Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

Hebu tuonyeshe huo ujinga ww mwelevu basi😜! Tuweked facts zinazopingana na zilizopo hapa! Ww kila kitu kinacholetwa na mzungu kwako ni turfu eeh!
Hafanywi mtu hapa kuwa panya1000 wa majaribio! Ww kama ni panya nenda kachanjwe😠! Hata sayansi ya chanjo huijui maskini ww! Kwa uhalisia, ni makosa kuita chanjo ya majaribio huo ugoro wa covid-19! Maana siyo vaccine kama unafahamu vaccine au chanjo inavyotengenezwa na kufanya kazi! Shida ulipita darasani kwa kuibia ibia mitihani😜!
Huna lolote zaidi ya ARGUMENTUM AD HOMINEM tu....

Wakati baba yako anakupeleka kuchomwa CHANJO DHIDI YA "NDUI" ilikuwa imepitia miaka mingapi ya majaribio hapa TANZANIA ?!!!

TULIATHIRIKA nayo?!! Tupe majibu ya kitafiti kuwa chanjo hiyo imeathiri vizazi vyetu....

Kweli UJINGA MZIGO....

Mnatembelewa na mapepo vichwani na mwishowe mnakuwa na HALLUCINATIONS ,DELUSIONS na OBSESSIVE COMPULSIVE DISORDERS 🤣🤣Kweli MAJINUNI weye......
 
Wazungu walikuchanja chanjo ya "ndui" ulipokuwa mdogo je ULIPATA MADHARA?!! tulipata madhara?!!

Kwanini ionekane hivi sasa kuwa chanjo hazifai ?!!

Je CHANJO hazina mchango mkubwa duniani kupunguza UKALI WA MAGONJWA ,ULEMAVU ,UDUMAVU NA VIFO ?!!!

Ni zamu ya AFRIKA kuiletea dunia CHANJO dhidi ya UKIMWI....unawataka na wakuletee pia hiyo ?!!! Wewe na mimi kazi yetu kupiga DOMO BWAKU tu si ndio eee MZEE WA HISIA KOKO ?!!!
Hivi we una utingio wa ubongo au nini 🤔😡!? Chanjo ya ndui ilikuwa ni chanjo, ' attenuated viruses'! Hiki kituko kinachoitwa chanjo ya covid-19 siyo chanjo ni experimental human genetic engineering ww popoma 😂 khaa!
Hivyo hatukupata madhara kwa kuwa usalama wote ulizingatiwa na ulifanywa na wanasayansi wenyewe kwa lengo moja tu la kutokomeza ndui! Hiki cha sasa kina malengo mengine kabisa na hayana uhusiano na kutokomeza covid-19, ndio maana pamoja na kuchanjwa unadikia repoti za vifo vya covid-19 kwa haohao waliochanjwa! Na kimsingi, hiyo siyo chanjo😠!
 
Absolutely....he is a deluded chap...
Sayansi haina ubabaishaji ubabaishaji, atakwama tu sehemu. Atakausha malimao yote mashambani, atakula magunia yote ya tangawizi na kujibanika kwenye mvuke kama kitoweo, lakini hawezi kutibu au kuzuia Covid 19. Is this a rocket science?
 
Huna lolote zaidi ya ARGUMENTUM AD HOMINEM tu....

Wakati baba yako anakupeleka kuchomwa CHANJO DHIDI YA "NDUI" ilikuwa imepitia miaka mingapi ya majaribio hapa TANZANIA ?!!!

TULIATHIRIKA nayo?!! Tupe majibu ya kitafiti kuwa chanjo hiyo imeathiri vizazi vyetu....

Kweli UJINGA MZIGO....

Mnatembelewa na mapepo vichwani na mwishowe mnakuwa na HALLUCINATIONS ,DELUSIONS na OBSESSIVE COMPULSIVE DISORDERS 🤣🤣Kweli MAJINUNI weye......
Ngoja nisiendelee kupotesa muda na chizi ww! Umeambiwa chanjo ya ndui ilikuwa M-RNA kama ilivyo hii ya covid-19! Nenda kapokee ushoga na tabia zingine kwenye chanjo uchwara hiyo ili akili zikukae😠!
 
