Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

Penda nchi yako
Tetea wananchi wenzako hususan wanyonge
Kataa viongozi wanyonyaji
Kataa rushwa
Kataa uzembe na ubadhirifu
Kataa viongozi wanaosisitiza kula kwa urefu wa kamba
Kataa viongozi wanaofanya ziara na matumizi yasiyo na tija huku kina mama na watoto wanakosa bima ya afya

N.k n.k

Jumapili Njema
 
Naipenda sana Nchi yangu Tanzania 🇹🇿

Nachukia sana RUSHWA , ubadhirifu wa Mali ya umma na Wizi wa kura.

Napenda kuona HAKI ikitawala juu ya nchi.

Amen
 
Hilo ni ombi langu kwa Watanzania wote na Mungu wa mbinguni atawabariki sana

Nawatakia Dominica Njema 😄
Ombi lina mawili.
Kukataliwa ama kukubaliwa....

Binafsi Naipenda Tanzania lakini huyu mtawala wa sasa ana walakini mkubwa sana
 
Viongozi wakuu wa nchi huwekwa na Yeye mwenyewe Mungu wa mbinguni
Kama ni hivyo, Yale mabegi meusi ya kura ni ya nini?
Kama wanawekwa na Mungu, huu ulinzi wote wa nini,
Hiyo Mungu aliwaweka hawezi kuwalinda?
Jo, usimhusishe Mungu na siasa zenu, mnazoziita sissa ni sayansi, ikihusisha zaidi wizi wa kura na mizengwe,
 
Naipenda sana Nchi yangu Tanzania 🇹🇿

Nachukia sana RUSHWA , ubadhirifu wa Mali ya umma na Wizi wa kura.

Napenda kuona HAKI ikitawala juu ya nchi.

Amen
Dumisha Amani kipimo Cha HAKI anacho Mungu wa mbinguni
 
Penda Nchi Yako. Tetea wanyonge dhidi ya walaji kwa urefu wa kamba. Wanastahili upendo zaidi kuliko watawala mafisadi. Mungu atakubariki
images - 2024-05-05T103251.534.jpeg
 
Back
Top Bottom