Niambieni
JF-Expert Member
- Jul 20, 2011
- 625
- 170
Sehemu kubwa ya mapato hayaelekezwi kwenye kuleta maendeleo kama elimu, afya na sehemu muhimu kwa jamii. Badala yake individual budgets zipo kwenye michango kama ya Kitchen parties, Send off, Harusi, Mazishi na michango ya kanisani isiyokuwa na feedback wala haiongezi maadili yoyote zaidi ya kujenga hofu ya muda tu, baadae maovu yana zidi kushamiri kila kukicha. Michango hii hudumisha sio tu umasikini, bali ufukara.
Kwenye mipango ya mazishi kuna gharama nyingi sana mfano sanda, sanduku, kuutreat mwili, kuuhifadhi mortuary, usafiri.... yanini yoote hayo. Mwili hauna thamani, ni vema ukachomwa na umeme na sio kuni. Majivu ya wekwe kwenye mkebe, kwa kufanya hivyo: kaburi moja tu linaweza likajengwa vema na kuweka mikebe zaidi ya 100 na juu kukawa na kibao cha watu wa ukoo waliozikwa kwenye hilo kabuli moja la watu 100. Kuusafirisha majivu kwenye mikebe ni rahisi kuliko jeneza. Miti itapona na sehemu ya kuzikia zitatutosha.
Mwili hauna thamani bali roho ndio yenye thamani. Mwili hufa lakini roho haifi. Kazi kwenu kuchambua hili. Naomba msinitukane mie.
Lingine, tembelea vituo mbali mbali vya afya uone maajabu, sijui ni baraka au???? watu wanajifungua watoto kwa wingi sana. Wakati hali ya kuwatunza na kujitunza hamuna kabisa. Hii pia inaleta sio tu umasikini, bali ufukara.
Tumuunge mkono Mh. Rais wetu kupunguza matatizo yetu haya ya ufukara.
Kama namekosea kwa kusema hayo munisamehe mie.
Kwenye mipango ya mazishi kuna gharama nyingi sana mfano sanda, sanduku, kuutreat mwili, kuuhifadhi mortuary, usafiri.... yanini yoote hayo. Mwili hauna thamani, ni vema ukachomwa na umeme na sio kuni. Majivu ya wekwe kwenye mkebe, kwa kufanya hivyo: kaburi moja tu linaweza likajengwa vema na kuweka mikebe zaidi ya 100 na juu kukawa na kibao cha watu wa ukoo waliozikwa kwenye hilo kabuli moja la watu 100. Kuusafirisha majivu kwenye mikebe ni rahisi kuliko jeneza. Miti itapona na sehemu ya kuzikia zitatutosha.
Mwili hauna thamani bali roho ndio yenye thamani. Mwili hufa lakini roho haifi. Kazi kwenu kuchambua hili. Naomba msinitukane mie.
Lingine, tembelea vituo mbali mbali vya afya uone maajabu, sijui ni baraka au???? watu wanajifungua watoto kwa wingi sana. Wakati hali ya kuwatunza na kujitunza hamuna kabisa. Hii pia inaleta sio tu umasikini, bali ufukara.
Tumuunge mkono Mh. Rais wetu kupunguza matatizo yetu haya ya ufukara.
Kama namekosea kwa kusema hayo munisamehe mie.