Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

Labda wezi ndio mko salama, sisi wananchi wa kawaida hatuna ajira, maisha magumu, vifaa vya ujenzi vimepanda, bei za vyakula viko juu, pembejeo ziko juu, tozo

Hongereni.
 
Rais Samia,

....ndiyo kwanza saa 0130 am.Wala usi-panic kiongozi wetu ni mapema mno.

....nenda kwa tahadhari kubwa kwa sababu ya u-mapema huo.Na usiwaamini sana walio upande wako sasa.

Mungu ibariki Tanzania.
 
Nakumbuka Ndugai aliwahi kusema 2025 atapumzika siasa, sijui Samia hakusikia hiyo kauli.

Inawezekana yeye Samia ndie mwenye kiu na uRais 2025 zaidi ya Ndugai ni vile anajikausha tu.

Ndii sababu akakimbilia kwa wanawake wenzake kuwaambia 2025 ni zamu yao.
 
Nakumbuka Ndugai aliwahi kusema 2025 atapumzika siasa, sijui Samia hakusikia hiyo kauli.

Inawezekana yeye Samia ndie mwenye kiu na uRais 2025 zaidi ya Ndugai ni vile anajikausha tu.

Ndii sababu akakimbilia kwa wanawake wenzake kuwaambia 2025 ni zamu yao.
kama anataka urais akagombee kwao zanziba
 
Alishasema viatu vinampwaya sidhani km atakuwa anatamani kuendelea navyo..
 
Wewe mburundi bado wewe! Tunakufahamu na tunakuja kwako pia. Mnataka kukuletea siasa zenu za Burundi hapa Tanzania? Subirini muone sasa
Rais Samia,

....ndiyo kwanza saa 0130 am.Wala usi-panic kiongozi wetu ni mapema mno.

....nenda kwa tahadhari kubwa kwa sababu ya u-mapema huo.Na usiwaamini sana walio upande wako sasa.

Mungu ibariki Tanzania.
 
Nakumbuka Ndugai aliwahi kusema 2025 atapumzika siasa, sijui Samia hakusikia hiyo kauli.

Inawezekana yeye Samia ndie mwenye kiu na uRais 2025 zaidi ya Ndugai ni vile anajikausha tu.

Ndii sababu akakimbilia kwa wanawake wenzake kuwaambia 2025 ni zamu yao.
Samia aende kwa tahadhari..
Akikurupuka atajua hajui.
 
Kaa endelea kujidanganya na ushamba wako kuwa u Amir Jeshi Mkuu uliishia kwa mfu wako!


Kwa Taarifa yako Samia ni Mkuu wa Nchi, Mkuu wa Serikali na Amir Jeshi Mkuu. Endeleeni ! Hapo sijaweka cheo cha Mwenyekiti wa CCM ambacho kimuundo hakina tofauti na CCP cha China!

Endeleeni kumchukulia poa nyie washamba FC
Samia aende kwa tahadhari..
Akikurupuka atajua hajui.
i
 
Kaa endelea kujidanganya na ushamba wako kuwa u Amir Jeshi Mkuu uliishia kwa mfu wako!


Kwa Taarifa yako Samia ni Mkuu wa Nchi, Mkuu wa Serikali na Amir Jeshi Mkuu. Endeleeni ! Hapo sijaweka cheo cha Mwenyekiti wa CCM ambacho kimuundo hakina tofauti na CCP cha China!

Endeleeni kumchukulia poa nyie washamba FC

i
Magufuli aliingizwa chaka licha 20 yrs in cabinet
sembuse huyu.
 
Wewe ndio umepanic, ni wakati wakutoa wakwamishaji wote na kuweka watu watakaowaza kufanya kazi za Watanzania sio muda wote kumpinga na kumkosoa Rais.
 
Namwombea Rais wetu kwa Mungu awe na moyo wa maono maana inavyoonyesha Kuna mtafaruku unanukia, Ila sisi wananchi Tuko nyuma yako Rais wetu tuna Imani kubwa Sana na kwa uweza wake Allah utatufikisha mbali Sana
 
Wadau habari ndio hio Rais Samia amewezana anastahili kuendelea nambatiza kwa hiari yangu. "The Giant Mambas". Ubatizo wa hiari hauna nongwa.

Kazi ieendelee!!
 
1. Piga chini Ndugai.
2. Futa kesi ya Mbowe na kesi zote za kisiasa zisizo za msingi.
3. Mchakato wa kupata Katiba iwe kipaumbele kwako,
4. Zuia malipo ya wabunge wasio na sifa.
5. Mhimili mmojawapo ukikukosea hadharani usiwajibu wewe. Watume au agiza akina Ngole wa Njombe wawe kama kumi hivi.

NB: Ukimtoa Ndugai kwanza ni heshima kwa Bunge na utawaona mawaziri wengi watakaokufaa.
Kabla ya kumtoa Ndugai bado Bunge litakuwa na makundi uchwara.
 
2.Futa kesi ya Mbowe,na kesi zote za kisiasa zisizo za msingi.
3.Mchakato wa kupata Katiba iwe kipaumbele kwako,
Huyo Samia unayemtegea haya mawili si rahisi kufanya, Samia ni walewale

Angekua mpenda haki au mwanademokrasia wa kweli toka mwanzo asingembambikia Mbowe kesi na angechagiza mchakato wa katiba

So Samia ni mmoja ya wapinga demokrasia, na pia ni mmbaguzi wa kutupa anapendelea Zanzibar

Wazanzibari wenzie kawaachia ila mtanganyika Mbowe ni hapana, mfano mwingine kule Zanzibar kuna maridhiano lakini Tanganyika hakuna
 
Unachokiaona na kukisikia ni tofauti na kilichoko huko ndani ndani.

Mshauri avunje bunge labuda apata ahuweni. Ni wabunge wachache sana wako na Mama mwenyewe.
 
Back
Top Bottom