WAKU-GOOGLE
JF-Expert Member
- Jan 20, 2015
- 950
- 628
Tupe uzoefu ilikushinda katika lipi?Mkuu, nimenunua hii kitu kwa mtu miezi sita iliyopita ikanishinda nikauza niliyemuuzia kapiga mzinga maeneo ya senkenke kwa mbele mwezi uliopita, nilipata mshituko sana nikahisi kama ilikuwa inanitafuta.
.....
Ila jamaa mzima
Mbona siku zote yupo kote kote! Ko mada za magari yupo vizuri na kwenye mambo ya hirizi yupo poa sana piaMshana siku hizi umeacha uganga umeingia kwenye utraffick na mechanics
Siku ukiendesha hii si utapaa maanake hata ukiwa 200kph hujuiHii ngoma inatembea mzee... Vx ikikaa kizembe naipiga kijiko...
Hyo sehem ambayo inaruhusu kupark ist 20 ni wapiHaina jinsi kama unataka kukwepa uniformity katika magari, maana mnaweza kujikuta watu kama 20 wote mmepaki ist.
SUV kama Harrier,RAV4,Kluger,Murano,Xtrail,ikiweza range ya wastani km 9-11 kwa lita 1 kwa highway, hiyo iko poa. Na kwa mjini,ikiweza 7-9 km kwa lita 1 nayo siyo mbaya. Hali zote hizo ikiwa na full ACHivi Mkuu tunapozungumzia ulaji wa mafuta inakula sana au haili kabisa wastani wake ni upi kwa mfano Gari ikiwa ktk mizinguko ya kawaida au safarini iwe kwa wastani wa Lita moja itembee kilomita ngapi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii gari inasimama sh ngapi mkuu ukiagiza? Binafsi napenda Sana harrier sema nilikuwa kaogopa mafuta, sasa Kwa kuwa mafuta sio issue kumbe naweza kuichukua
Kuagiza iishie 15m/-, never. Ila hiyo ya 30m/- sawa. Zile old model ukimvua mtu kwa namba D hapo unaweza kupata ya bei ya 15m/-Zinacheza 15- 30
Jr[emoji769]
Harrier ndo unaenda 200kph au gari gani? Asilimia 99 ya Harrier toleo la kibongobongo Maximum speed 180kph,hiyo 200 umeipataje?140 ni speed?? Mbona me huwa naenda mpk 200 na gari haitikisiki njiani
Ili tukiyaona tuyapishe kwa mbaliWapi picha kwa sisi ambao tunapitaga upande wa watembea kwa miguu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kluger inameza mkuu!! Nimeidalalia juzi,mteja katoa hela nusu! Baada ya kuitumia kidogo ananiambia nifanye mpango arudishe hata Robo tatu ya kiasi alichonipa tuli re-sell!! Hata hizo "Tako la nyani" anazozisema Mshana Jr si zote zinakula mafuta kidogo! Kuna zinazomeza kama majini!! Maana si zote ni vVti engines! Sijui mengi kuhusu hii gari ila nilimuuliza mtaalamu mmoja akaniambi kwa kifupi tu kuwa zipo ambazo ni Hybrid,na ambazo si Hybrid!! Sikumwelewa sana ila ninachoelewa ni kuwa kuna zinazokula mafuta mengi na zisizokula mengi!
Harrier ndo unaenda 200kph au gari gani? Asilimia 99 ya Harrier toleo la kibongobongo Maximum speed 180kph,hiyo 200 umeipataje?
Sent using Jamii Forums mobile app
Control yake mkuu ilipata hitilafu ikawa inafanya mambo ya kichawi, nipo ndani naskia gari inawaka
Mkuu hata zile Lexus RX300 zina tabia sawa na Harrier?
Ukiondoa tako la fulani,je old model zake nazo vipi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ivi mnaposema hii gari ina speed mnazungumzia nini? Ile 180K/h ama?
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimekuelewa mkuu wangu, unakuta barabara ni mkeka umetulia ni lazma uutendee haki.. Nataka nipige chini nitafute Cruser Lx..Duu next time usiende huo mwendo
Jr[emoji769]
Ni ajabu sana. Au hata kama umeamua kuzungumzia kwamba gari inakimbia kwasababu inachanganya haraka, Kwenye dunia hii of all the cars ukitaka kuzungumzia gari inayochanganya haraka unanaiweka HARRIER kwel? hahahhaahHàta mm huwa nashangaa sana haya magari ya kijapan mengi yao huwa yana speed mwisho 180k/h.Sasa huwa najiuliza Magari ya Ulaya utakuta speed mpaka 260k/h.halafu mtu anakuja kusema harrie linakimbia karibu ya kupaa au hujaona aina ya hizi gari!
Sent using Jamii Forums mobile app