Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

Hama nchi na umwache mama arudishe nchi kwenye mstari .Hatuwezi kundesha nchi na wahuni kama hao unaowatetea hapa,Mama piga kazi,tuko wote kwa kila hali.
Baadhi munatetea mukiamini nafuu imekuja. subili tu mutaona. Yaani munategema nafuu toka CCM? CCM? Subilia abracadabra za chama hicho ndo mutajua nini maana ya kina wenyewe.
 
Sifa zilimuangusha Joyce Banda wa Malawi akitafuta kuwafurahisha wamalawi kuliko mtangulizi wake na wafadhiri hadi akaruhusu ushoga. Yuko wapi leo hii? NGO ni tofauti na nchi. Nchi haihitaji umaarufu binafsi na kusifiwa na wafadhiri, ni heshima kwa wananchi wake.

Rais wetu amemsimamisha mkuu wa wilaya kwa uchunguzi. Uchunguzi upi? Amua tu kwamba nimekuondoa kwa taarifa ulizonazo. Huyu ni afisa aliyefanyiwa vetting, ambaye kila anachokifanya kila siku kinaripotiwa na DSO ngazi za juu hadi taifa? Kumsimamisha ni uzembe na kutafuta kujulikana maana kila kitu kiko mezani kwa rais.

Rais wetu alihitaji muda wa kuifahamu nchi na makabila yake na uhusiano wetu na hata kujua yapi yalifanywa na serikali zilizopita zote, kabla hajaanza hizo papala. Uchagani kuna dhalau ya makabila yote yanayowazunguka na kwa mkuu huyu wa Wilaya, anayetokea mkoa jirani kwao wanaona hastahili kuwatawala. Ni hivyo kote! Iwe ni Shehe, Padri, Askofu, Diwani, mbunge, nk. Hawataki kabila jingine. Ooh! Njoni na matusi sasa lakini huo ndo ukweli.
Jamaa umeongea ukweli kabisa.
 
Baada ya mkuu wa wilaya ya hai kutumbuliwa tunaona wapinzani wakiwa na furaha sana je? ni lini wapinzani wamekua wema kwa chama tawala.

Itoshe kusema upinzani kamwe sio rafiki wema kwenye chama tawala na hawez kua na agenda njema kwa ccm.

Dc mstafau ole sabaya muda mrefu amekua akipambana na upinzani mkubwa sana Kwani eneo la hai ndipo pinzani kuu anatoka hivo amekua akiandamwa sana kwani alizibiti mno mambo mengi.

Wapinzani wamepiga debe sana mtu huyu kuondolewa na imekua hivo hivo. Mama yetu Rais SSH ni wazi wapinzani wanajiona washindi kwenye hili.
Sabaya sio DC mstaafu..he is a hooligan
 
Sifa zilimuangusha Joyce Banda wa Malawi akitafuta kuwafurahisha wamalawi kuliko mtangulizi wake na wafadhiri hadi akaruhusu ushoga. Yuko wapi leo hii? NGO ni tofauti na nchi. Nchi haihitaji umaarufu binafsi na kusifiwa na wafadhiri, ni heshima kwa wananchi wake.

Rais wetu amemsimamisha mkuu wa wilaya kwa uchunguzi. Uchunguzi upi? Amua tu kwamba nimekuondoa kwa taarifa ulizonazo. Huyu ni afisa aliyefanyiwa vetting, ambaye kila anachokifanya kila siku kinaripotiwa na DSO ngazi za juu hadi taifa? Kumsimamisha ni uzembe na kutafuta kujulikana maana kila kitu kiko mezani kwa rais.

Rais wetu alihitaji muda wa kuifahamu nchi na makabila yake na uhusiano wetu na hata kujua yapi yalifanywa na serikali zilizopita zote, kabla hajaanza hizo papala. Uchagani kuna dhalau ya makabila yote yanayowazunguka na kwa mkuu huyu wa Wilaya, anayetokea mkoa jirani kwao wanaona hastahili kuwatawala. Ni hivyo kote! Iwe ni Shehe, Padri, Askofu, Diwani, mbunge, nk. Hawataki kabila jingine. Ooh! Njoni na matusi sasa lakini huo ndo ukweli.
She has chosen the wrong and souring route to take to her longed destination which is vividly murky to sail in. She is creating enemies within the circle details as a timebomb to explode in backlash.
 
