Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

Hakuna mwanaccm mwenye aibu wala mcha Mungu, Wote ni mawakala wa shetani
 
Amani iwe nanyi wapendwa katika BWANA

Kwanini Mama Abdul ana force kukalia kiti cha rais

Anajua kabisa kuwa watu hawampendi lakin bado anafoce

Kuna gharama gan akiamua tu akae pemben amuachie nchi dk mpango

Inaumiza huyu mama huyu ila bas tu

Nchi imemushinda kabisa huyu mama

Maisha yamekuwa magumu sana, vitu vimepanda bei yeye hajui hilo, kipande cha sabuni cha mia mbili saiz kinauzwa mia saba nauli ya elf arobain na tano mwanza dar saiz elf sabin na tano huyu mama yeye hajui katuletea maumivu makali sana sisi raia

Ukienda ofisi za umma unatazamwa tu sanamu ya ndama ya wana wa Israel

Tunateseka jaman

LONDON BOY
Hamia Burundi...
 
Amani iwe nanyi wapendwa katika BWANA

Kwanini Mama Abdul ana force kukalia kiti cha rais

Anajua kabisa kuwa watu hawampendi lakin bado anafoce

Kuna gharama gan akiamua tu akae pemben amuachie nchi dk mpango

Inaumiza huyu mama huyu ila bas tu

Nchi imemushinda kabisa huyu mama

Maisha yamekuwa magumu sana, vitu vimepanda bei yeye hajui hilo, kipande cha sabuni cha mia mbili saiz kinauzwa mia saba nauli ya elf arobain na tano mwanza dar saiz elf sabin na tano huyu mama yeye hajui katuletea maumivu makali sana sisi raia

Ukienda ofisi za umma unatazamwa tu sanamu ya ndama ya wana wa Israel

Tunateseka jaman

LONDON BOY
Unaweza kuandika Kwanini watu wanampenda Mpango?
 
Alisikia kilio cha maswala ya utekaji
Alitoa pole kwa wahanga na ndugu wa wahanga
Alitoa maelekezo kwa vyombo vya ulinzi na usalama kushughulikia kwa mujibu wa Katiba
Alisusitiza umuhimu wa kuitunza amani
Alikemea waliopo nyuma ya uchochezi huu.
Na mwisho alitumia nguvu yake kikatiba kuwalinda wengi dhidi ya vibaraka wachache.

Watanzania walimuelewa sana tu na wakaonesha hilo siku ya leo.
Watanzania wataendelea kumuombea na kumuunga mkono.

Kila la kheri Mama Samia ...Hongereni Polisi na vyombo vyote husika...Mungu awabariki sana.

sasa tuandae mashamba tupate na kutunza chakula.

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
 
Alisikia kilio cha maswala ya utekaji
Alitoa pole kwa wahanga na ndugu wa wahanga
Alitoa maelekezo kwa vyombo vya ulinzi na usalama kushughulikia kwa mujibu wa Katiba
Alisusitiza umuhimu wa kuitunza amani
Alikemea waliopo nyuma ya uchochezi huu.
Na mwisho alitumia nguvu yake kikatiba kuwalinda wengi dhidi ya vibaraka wachache.

Watanzania walimuelewa sana tu na wakaonesha hilo siku ya leo.
Watanzania wataendelea kumuombea na kumuunga mkono.

Kila la kheri Mama Samia ...Hongereni Polisi na vyombo vyote husika...Mungu awabariki sana.

sasa tuandae mashamba tupate na kutunza chakula.

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Muhimu ni kutatua shida ya utekaji na mauaji na kuwaachia wote wanaoshikiliwa na Polisi. Pia kukaa nao na kushirikiana kuijenga Nchi. Naamini Rais wetu atalichukulia kwa uzito maana anajulikana kwa uungwana wake.
 
Muhimu ni kutatua shida ya utekaji na mauaji na kuwaachia wote wanaoshikiliwa na Polisi. Pia kukaa nao na kushirikiana kuijenga Nchi. Naamini Rais wetu atalichukulia kwa uzito maana anajulikana kwa uungwana wake.
mama ni muungwana sana sielewi kwa nini wanataka kumfanya awe "dikteta"???
Hivi ni kweli kabisa walikaa kikao kutaka kumhujumu?ili iweje sasa ...kwa manufaa ya nani ??
 
Alisikia kilio cha maswala ya utekaji
Alitoa pole kwa wahanga na ndugu wa wahanga
Alitoa maelekezo kwa vyombo vya ulinzi na usalama kushughulikia kwa mujibu wa Katiba
Alisusitiza umuhimu wa kuitunza amani
Alikemea waliopo nyuma ya uchochezi huu.
Na mwisho alitumia nguvu yake kikatiba kuwalinda wengi dhidi ya vibaraka wachache.

Watanzania walimuelewa sana tu na wakaonesha hilo siku ya leo.
Watanzania wataendelea kumuombea na kumuunga mkono.

Kila la kheri Mama Samia ...Hongereni Polisi na vyombo vyote husika...Mungu awabariki sana.

sasa tuandae mashamba tupate na kutunza chakula.

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!

Naona kila kitu sasa ni kusifu tu!!​

 
Back
Top Bottom