Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 19,687
- 23,689
Naona unaminyana peke yako. Wenzio wako wapi?Sidanganyi ila ndio ukweli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona unaminyana peke yako. Wenzio wako wapi?Sidanganyi ila ndio ukweli
Kama mtaani kwako kumejaa chichiem wasiojielewa njaa mbele unategemea upate maoni gani.Hii ni kweli baada ya mijadala mingi kuzuka hapa jukwaani nikajua Tanzania nzima inapinga na hilo kumbe sio, huko mtaani watu hawana muda kabisa na hilo na kuna machizi fulani wameenza kuweka bendera zisizo tambulika duniani kweye DP zao.
Tetesi nilizopata nikuwa mikakati ya bandari inaenda vizuri sana na hivi karibuni waarabu wataanza kufanya kazi mapema iwezekavyo.
Kakojoe ulaleHii ni kweli baada ya mijadala mingi kuzuka hapa jukwaani nikajua Tanzania nzima inapinga na hilo kumbe sio, huko mtaani watu hawana muda kabisa na hilo na kuna machizi fulani wameenza kuweka bendera zisizo tambulika duniani kweye DP zao.
Tetesi nilizopata nikuwa mikakati ya bandari inaenda vizuri sana na hivi karibuni waarabu wataanza kufanya kazi mapema iwezekavyo.
Yah right. MIKAKATI!! Nyie endeleeni na Mikakati yenu tu. Naona na wewe ni sehemu ya huo Mikakati.Hii ni kweli baada ya mijadala mingi kuzuka hapa jukwaani nikajua Tanzania nzima inapinga na hilo kumbe sio, huko mtaani watu hawana muda kabisa na hilo na kuna machizi fulani wameenza kuweka bendera zisizo tambulika duniani kweye DP zao.
Tetesi nilizopata nikuwa mikakati ya bandari inaenda vizuri sana na hivi karibuni waarabu wataanza kufanya kazi mapema iwezekavyo.
Hii ni kweli baada ya mijadala mingi kuzuka hapa jukwaani nikajua Tanzania nzima inapinga na hilo kumbe sio, huko mtaani watu hawana muda kabisa na hilo na kuna machizi fulani wameenza kuweka bendera zisizo tambulika duniani kweye DP zao.
Tetesi nilizopata nikuwa mikakati ya bandari inaenda vizuri sana na hivi karibuni waarabu wataanza kufanya kazi mapema iwezekavyo.
Na ndio hao wanaovaa bendera za tanganyikaHakuna mtz hata mmoja anaepinga
hata humo mitandaoni ni warundi na wanyarwanda tu wa tz wana shida nchi yao iendelee ila hao niliowataja wakiongozwa na kunyaland ndio wanaleta chokochoko
Sawa Ao la kunguniZao la mande hili
Ila ww japokuwa alimwaga njee bado ukazaliwaHii ni Ajali ya kupasuka Condom
Mkuu hapa panauchochezi sana na uongo mwinginini kimekupata?
Pamoja na wewe mnufaikaYah right. MIKAKATI!! Nyie endeleeni na Mikakati yenu tu. Naona na wewe ni sehemu ya huo Mikakati.
Ila ukweli ndio uhoKakojoe ulale
Na hawajui ilo jambo linaendelea vip watz wengi wapo Facebook na Instagram ila huko kote kuko shwali kelele za walal njaa zipo uku pekeeKuna Tanzania mbili, ile tunayoishi mtaani na ile ya mitandaoni.
Kelele nyingi za kupinga na kutetea mkataba wa DPW zipo mitandaoni ila mtaani pako kimya sana.
Aahahhah wakiongozwa na wew mwenyekitiKama mtaani kwako kumejaa chichiem wasiojielewa njaa mbele unategemea upate maoni gani.
Wapo sema wamewapuuzia wamewatoa akiliNaona unaminyana peke yako. Wenzio wako wapi?
Kwafaida yenu ninyi wabishiHAPO na wewe umewaza uandike takataka kwa faida ya nani?