Sifa zilimuangusha Joyce Banda wa Malawi akitafuta kuwafurahisha wamalawi kuliko mtangulizi wake na wafadhiri hadi akaruhusu ushoga. Yuko wapi leo hii? NGO ni tofauti na nchi. Nchi haihitaji umaarufu binafsi na kusifiwa na wafadhiri, ni heshima kwa wananchi wake.

Rais wetu amemsimamisha mkuu wa wilaya kwa uchunguzi. Uchunguzi upi? Amua tu kwamba nimekuondoa kwa taarifa ulizonazo. Huyu ni afisa aliyefanyiwa vetting, ambaye kila anachokifanya kila siku kinaripotiwa na DSO ngazi za juu hadi taifa? Kumsimamisha ni uzembe na kutafuta kujulikana maana kila kitu kiko mezani kwa rais.

Rais wetu alihitaji muda wa kuifahamu nchi na makabila yake na uhusiano wetu na hata kujua yapi yalifanywa na serikali zilizopita zote, kabla hajaanza hizo papala. Uchagani kuna dhalau ya makabila yote yanayowazunguka na kwa mkuu huyu wa Wilaya, anayetokea mkoa jirani kwao wanaona hastahili kuwatawala. Ni hivyo kote! Iwe ni Shehe, Padri, Askofu, Diwani, mbunge, nk. Hawataki kabila jingine. Ooh! Njoni na matusi sasa lakini huo ndo ukweli.
Wewe ni kima.
Wakuu wa wilaya za Kilimanjaro ni wachaga? RC Mghwira ni mchaga?
 
Sifa zilimuangusha Joyce Banda wa Malawi akitafuta kuwafurahisha wamalawi kuliko mtangulizi wake na wafadhiri hadi akaruhusu ushoga. Yuko wapi leo hii? NGO ni tofauti na nchi. Nchi haihitaji umaarufu binafsi na kusifiwa na wafadhiri, ni heshima kwa wananchi wake.

Rais wetu amemsimamisha mkuu wa wilaya kwa uchunguzi. Uchunguzi upi? Amua tu kwamba nimekuondoa kwa taarifa ulizonazo. Huyu ni afisa aliyefanyiwa vetting, ambaye kila anachokifanya kila siku kinaripotiwa na DSO ngazi za juu hadi taifa? Kumsimamisha ni uzembe na kutafuta kujulikana maana kila kitu kiko mezani kwa rais.

Rais wetu alihitaji muda wa kuifahamu nchi na makabila yake na uhusiano wetu na hata kujua yapi yalifanywa na serikali zilizopita zote, kabla hajaanza hizo papala. Uchagani kuna dhalau ya makabila yote yanayowazunguka na kwa mkuu huyu wa Wilaya, anayetokea mkoa jirani kwao wanaona hastahili kuwatawala. Ni hivyo kote! Iwe ni Shehe, Padri, Askofu, Diwani, mbunge, nk. Hawataki kabila jingine. Ooh! Njoni na matusi sasa lakini huo ndo ukweli.
Unazungumziaje zile clip zake akifanya uvamizi saa nane za ucku? Au CCTV imeeditiwa nn. Uamuzi upi kafuata mitandao ambao sio sahihi au kamuonea mtu? Ile taasisi ina vyanzo vingi vya kiupelelezi, Halaf hata yeye alikua ni VP hakuna asichojua. So kaa kwa kutulia hakuna namna.
 
Acha mikwara wewe, mama Samia ndiye amiri jeshi mkuu sasa hivi, na ataongoza nchi kadri kwa style yake sio lazima amuige Magufuli, Magufuli ameshakufa.

Magufuli ali reverse vitu vingi vya Kikwete tu alivyoona havipo sawa, Mwinyi pia ali reverse vingi vya Nyerere ambavyo aliamini havipo sawa, Mkapa hivyo hivyo, Kikwete n.k
Kwa sasa Serikali inaongozwa kutokea Msoga
 
Touching is more serious than looking.
Mheshimiwa Raisi Samia achana na tabia ya kutoa mkono ,hilo ni Haramu kwa Muislamu ,na hilo wanatakiwa walijue na wengine..
 
Yuko wapi aliyekuwa Mkurugenzi wa Maabara ya Taifa ya Afya ya Jamii, Dr Nyambura MOREMI?

Ni wakati wa Gwajima kujitathimini kwenye kiti hicho.

IMG_20210517_230912.jpg
 
Nina uhakika mama akireview kesi yake atamrudisha kazını!!! The country cannot afford to lose such rare talent!
 
Back
Top Bottom