samia ameyakataa mambo haya yote na hivyo kuwaweka CCM wakose ajenda dhidi ya Upinzani. Wanatakiwa kujibu hoja kwa hoja na sio kwa mapanga.
Je wataweza?
Hawatoweza.ila awakwepe akina bashite kuwapa vyeo.
 
Tuna wabunge sio wa dunia hii, kuimba, kusimama, makofi hata sehem isiyo ya makofi,alafu ukute mpaka mda huu wameisha sahau hata hotuba yenyewe
Hakuna point waliyoichukua pale, kelele za mapambio na sifa zilizidi mno. Halafu bado tuseme wanatuwakilisha wakati inabidi tujisikilizie wenyewe bila huo "uwakilishi" wao.
 
Mitandaoni kuna mambo mengi na serikali ijikite kuchukuwa mazuri kama ushauri na wakati mwingine hata rushwa tunajua kutokana na mitandao. Lakini Vilevile msipoteze muda kuwa tafuta watu ambao ni wapoyoshaji maana kwenye mitandao kuna mpaka watoto wa miaka 20 na 21 huku ambao mitandao kwao ni michezo tu ya kutumia wakati hawana la kufanya. Hivyo msipoteze pesa zetu kutafuta watu au kuzuia mitandao. Pesa za kuzui mitandao ni maana yake ni kuzuia hata mawazo mazuri maana ni sehemu hizohizo kuna mazuri na mabaya. Lakini hatuna uwezo wa China na kuwa na youtube zao na vitu kama hivyo maana wenzetu wana lugha tofauti ni rahisi. Lakini kama ni kijana wa kitanzania katukana yupo uingereza ana miaka 20 na ni raia wa uingereza mtamfanya nini? Hata kama mkimjua?!!!. Hivyo chukuweni mazuri. Mfano wa mazuri ni jinsi wasanii wetu vijana wanavyopata pesa za youtube au kufungua chanel tofauti siku tukisema tuzuie youtube kwasababu ya wale wanaosema vibaya ni kuzuia kazi, kodi, na maendeleo ya vijana wetu. Kuna channels ngapi za youtube za Watanzania!. Pesa kiasi gani vijana wamepata, show kwa wasanii kwasababu ya youtube. Tanzania imejulikana kwasababu ya youtube mfano nilikuwa simfahamu dogo janja au rosa ree mpaka youtube sikuhizi nawaangalia kila siku na wenyewe wanalipwa.
Sasa mkitoa hotuba kwamba mtawatafuta hao watu hata hawasikilizi hizo habari na haziwafikii maana sio waelewa ki hivyo!.
 
Back
Top Bottom