Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

kwani yeye mwenyewe siyo ccm? siyo mataga?
Wewe ndiyo MATAGA, Hiyo lugha ya "ni kitu kimoja" ni lugha ya siasa tu. Yeye hayuko huko. Anaongea kisiasa hamuwezi kumuelewa. Angalia matendo yake upate majibu. Jipange tu umkubali maisha yaendelee. The late is gone, and will never be back.
 
Nilijua wapiga makofi watashangilia kuwa huru kwa sababu yupo Madame ikulu now burn inaendelea kwa walopokaji 😁!!
 
Wabunge wa CCM wamepiga makofi leo mpaka mikono yao imebakia na malengelenge kwa ajili ya unafiki wao. Roho zimewashuka Rais SSH aliposema atakuwa akikutana na viongozi wa vyama vya kwa ajili ya mazungumzo juu ya mustakabali wa amani ya nchi yetu.View attachment 1760640
Video hii hapa
 

Attachments

  • VID-20210422-WA0069.mp4
    117.6 KB
Mpe muda jaribu kujiconect na nini unataka serikali hii ikutendee na wewe ukiahidi kuwa mwaminifu katika kufuata taratibu za nchi!
bado anahitaji muda kuweni wavumilivu
 
Kwa nchi za kiafrika, mwanamke kukiongoza kiti cha uraisi kwa weledi inakuwa ngumu. Kwa sababu zifuatazo,
1: Sheria za utawala ni mbovu, katiba ni duni.
2: Vitengo vya ki-usalama na nyeti vya serikali na taifa kwa asilimia kubwa vimeshikiliwa na wanaume (Jeshi, Polisi, taasisi za intelligentsia, taasisi za ujasusi, taasisi za ushushu).
3: Mihimili ya serikali (Bunge na mahakama) vimeshikiliwa na wanaume.
4: Mitazamo dume kwa wanaume (Kuwa hatuwezi kutawaliwa na mwanamke).
5: Maamuzi ya wanawake (Mfano: Mama Banda kule Malawi, ndani ya miaka miwili kaanza kusema Ziwa nyasa ni lake).

Mwisho wa siku, unakuta mwanamke kiti Cha uraisi amekalia kama pambo nchi inaongozwa na wanaume vile vile.
Pole sana. JPM is gone for ever.
 
Kuwa na chuki binafsi na mtu hata kama hajakukosea chochote ni mwanzo wa mtu kuwa mchawi. Stage zake ni chuki, kijicho, husda na hatimae uchawi.

Kwavile tayari umeamua kumchukia tu bila sababu huwezi muelewa.

Ila ukiwauliza waandishi wa habari ambao vyombo vyao vimefunguliwa baada ya kufungiwa kiuonevu, ukiwauliza Taasisi za kiraia ambazo account zao zimefunguliwa baada ya miezi kadhaa ya kuzuiliwa wao wanamuelewa analolifanya.

Angalizo: Chuki binafsi ni moja ya magonjwa makubwa sana ya nafsi jiepushe na ujikinge na gonjwa hilo
 
Sijui Kama namchukia au nimeadhirika na muziki wa mzee baba Magufuli.

Huyu mama sijui afanye nini ili nimuelewe.


Ila poa tu ngoja tuone.

Niko njiapanda kwa kweli.

Sent from my Infinix X5515 using JamiiForums mobile app
Huta shawishika kwa kuwa maslahi yako umeona yako mashakani kwani huamini katika yale anayoamini. Ili ushauri tu,neema inakuja mtazamo wako haukuwa sahihi.
 
Anatafuta kupendwa na kundi lililokiona Cha moto kipindi Cha Magufuli.

Huyu mbele ya Safari Kuna mabomu yatalipuka tu

Tusubili.

Sent from my Infinix X5515 using JamiiForums mobile app
 
Kuwa na chuki binafsi na mtu hata kama hajakukosea chochote ni mwanzo wa mtu kuwa mchawi. Stage zake ni chuki, kijicho, husda na hatimae uchawi.

Kwavile tayari umeamua kumchukia tu bila sababu huwezi muelewa.

Ila ukiwauliza waandishi wa habari ambao vyombo vyao vimefunguliwa baada ya kufungiwa kiuonevu, ukiwauliza Taasisi za kiraia ambazo account zao zimefunguliwa baada ya miezi kadhaa ya kuzuiliwa wao wanamuelewa analolifanya.

Angalizo: Chuki binafsi ni moja ya magonjwa makubwa sana ya nafsi jiepushe na ujikinge na gonjwa hilo
umeandika vema sana mkuu...ili ni jambo la kuzingatia kwakweli kama kweli unaipenda nafsi yako, inakuaje mtu hajakufanyia lolote baya afu unajikuta tu eti unamchukia..huo ni ugonjwa mbaya sana wa nafsi..
 
Back
Top Bottom