Akielekezwa na kila kundi atajikuta anakwama kwenye kila amuzi so anabodi yake ya washauri so hawa wa mitandaoni waachee wajisumbueBinafsi, nampongeza sana Rais Dr. Magufuli kwa msimamo.
Siyo rais awe mtu wa kulialia; ndivyo kiongozi anapaswa kuwa thabiti.
Kwa sababu, kama sivyo Watz mnaweza sema Rais asipande gari atembee kwa miguu kwa sababu wengi wa watanzania hawana magari.
Ukweli ni kwamba miluzi mingi hupoteza mbwa.Akielekezwa na kila kundi atajikuta anakwama kwenye kila amuzi so anabodi yake ya washauri so hawa wa mitandaoni waachee wajisumbue
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]
Akielekezwa na kila kundi atajikuta anakwama kwenye kila amuzi so anabodi yake ya washauri so hawa wa mitandaoni waachee wajisumbue
Ukimcheki kwa makini raisi wetu anaonesha kuwa na uchungu na nchi ila formula anayotumia inawaumiza waliokuwa wanakula kwa wizi na madili haramu.Hao ndio wamconspirancy ili acolupse kwenye uongozi wake.Billie,
Ni kweli Rais hawezi akawa kama bendera inayofata uelekeo wa upepo.
Bila msimamo atakuwa siyo Rais ten huyo.
Ni lazima awe na uwezo wa.kukataa vitu vya kipuuzi.
Ukimcheki kwa makini raisi wetu anaonesha kuwa na uchungu na nchi ila formula anayotumia inawaumiza waliokuwa wanakula kwa wizi na madili haramu.Hao ndio wamconspirancy ili acolupse kwenye uongozi wake.
Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
Makonda amefoji vyeti gani? Una ushahidi?Wacha maneno wewe Mwambie Makonda alete vyeti kisha aendelee kupambana na madawa ya kulevya.
Wewe unadhani kama kweli Makonda vyeti siyo vyake atakuwa na moral authority gani ya kukaa kwenye vikao vya ulinzi na usalama vya mkoa na akina kamanda Sirro na kuweka mikakati ya kuondoa jinai mkoani Dar?
Huyo Gwajima unayemsema kutajwa kwenye orodha kapimwa kama anatumia hawakuyakuta, wamemsachi hawakuyaona, na wala hawajamfungulia kesi yoyote ya madawa ya kulevya. Kwa nchi zinazozingatia haki za raia shutuma hizo peke yake zisizothibitishwa dhidi ya Gwajima zilitosha kumng'oa Makonda!!
Hebu msikilize Mheshimiwa Raisi alivyokwishasema juu ya kufoji vyeti
Unatakaje vyeti vya mtu meingine wewe nani?Umeanza VIZURI mwisho umeandika pumba...tu.....kwani MATEJA yalishikiwa BUNDUKI yavute?au yalivuta kwa HIYARI YAO?mwambiye DAUDI BASHITE tunataka VYETI.. Sio maneno
Tatizo hamna ushahidi mh magufuli hawezi kufuata rumors zinazotolewa mtuhumiwa wa madawa ya kulevyaPombe mwenyewe kasema hataki watu waliofoji vyeti sasa wewe unamshauri ujinga gani?
Kutumia cheti cha mtu mwingine ni kosa la jinai na Bashite hayupo juu ya sheria
Haijalishi anapigana vita gani kama ni muhalifu ashughulikiwe ipasavyo
Je kutoa vyeti ni lazima au hiyari? Kuna sheria yeyote inayomlazimisha mtu yeyote kuweka vyeti mtandaoni au la?Vijana walioharibika kwa madawa ya kulevya hawako TZ tu, wapo wengine mashuhuri ulimwengu mzima, kwa hiyo alichofanya Makonda siyo sayansi ya roketi ni wajibu wa serikali yoyote yenye weledi kupambana na hili janga. Suala la vyeti vya Makonda halitaisha kwa kumtetea, bali yeye kutoa vyeti vyake halali. Obama lizushiwa kuwa hakuzaliwa marekani na ili kukat mzizi wa fitna aliweka hadharani cheti chake cha kuzaliwa, watu wakaufyata akiwemo rais wa sasa wa marekani bw.Trump.
Ukweli unapatikana mahakamaniMh Rais kweli mm raia wako sikuelewi. Siku zinavyo kwenda nazidi kuwa na maswali meng kama tamthilia ya kusadikika.
Hivi kwanini Makonda issue yake umekuwa kimya sana?
Je nikweli taarifa zina sema huyu mkuu ana vyeti fake?
Kama kweli kwanini haguswi?
Mkuu watu wameumia sana na kama hili lamakonda ni kweli haliwezi kuacha furaha ndani ya mioyo ya watu.
Kiukweli kabisa watanzania wote kwa ujumla tunataka kujuwa ukweli na huo ndio utawala bora.
Nitashukuru kama utanijibu mh Rais.
Waliofukuzwa wote wamethibitika je makonda amethibitika akaachwa?Hii ni moja wapo ya serikali ya ajabu kabisa hapa duniani...
Double standard gani ya wazi wazi??
Who is Makonda in this Country??
Wapo wapi watetezi wa haki za binadamu wapaze sauti kwenye hili. Kwasababu kuna maelfu ya watu wamepoteza ajira zao sababu ya vyeti feki sasa kwanini huyu anaachwa.
Dhambi unayoifanya ya kuendelea kumbembeleza huyu Daudi Albert Bashite haitopita hivi hivi.
Muda utaongea hivi karibuni tu.