Maoni yangu kuhusu gari aina ya Harrier maarufu "Tako la Nyani"

Nyingi sio hybrid bei ya hybrid na Harrier nyingine nitofauti hybrid ni mkasi zaidi
 
Hicho kigari kiliwahi kutaka ligi njia ya bagamoyo Msata, kiukweli ni doro tu mbele myama Brevis, maana kila akijaribu kusogea anaambulia kula moshi tu.., hamna kitu hapo
Mkuu,gari za chini zenye engine kubwa hasa hizi familia ya Brevis,Mark X,Verossa,Athlete ziko chini zinashika sana njia kwa hiyo hata kama kuna kona kutokana na uzito wake,zinachanja mbuga sana. Ila hata hivyo,hizo Harrier nazo ukiondoa kwa sababu ziko juu zinaweza kuwa na kuyumba kidogo,nazo zinatembea sana. Siku zote Sedan ikiwa na uwezo,siyo gari ya kuichezea hata kidogo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hicho kigari kiliwahi kutaka ligi njia ya bagamoyo Msata, kiukweli ni doro tu mbele myama Brevis, maana kila akijaribu kusogea anaambulia kula moshi tu.., hamna kitu hapo
Hizo harrier tuachie michepuko, brevis 300 inanifaa zaidi kuuzia sura hapa mjini
 
Umesema kweli kabisa kaka,, Tanzania watu wananunua magari kwa kuigana na sio kwa kuangalia mahitaji,,
 
Waambie tu ukweli mkuu usiwafiche, Harrier inakimbia sana ila ni nyepesi mno, yaani ni kama vile engine imezidi body....Harrier kuhama njia ni kitu kirahisi mno, na kama uko speed kali na ukakata kona haishiki chini so ni rahisi kupinduka tofauti na Sedan yoyote ile! Mtu anayependa speed kwa kweli simshauri kabisa anunue Harrier

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ila 300 si zile zenye 3000cc? Duuh, hatari sana
Kwa wazoefu tunaweza kupanga vipi ulaji wa mafuta wa gari hizi kuanzia linalokula sana hadi la nafuu
1. Verossa 1G cc 1980
2. Veross 1JZ/2JZ cc 2500
3. Brevis cc 2500 na cc 3000(1JZ/2JZ)-D4
4. Mark X cc 2500 na 3000
5. Crown Athlete na Crown Royal Saloon cv 2500 na 3000.
Please kwa wajuzi watuambie na ukiondoa Athlete,Mark X huwa na shida gani? Naona kama gari iko poa sana. Mwenye ujuzi atujuze

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Kuna jamaa mmoja wa comoro alikuwa anauza yake Milion 10 nikaja nikakutana na mzungu mmoja anauza yake anatafuta hela ya kuondoka kwao milion 6..... Hii gari kwa speed ndiyo mahali pake
Speed na mitochi kila kona. Utaishia kutajirisha wazee wa kurushiana picha kwa whatsapp kwenye road barrier ya mbele
 
Alafu nyingi niza rangi nyeusi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…