Maoni yangu juu ya Mkataba wa Bandari na DP World

Maoni yangu juu ya Mkataba wa Bandari na DP World

Shida wengi wanatumia akili za kuambiwa wanafuata upepo.

Hatari iliyopo wapo wanaotafuta huruma ya wananchi kwakuhubiri mambo yanayokasirisha ili wananchi wafanye fujo na wanafanikiwa kushawishi kwani wanavipaji hivyo kinachosaidia hawana uwezo wa kutekeleza matakwa yao hatuhitaji vita nchi hii kwasababu tumeshuhudia mavita yasiyo isha na hayajawahi kuleta tija.

Kuna wanasiasa naona wanatumia lugha chafu za kuudhi ili waguswe wapate sababu na kuvuruga amani ninashauri Serikali isiwajibu waache walete uzushi wa kujitumia vitisho na kusingizia eti wanatishiwa kuuwawa eti kwasababu wanakosoa Serikali!

Wanahama kwenye hoja na kuanzisha chokochoko ili wakimbilie nje ya nchi chondechonde waachwe hawana watu wa kuwaunga mkono watabaki na aibu.

Wanachokifanya hata wangekuwa wao madalakani wasingeweza kupokea ushauri au kukosoa kwa kutumia lugha ya kuudhi.

Mpaka sasa kuna pande mbili zenye mitazamo tofauti wale wanaopinga na wanao afiki ni lazima tutafute namna ya kutatua mgogoro huu kwa mijadala yenye afya.
 
Piga hesabu kupitia andiko lako wangapi wanakuunga mkono na wangapi wanakupinga na hapo utakuwa umepata jibu sahihi kama wapingao ni wengi ama la.
 
Na hao kumi wakifika ni wale walio wakodi
Nashangaa watu wanajifanya wanaumia sana, badala wajitokeze waandane ili ajenda ifike wameihamishia mitandaoni hadi imesahaulika
 
Shida wengi wanatumia akili za kuambiwa wanafuata upepo.

Hatari iliyopo wapo wanaotafuta huruma ya wananchi kwakuhubiri mambo yanayokasirisha ili wananchi wafanye fujo na wanafanikiwa kushawishi kwani wanavipaji hivyo kinachosaidia hawana uwezo wa kutekeleza matakwa yao hatuhitaji vita nchi hii kwasababu tumeshuhudia mavita yasiyo isha na hayajawahi kuleta tija.

Kuna wanasiasa naona wanatumia lugha chafu za kuudhi ili waguswe wapate sababu na kuvuruga amani ninashauri Serikali isiwajibu waache walete uzushi wa kujitumia vitisho na kusingizia eti wanatishiwa kuuwawa eti kwasababu wanakosoa Serikali!

Wanahama kwenye hoja na kuanzisha chokochoko ili wakimbilie nje ya nchi chondechonde waachwe hawana watu wa kuwaunga mkono watabaki na aibu.

Wanachokifanya hata wangekuwa wao madalakani wasingeweza kupokea ushauri au kukosoa kwa kutumia lugha ya kuudhi.

Mpaka sasa kuna pande mbili zenye mitazamo tofauti wale wanaopinga na wanao afiki ni lazima tutafute namna ya kutatua mgogoro huu kwa mijadala yenye afya.
Mtu katishiwa kuuliwa ana evidence na navyowajua watz wanavyopenda sifa basi hapa wangeleta evidence ingesambaa sana mtandaoni ili apate huruma lakini mpaka sasa kimya
 
Piga hesabu kupitia andiko lako wangapi wanakuunga mkono na wangapi wanakupinga na hapo utakuwa umepata jibu sahihi kama wapingao ni wengi ama la.
Sihangaishwi na takwimu za mtandao wtz wengi hawapo mtandaoni mkuu
 
Nashangaa watu wanajifanya wanaumia sana, badala wajitokeze waandane ili ajenda ifike wameihamishia mitandaoni hadi imesahaulika
Ahahah mtu anakwambia natishiwa kuuliwa ili tu apate huruma ya waja mara mtu kaenda mahakamni kufungua kesi ya madai baada ya muda anakuja kuomba mchango achangiwe ili kufanikisha keshi na wtz wajinga wanamuhita mtu huyo mzalendo
 
Ahahah mtu anakwambia natishiwa kuuliwa ili tu apate huruma ya waja mara mtu kaenda mahakamni kufungua kesi ya madai baada ya muda anakuja kuomba mchango achangiwe ili kufanikisha keshi na wtz wajinga wanamuhita mtu huyo mzalendo
Heche
Mbowe
Lissu
Wanaharakati
Catholic

Wote hawakujitokeza siku maandamano yameitishwa
 
Back
Top Bottom