Maoni yangu juu ya Mkataba wa Bandari na DP World

Maoni yangu juu ya Mkataba wa Bandari na DP World

Silemoja

Member
Joined
Jun 16, 2023
Posts
12
Reaction score
12
Nimejaribu kusoma na kuisikiliza mijadala juu ya hili sakata la DP World. Kwa kweli mpaka Sasa kama taifa bado tunarumbana juu ya sisi Kwa sisi Cha kushangaza zaidi hata hao wasomi wa Sheria katika nchi hii wameshindwa kuwa na tafsiri ya pamoja katika mkaba huu.

Tofauti na ilivyotarajiwa sasa suala hili limetoka katika nyanja mjadala wa kitaifa katika uchumi likaingia katika nyanja za kisiasa na sasa limeingia kwenye udini.

Suala hili lipo mahali pabaya sana. Mimi binafsi sina shaka kabisa na kubinafisisha bandari kwa miradi kama vile Bwawa la Nyerere - Misiri na SGR - waturuki, Wala haijawahi kuwa mjadala. Ili kufunga mjadala wa DP World nashauri mambo yafuatayo:

1. Kufungua kesi kwenye mahakama kuu ya Tanzania ili itoe tafsiri katika vipengele vinavyobishaniwa kwy mkataba, ili tuwe na tafsiri Moja.

2. DP World apewe bandari nje ya Dar mfano Mtwara, Mafia au Tanga ajenge bandari Mpya Kwa gharama zake.

3. Serikali isimamishe mchakato na ipige marufuku mjadala huu hadi hapo itakapotangazwa.

MWISHO:
Amani ni tamu sana tusiichezee kisa umasikini wetu.
 
Uliza watu mpaka sasa wamepewa kiasi gani? Kilichobaki ni utekelezaji sio maoni yako uchwara
 
mtaalamu wa Sheria na uchumi anaitwa Dr Muchunguzi anasema intergovernmental Agreements haina Kikomo Bali ni mkataba wa kukubaliana mikataba mbalimbali na kikomo chake ni pale hio mikataba inapoisha.
Kama utaratibu ndiyo huo itakuwa kuna upotoshaji unafanyika na watu kwa makusudi huku wakijua ( bandari pinzani na bandari ya Dar na wanufaika wa mfumo wa zamani wa bandari ya Dar ) na wengine kwa bahati mbaya huku hawajui.
 

Attachments

  • 2493E522-10B4-4A5D-B53D-BC90A1996489.jpeg
    2493E522-10B4-4A5D-B53D-BC90A1996489.jpeg
    79.1 KB · Views: 9
Unasema kwenye bwawa - misri, SGR - waturuki. Haikua mjadala?
Kwani hizo tumebinafsisha au hao ni wakandarasi wanaojenga tu
Ni kama.umuite fundi aje kukujengea nyumba yako.
 
Huo sio mkataba huo ni uuzaji wa nchi

Serikali iachane na hiyo biashara ya kuuza nchi
 
Unasema kwenye bwawa - misri, SGR - waturuki. Haikua mjadala?
Kwani hizo tumebinafsisha au hao ni wakandarasi wanaojenga tu
Ni kama.umuite fundi aje kukujengea nyumba yako.
Cha msingi huu mjadala usitugawe kiimani za dini zetu
 
Hii ni kweli baada ya mijadala mingi kuzuka hapa jukwaani nikajua Tanzania nzima inapinga na hilo kumbe sio, huko mtaani watu hawana muda kabisa na hilo na kuna machizi fulani wameenza kuweka bendera zisizo tambulika duniani kweye DP zao.

Tetesi nilizopata nikuwa mikakati ya bandari inaenda vizuri sana na hivi karibuni waarabu wataanza kufanya kazi mapema iwezekavyo.
 
Hii ni kweli baada ya mijadala mingi kuzuka hapa jukwaani nikajua tz nzima inapinga na hilo kumbe sio huko mtaani watu hawana muda kabisa na ilo na kuna machizi fulani wameenza kuweka bendera zisizo tambulika duniani kweye dp zao

Tetesi nilizopata nikuwa mikakati ya bandari inaenda vizuri sana na hivi karibuni waarabu wataanza kufanya kazi mapema iwezekanvyo
Unamdanganya nani?
 
Hii ni kweli baada ya mijadala mingi kuzuka hapa jukwaani nikajua tz nzima inapinga na hilo kumbe sio huko mtaani watu hawana muda kabisa na ilo na kuna machizi fulani wameenza kuweka bendera zisizo tambulika duniani kweye dp zao

Tetesi nilizopata nikuwa mikakati ya bandari inaenda vizuri sana na hivi karibuni waarabu wataanza kufanya kazi mapema iwezekanvyo
Ni wachache sana
 
Mpaka sasa sijakutana na mtu mitaani anayesupporthuumpangowabandari.
 
Hii ni kweli baada ya mijadala mingi kuzuka hapa jukwaani nikajua tz nzima inapinga na hilo kumbe sio huko mtaani watu hawana muda kabisa na ilo na kuna machizi fulani wameenza kuweka bendera zisizo tambulika duniani kweye dp zao

Tetesi nilizopata nikuwa mikakati ya bandari inaenda vizuri sana na hivi karibuni waarabu wataanza kufanya kazi mapema iwezekanvyo
HAPO na wewe umewaza uandike takataka kwa faida ya nani?
 
Back
Top Bottom