ILAN RAMON
JF-Expert Member
- Sep 10, 2013
- 9,698
- 4,488
ra na r1 ni akina nani? Dadavua mkuu. Ila piq uwe na uhakika na unachoandika
ra=rostam aziz,r1 ni rizimoko
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ra na r1 ni akina nani? Dadavua mkuu. Ila piq uwe na uhakika na unachoandika
umeniwahi mkuu huyu mtu alipi kodi ila sijawahi kuona mtu yoyote, gazeti lolote linandika ufisadi wa rg kwenye migodi ya tanzanite
regina mengi.
[Nianze kwa kukupongeza kwa uzalendo unaouonesha kwa kututumikia Watanzania bila woga wowote.
Enzi za mwalimu wanafunzi Wa UDSM waliwahi fanya mgomo na kuharibu mali. Mwalimu akawatia ndani. Kisha akawaeleza kuwa "The objectives you had are genuine but the methods you used to achieve those objectives were improper". Kwa nini hamkunitaarifu matatizo yenu kabla ya kugoma? Matatizo yenu ni sahihi kabisa ila njia mliyoitumia siyo sahihi.
Kuna rafiki yangu alinipigia simu jana usiku na kuniuliza "mbona waislamu Tu!? Mkurugenzi Wa muhimbili alieondolewa muislamu. Leo tena Wa TRA muislamu. Kulikoni!?". Nilimjibu kuwa Nina imani na magufuli. Ni coincidence tu lakini halengi waislamu.
Nikirejelea kauli ya mwalimu nyerere kwa wanachuo, muh magufuli upo sahihi kabisa lakini tafadhali fuata ushauri wangu ufuatao;
Endelea na oparesheni tumbua majibu. Amini kuwa sisi watanzania tupo nyuma yako. Ninachokuomba, unapoamua wizara au shirika lipi litumbuliwe, angalia dini ya mhusika. Changanya uwajibishaji kwa mujibu Wa dini. Leo muislamu kesho mkristu kwa sababu waliokosea ni mchanganyiko Wa dini mbalimbali. Ikitokea kigogo mwengine atakaeguswa ni muislamu, kazi yako iliyotukuka itaingiwa nchanga. Waislamu wataanza kulalamika.
Uongozi unahitaji kucheza na akili za watu. Kumbuka kuwa imani INA nguvu sana.
Usimbakishe fisadi yeyote serikalini. Fagia wote ila cheza karata zako vizuri kwa kufanya mkasi utue kwenye dini zote kwa sababu nina hakika wanaokosea si Wa dini moja Tu. Marejeo (reference) ya escrow, maliasili Nk... Ni kielelezo kuwa dini siyo kigezo cha ufisadi.
TANBIHI
Nimesukumwa na uzalendo kuandika makala hii na siyo udini!]
ACT na CCM NI ndugu moja!
Naanza na wachache;
1. Shubashi Patel
2. Salum Mpuchu
3. RA
4. R1
5. Home Shopping Centre
6. GMS
Ongeza unao wajua
Kwani Maalim Seif anatekeleza ilani ipi kama Makamu wa Rais wa Zanzibar?
Cjui nani anakutuma kuiandikia Mwanga weww boya, yaani wewe ni mbugila utine kabisa
Huyu bwana maghembe asipewe uwazir jimbo peke yake limemshinda ...kumpa uwazir nikutaka Wana Mwanga waendelee kuwa maskin hohehahe....
Huyo uwaziri hapati.
tuombe mungu jina lake limtoke mheshimiwa asimkumbuke kabisaa