Rais Samia ni kati ya viongozi wanaopendwa zaidi Tanzania na Dunia kwasababu anajari maslahi ya wananchi na ya nchi pia , zifuatazo ni baadhi ya sababu zinazofanya Rais Samia kua kiongozi Bora
1. Elimu bure kuanzia darasa la kwanza hadi kidato cha 6. Mikopo kwa wanafunzi wote wenye vigezo kwaajili ya kupata elimu ya Juu katika Vyuo vikuu vya Umma na Binafsi.
2. Ujenzi wa madarasa 15,000 kuwawezesha wanafunzi wote 907,803 waliopaswa kuanza masomo ya sekondari kuanza masomo kwa wakati mmoja.
3. Kupandisha mshahara kwa asilimia 23.3 kwa watumishi kuanzia wale wa kima cha chini. Kuongeza posho kwa zaidi ya asilimia 100.
4. Kupandisha madaraja watumishi wa umma wenye sifa, kulipa malimbikizo ya madeni kwa watumishi na kulipa madeni yote halali kwa wazabuni.
5. Kuondoa kodi katika mahitaji muhimu ya wakulima, dhana na vifaa vinavyo athiri moja kwa moja mnyororo wa thamani katika maeneo ya kilimo, ufugaji na uvuvi.
6. Kuimarisha uhusiano wa kidiplomasia na mataifa mbalimbali Duniani na Taasisi zenye umuhimu kwa ustawi wa Tanzania.
7. Kuimarisha Sekta binafsi hususani katika biashara na uwekezaji na kutangaza vivutio vya utalii kwa namna ya kipekee Duniani.
8. Kutoa fedha katika miradi yote muhimu na kuanzisha miradi mipya ya maendeleo inayogusa malengo ya muda mrefu na mfupi ya Taifa.
9. Kuboresha huduma za jamii na kuchochea utekelezaji wa mipango endelevu kwa kasi kubwa. Miradi katika huduma za Maji, Afya, Elimu, Kilimo n.k
10. Kutoa vibali vya ajira kwa kila Taasisi yenye uhitaji, kuwawezesha vijana na wajasiriamali katika maeneo mbalimbali ikiwemo kuwatambua wale wanaochipukia katika eneo la ubunifu na Teknolojia (startups).
Kwa hakika, Rais Samia Suluhu Hassan ni kiongozi aliyeweka rekodi ya kipekee Barani Afrika kwa kutekeleza adhma yake ya kuona wananchi wanakuwa na maisha bora. Mungu ambariki ili aendelee kuwatumikia watanzania kwa upendo na aweze kufikia adhma yake kwa 100%.
1. Elimu bure kuanzia darasa la kwanza hadi kidato cha 6. Mikopo kwa wanafunzi wote wenye vigezo kwaajili ya kupata elimu ya Juu katika Vyuo vikuu vya Umma na Binafsi.
2. Ujenzi wa madarasa 15,000 kuwawezesha wanafunzi wote 907,803 waliopaswa kuanza masomo ya sekondari kuanza masomo kwa wakati mmoja.
3. Kupandisha mshahara kwa asilimia 23.3 kwa watumishi kuanzia wale wa kima cha chini. Kuongeza posho kwa zaidi ya asilimia 100.
4. Kupandisha madaraja watumishi wa umma wenye sifa, kulipa malimbikizo ya madeni kwa watumishi na kulipa madeni yote halali kwa wazabuni.
5. Kuondoa kodi katika mahitaji muhimu ya wakulima, dhana na vifaa vinavyo athiri moja kwa moja mnyororo wa thamani katika maeneo ya kilimo, ufugaji na uvuvi.
6. Kuimarisha uhusiano wa kidiplomasia na mataifa mbalimbali Duniani na Taasisi zenye umuhimu kwa ustawi wa Tanzania.
7. Kuimarisha Sekta binafsi hususani katika biashara na uwekezaji na kutangaza vivutio vya utalii kwa namna ya kipekee Duniani.
8. Kutoa fedha katika miradi yote muhimu na kuanzisha miradi mipya ya maendeleo inayogusa malengo ya muda mrefu na mfupi ya Taifa.
9. Kuboresha huduma za jamii na kuchochea utekelezaji wa mipango endelevu kwa kasi kubwa. Miradi katika huduma za Maji, Afya, Elimu, Kilimo n.k
10. Kutoa vibali vya ajira kwa kila Taasisi yenye uhitaji, kuwawezesha vijana na wajasiriamali katika maeneo mbalimbali ikiwemo kuwatambua wale wanaochipukia katika eneo la ubunifu na Teknolojia (startups).
Kwa hakika, Rais Samia Suluhu Hassan ni kiongozi aliyeweka rekodi ya kipekee Barani Afrika kwa kutekeleza adhma yake ya kuona wananchi wanakuwa na maisha bora. Mungu ambariki ili aendelee kuwatumikia watanzania kwa upendo na aweze kufikia adhma yake kwa 100%.