Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tumefika pazuri sana walimfukuza tido wakahisi wanaweza jificha kumbe wanaumbuka
kuhusu ushahidi wa hati kutokuwepo UN anasema hiviBado kuna mambo hujaweka hapa ambayo alisema ni ushahidi wa kutokuwepo kwa muungano na kutopelekwa kwa hati ya muungano UN. NA KATIKA HILI ALISEMA ANA USHAHIDI KWA HOJA ZISIZO PINGUWA NNE.
Ningependa mambo hayo yawekwe hapa na ningependa kusikia majibu yake kutoka kwa serikali.
Mwenye hoja zile nne aziweke hapa. mkuu 2chabruma tusaidie kuziweka hapa hata kwa audio.
cc Chabruma buchann
Hakika Lissu ni jembe book kumi yangu niliyotoa kusuport uchaguzi Singida kwa Lissu haikwenda bure. Asante wananhci tumewaelewa bado CCM tu ingawa nao upande wa Zanzibar wanaelewa.
Mwakyembe kabla hajawa kiongozi wa ccm alikubaliana na anachounga mkono kukipinga leo, serkali tatu alizopendekeza wakati wa research yake ya udhamili leo hataki.
Wewe ni mfano mzuri wa mtu ambaye hajasoma,hana hoja, hajui lolote, anayesubiri fikra za mwenyekiti kumuongoza, kifupi MBUMBUMBU. Bravo kwa kutuonyesha uwezo wako wa kufikiriUtumbo mtupu, no intelligency
Lisu yupi? Huyu mwenyesula nzito kama unga wa mandazi 'ngano'Inasikitisha sana,Hii ni baada ya lissu kuja na ushahidi wa kutokuwepo hati za muungano.Brilliant LISSU....!!
Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni, TBC au aliyetoa amri TBC wazime mawasilisho ya Tundu Lissu hakutenda haki hata kidogo, labda iwe ni technical fault, tutapata hansard, walioko huko turushieni mawasilisho ya Lussu, alikuwa anaongea vizuri sana.
Leo mimi nipo na wote wanaomponda Nyerere kwenye huu mchakato, fikra za Nyerere siyo tu zilikuwa mbovu zimetuondolea Utaifa wetu, iweje leo nchi moja iwe na Utaifa na moja nchi nyingine Utaifa wake ufe? kwa kuwa tu Nyerere ndio kataka hivyo?