Hivi we una utingio wa ubongo au nini 🤔😡!? Chanjo ya ndui ilikuwa ni chanjo, ' attenuated viruses'! Hiki kituko kinachoitwa chanjo ya covid-19 siyo chanjo ni experimental human genetic engineering ww popoma 😂 khaa!
Hivyo hatukupata madhara kwa kuwa usalama wote ulizingatiwa na ulifanywa na wanasayansi wenyewe kwa lengo moja tu la kutokomeza ndui! Hiki cha sasa kina malengo mengine kabisa na hayana uhusiano na kutokomeza covid-19, ndio maana pamoja na kuchanjwa unadikia repoti za vifo vya covid-19 kwa haohao waliochanjwa! Na kimsingi, hiyo siyo chanjo😠!
Conspiracy theories tupu hobobo weee 🤣🤣

Yaani ya ndui walikuwa wataalamu ,hii ni "mashetani" 🤣🤣Kweli huna ujualo zaidi ya HISIA TU.....

Unakula processed foods kila uchao ,unatumia vilivyotengenezwa nje kila uchao....Leo iwe chanjo mbaya ya kutaka kuwamaliza WAAFRIKA Khaaaa kweli SIASA ZA KIHAYAWANI hizo 🤣🤣
 
Ngoja nisiendelee kupotesa muda na chizi ww! Umeambiwa chanjo ya ndui ilikuwa M-RNA kama ilivyo hii ya covid-19! Nenda kapokee ushoga na tabia zingine kwenye chanjo uchwara hiyo ili akili zikukae😠!
"Udheha ulikuwepo....na upo humu mitaani....umesababishwa na chanjo dhidi ya CORONA eee?!!

Wewe huna ujualo zaidi ya KUDEMKIA akili zako nusu na DELUSIONS zilizokujaa tu 🤣🤣
 
🤣🤣🤣Unajichekesha tu NDWANYE....kweli mzobomzobo wewe....

Ulifanya tafiti ipi inayoonyesha kuwa GENES za wanadamu zitaathirika vizazi na vizazi kwa kuzitumia hizo CHANJO?!!!
Ndivyo sayansi isemavyo ?!!!

Kweli wewe UMJINGA ULIYEFURUTU ADA khaaaaa.....

Kwa hiyo watoto wetu na vizazi vyao WANAATHIRIKA/WATAATHIRIKA na chanjo wapewazo KLINIKI ?!!

LETE TAFITI na si blah blah za hisia koko....
Pimbi kweli ww! Hukuna tafiti za muda mrefu zilizofanya kupinga au kuafiki hayo! Na hapo ndio kwenye shida! Cha ajabu weye unaejitiatia kuwa mwanadayansi mbobezi huoni shida hapo! Mi mtu kama nyie ni mabogas mnaotukanisha wanasayansi wanaojitambua!
Huwezi thibitisha au kukanusha kuwa madhara ya muda mrefu yatokanayo na vichanjo uchwara hivyo vya covid-19 inaweza kubadirisha vina7!
Hapo ndio penye shida, hakuna utafiti uliofanywa kuhakiki hayo!
Hivyo ndivyo wanasayansi wanaojitambua hu'argue'! Ww unayekariri bila kuelewa unapokea tu utafikiri umeshikiwa akili...aibu yako mfyuuuuuu 😡!
 
Ww endelea kukariri maneno ya kiingereza ukiamini ndio usomi wenyewe! Nenda kadungwe tu panya1000!
Ukienda kwa mganga wa kienyeji wala huulizi FORMULA ya dawa akupazo ukiwa na tatizo 🤣🤣ila hizo chanjo Leo ndio zimekuwa PANYA 1000 ha ha ha

Mbona hushangai NGURUWE kuwahi kutumika kusaidia INSULIN kwa wagonjwa wa KISUKARI ?!!!

Leo dawa nyingi tu zinatokana na GENETIC ENGINEERING...ila unademkia hizo ASTRAZENECA TU....wewe una mapepo 🤣🤣
 
"Udheha ulikuwepo....na upo humu mitaani....umesababishwa na chanjo dhidi ya CORONA eee?!!

