Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mnachekesha sukuma gang, avunje bunge hili tuingie kwenye uchaguzi o mkuu, mbona kumuondoa ndugai ni rahisi sanaaaaa bila kuitia Nchi hasara, huo upotoshaji wenu mumpotoshe ndugaiUnachokiaona na kukisikia ni tofauti na kilichoko huko ndani ndani.
Mshauri avunje bunge labuda apata ahuweni. Ni wabunge wachache sana wako na Mama mwenyewe.
Atakuwa na safari ndefu sana hadi ifike 2025.mnachekesha sukuma gang, avunje bunge hili tuingie kwenye uchaguzo mkuu, mbona kumuondoa ndugai ni rahisi sanaaaaa bila kuitia Nchi hasara, huo upotoshaji wenu mumpotoshe ndugai
Hivi mnajua nguvu ya Rais nyie sukuma gang, hamkuona dikteta alivyokuwa anatumia power ya Rais kipindi kileAtakuwa na safari ndefu sana hadi ifike 2025.
Hapa anamiezi tisa tu hadi sasa
Acha kumfananisha Magufuli na vitu vya ajabu ajabu.Hivi mnajua nguvu ya Rais nyie sukuma gang, hamkuona dikteta alivyokuwa anatumia power ya Rais kipindi kile
Dikteta hakuwa dhaifu kama wa Sasa, si sawa kuwafananisha.Hivi mnajua nguvu ya Rais nyie sukuma gang, hamkuona dikteta alivyokuwa anatumia power ya Rais kipindi kile
Dah....yaani Kama amepaniki hivi 🤣🤣🤣🤭Mama pia hasomeki
Dah....atafika amechoka sana🤣🤣🤣🤣🤭Atakuwa na safari ndefu sana hadi ifike 2025.
Hapa anamiezi tisa tu hadi sasa
2022 ameinza kwa kasi sana.Dah....atafika amechoka sana🤣🤣🤣🤣🤭
Sana.Anguko la ndugai ni jambo jema sana. Tunasafisha nchi.
Zuri sana maana maisha Bora kwa kila Mtanzania yamepatikana Ndugai alikuwa anatuchelewesha sana, demokrasia imetamalaki sana leoAnguko la ndugai ni jambo jema sana. Tunasafisha nchi.
Licha ya yote Bado ujatimiza ahadi yako ya kuniua kwa kuwaibia TV chogo 1988. Lazima uniue bana.Kimsingi sikuwahi kuwa mapenzi wa ccm na sidhani kama nitakaa niipende. Ila mtu mmojammoja hao hutokea wakanikosha mmoja wao ni rais samia. Tokea alipoenda nairobi mkumjulia hali lissu nilimuona mama ni muungwana. Najua kuna mambo anayafanya sio yeye hata yeye hangependa yatokee shida ni mfumo. Hata hilo la mbowe litapita na mbowe hafungwi ng'ooo chini ya mama. Ndugai utakula jeuri yako. Mama uko ccm hiyo ni njia tu usijali endelea kutenda mema Ili hata ukistahafu ule pension yako kwa amani.
Long live cinc ssh.
Kuhusu Ndugai. Leo nakunywa Balimi. sina pesa ya bia za maana angalau hata haya mataputapu basiKimsingi sikuwahi kuwa mapenzi wa ccm na sidhani kama nitakaa niipende. Ila mtu mmojammoja hao hutokea wakanikosha mmoja wao ni rais samia. Tokea alipoenda nairobi mkumjulia hali lissu nilimuona mama ni muungwana. Najua kuna mambo anayafanya sio yeye hata yeye hangependa yatokee shida ni mfumo. Hata hilo la mbowe litapita na mbowe hafungwi ng'ooo chini ya mama. Ndugai utakula jeuri yako. Mama uko ccm hiyo ni njia tu usijali endelea kutenda mema Ili hata ukistahafu ule pension yako kwa amani.
Long live cinc ssh.
Potelea mbali.Zuri sana maana maisha Bora kwa kila Mtanzania yamepatikana Ndugai alikuwa anatuchelewesha sana, demokrasia imetamalaki sana leo
Sent using Jamii Forums mobile app