Ninaposema siasa ni mchezo mchafu na wanasiasa ni wajuzi wa kuteka akili za watu huku wakifukia mambo muhimu, baadhi husema sipendi maendeleo ya viongozi hasa Mh Pombe..
Sasa nawauliza ni juzi tu tumesikia Mh Jk kakomba hazina yote, lakini pia sisi kama wadau tunaowaweka viongozi madarakani tuna haki ya kujua JK na Mkapa walivyopata mali zao,,
sasa je Mh Pombe atatusaidia kuwahoji jinsi walivyozipata ili tujue kua yeye ni kiongozi wetu na hayuko kwa ajili kulinda masilahi ya watu fulani?
Jf hii haifanani na kumteua mama Anna Mngwira kwenye serikali ya raisi Magufuli...acheni kuchomekea
we ni ------ wa nyuma dagaa wewee