Wewe huna ujualo zaidi ya KUDEMKIA akili zako nusu na DELUSIONS zilizokujaa tu 🤣🤣
We pungu kweli! Hebu pangua hoja kwa hoja siyo kuleta mipasho ya kike hapa mfyuuuuuu 😡!
 
Ukienda kwa mganga wa kienyeji wala huulizi FORMULA ya dawa akupazo ukiwa na tatizo 🤣🤣ila hizo chanjo Leo ndio zimekuwa PANYA 1000 ha ha ha

Mbona hushangai NGURUWE kuwahi kutumika kusaidia INSULIN kwa wagonjwa wa KISUKARI ?!!!

Leo dawa nyingi tu zinatokana na GENETIC ENGINEERING...ila unademkia hizo ASTRAZENECA TU....wewe una mapepo 🤣🤣
Usilolijua ni kama usiku wa kiza! Hiyo ya nguruwe haina uhusiano wa moja kwa moja na hii ya covid-19! M-RNA hii ww mbumbumbu 😜!
 
Pimbi kweli ww! Hukuna tafiti za muda mrefu zilizofanya kupinga au kuafiki hayo! Na hapo ndio kwenye shida! Cha ajabu weye unaejitiatia kuwa mwanadayansi mbobezi huoni shida hapo! Mi mtu kama nyie ni mabogas mnaotukanisha wanasayansi wanaojitambua!
Huwezi thibitisha au kukanusha kuwa madhara ya muda mrefu yatokanayo na vichanjo uchwara hivyo vya covid-19 inaweza kubadirisha vina7!
Hapo ndio penye shida, hakuna utafiti uliofanywa kuhakiki hayo!
Hivyo ndivyo wanasayansi wanaojitambua hu'argue'! Ww unayekariri bila kuelewa unapokea tu utafikiri umeshikiwa akili...aibu yako mfyuuuuuu 😡!
Wanasayansi wanaARGUE kila uchao....hivi baadhi ya vyakula tunavyokula una uhakika havina Madhara ya muda mrefu?!!!

Kwa hiyo baadhi ya dawa za HOSPITALI haziwezi Kusababisha Madhara ya muda mrefu hata kama zimethibitika kuponesha maradhi ?!!

Kwa hiyo hizi dawa za kienyeji TUTUMIAZO zimethibitika haziwezi nazo Kusababisha Madhara ya muda mrefu kufikia kufanya kazi katika MESSENGER RIBONUCLEIC ACID unayopigia kelele na "miayo" hapa ?!!!
 
Binafsi ninaisubiria hiyo CHANJO....wewe usichanjwe kwani utaishi milele 🤣🤣🤣
Ww panya1000 kachanjwe, binadamu tunasibiri mpaka ipite kwa panya1000, kisha nguruwe na nyani! Isipowabadirisha kuwa vituko vingine, tutasubiri ipite kwanza kwa sokwe! Na ikionekana haina madhara, tutasubiri kikundi kidogo cha binadamu wajaribiwe tuwafuatilie na vizazi vyao! Tukiona shwari, ndipo tutsjitikeza baada ya miaka 🤜🤛! Tunataka tuendelee kuishi kama binadamu! Siyo nyumbu ndani ya umbo la binadamu 😜!
 
"Mtatishwa sana ndugu zangu waTanzania, lakini simameni imara"

"Simameni imara, chanjo hazifai"

"Kama wazungu wangekuwa na uwezo wa kuleta chanjo, hata chanjo ya UKIMWI ingekuwa imeshaletwa"

"Hata chanjo ya kifua kikuu ingekuwa kifua kimeshaondoka"

"Hata chanjo ya MALARIA ingekuwa imeshapatikana"

"Hata chanjo ya KANSA ingekuwa imeshapatikana"

"Ni lazima waTanzania tuwe waangalifu, kwa mambo ya kuletewa letewa"

"Msije mkafikiria mnapendwa sana"
Haya yalikuwa maono ya nabii wa Mungu kwa watz na waafrica ulimwenguni kote! Mwenye sikio na askie🙏!
 
