mbatia alipewa ubunge na mwenyekiti wa ccm alikuwa anatekeleza ilani ipi?
Naunga mkono hoja 100% .... Kagasheki ni Kiongozi shupavu asieyumbishwa ... Watampa ? Maana watu wa Dini yake hawatakiwi ...
Umeanza vizuri, ukaharibu mwishoni.
Watanzania mnanogewa sana na mbwembwe, ila unapokuwa mshabiki wa haya hakikisha hujihusishi na madili yoyote, maana am afraid Watanzania wengi wanaishi kwa wizi na wanaotegemea kipato halali ni wachache mno, shangilia iliyopo ni ya wale ambao network ziliwapita pembeni lakini wengi ni majizi.
Nitakuwa mshabiki wa Magufuri akirudisha zile nyumba zetu alizouza kwa bei ya chee mpaka na yeye moja akahonga mchepuko.
Watanzania mnanogewa sana na mbwembwe, ila unapokuwa mshabiki wa haya hakikisha hujihusishi na madili yoyote, maana am afraid Watanzania wengi wanaishi kwa wizi na wanaotegemea kipato halali ni wachache mno, shangilia iliyopo ni ya wale ambao network ziliwapita pembeni lakini wengi ni majizi.
Nitakuwa mshabiki wa Magufuri akirudisha zile nyumba zetu alizouza kwa bei ya chee mpaka na yeye moja akahonga mchepuko.
Naunga mkono hoja 100% .... Kagasheki ni Kiongozi shupavu asieyumbishwa ... Watampa ? Maana watu wa Dini yake hawatakiwi ...