Ww panya1000 kachanjwe, binadamu tunasibiri mpaka ipite kwa panya1000, kisha nguruwe na nyani! Isipowabadirisha kuwa vituko vingine, tutasubiri ipite kwanza kwa sokwe! Na ikionekana haina madhara, tutasubiri kikundi kidogo cha binadamu wajaribiwe tuwafuatilie na vizazi vyao! Tukiona shwari, ndipo tutsjitikeza baada ya miaka 🤜🤛! Tunataka tuendelee kuishi kama binadamu! Siyo nyumbu ndani ya umbo la binadamu 😜!
Unajua unakuwa kama ni mgeni wa HISTORIA YA DUNIA NA MAGONJWA YA MLIPUKO...

Mfano TB ilipoanza ulaya unafahamu ilimaliza wazungu wangapi ?!! Ama nayo ilitengenezwa na wenye ILLICIT purposes ?!! 🤣🤣🤣

Kwa taarifa yako magonjwa yote ya mlipuko huwa yanatafutiwa suluhisho kwa HATUA HIZIHIZI mpaka kufikia mwisho....na ujue ya kwamba mpaka wanapokuwa wanaidhinisha matumizi ya chanjo basi kuna asilimia nyingi mno huwa ni SAFE....

Mpaka Sasa una takwimu ya vifo vya kumwaga kwa waliopewa chanjo?!!

CONSPIRACY THEORIES zimekujaa wewe mtu...🤣
 
Wanasayansi wanaARGUE kila uchao....hivi baadhi ya vyakula tunavyokula una uhakika havina Madhara ya muda mrefu?!!!

Kwa hiyo baadhi ya dawa za HOSPITALI haziwezi Kusababisha Madhara ya muda mrefu hata kama zimethibitika kuponesha maradhi ?!!

Kwa hiyo hizi dawa za kienyeji TUTUMIAZO zimethibitika haziwezi nazo Kusababisha Madhara ya muda mrefu kufikia kufanya kazi katika MESSENGER RIBONUCLEIC ACID unayopigia kelele na "miayo" hapa ?!!!
Hiyo mifano yako yote uliyotoa ipo nje ya mantiki (out of context)! Dawa zinazotumika ambazo ni synthetic zinapitia hatua zote muhimu ili kupunguza uwezekano wa kuleta madhara ya muda mrefu! Huwa kuna muda mrefu unapita zikifanyiwa majaribio kabla ya kuanza kutumika kwa binadamu! Ni miaka kadhaa hupika kabla haijafikia level ya kutumiwa na binadamu! Dawa za asili au mitishamba na matunda kama zijielezavyo ni za asili na hivyo madhara yake hayawezi kuwa ya kutisha sana maana mara nyingi ni sehemu ya vyakula vyetu! Hizo chanjo uchwara za covid-19 utenge ezaji wake sio wa asili! Na hazijapitia hatua zote muhimu za kiusalama😡! Na hivyo kuwa na uwezekano wa kuleta madhara yasiyofikirika☹️!
 
Nani wa kukulazimisha KUCHANJWA ?!!!

Umetoa mfano usiooana na uhalisia...EVA hafanani na uhalisia ULIOPO....

Mbona hukatai kumpeleka mwanao KUCHANJWA chanjo dhidi ya KIFADURO?!!

Mbona hukatai kumpeleka mwanao KUCHANJWA chanjo dhidi ya SURUA?!!

Mbona hukatai kumpeleka mwanao mdogo KUCHANJWA chanjo dhidi ya HOMA YA INI ?!!

Mbona huandamani na kuikataa chanjo apewayo mwanao dhidi ya KIFUA KIKUU ,KICHOMI ,PEPOPUNDA NA DONDA KOO ?!!
CHANJO ZOTE HIZI zinatoka hukohuko ulaya na si kwa babu yako BWENI......

Mihemko ya hisia za uzalendo koko bakini nao wenyewe.....wako watu wanasafiri kila uchao ,wako watu wanafanya kazi na Watalii...HAWA WOTE WATAKUBALI KUCHANJWA......

Binafsi ninaisubiri kwa HAMU MNO....

#Uhalisia
#SayansiSiSiasaKokoZaKizalendo
#TunaisubiriaChanjo
#StaunchSupporterOfTanzania
#DieHardFanOfSSH

Toa ujinga wako hapa. Hakuna chanjo inazuia covid mpaka sasa hivi. Hakuna.
 
Back
Top Bottom