Maoni yangu kuhusu gari aina ya Harrier maarufu "Tako la Nyani"

Maoni yangu kuhusu gari aina ya Harrier maarufu "Tako la Nyani"

ume generalize mno mkuu. Haya vx,sijui ma v8 yote si ni Toyota? unasema hayajatulia barabarani? Anyway natafuta Grand vitara , nipe somo kuihusu

Mkuu, kama nilivyosema pale mwanzo ni kuwa toyota nyingi hazijatulia. Ila miongoni mwa chache zilizotulia ni kama hizo vx na v8.

Ngoja nikupe uzoefu wangu kidogo, nilikuwa nimezoea kuendesha SUV nissan ambayo kwa kawaida nimezoea kulala nayo katika kona hata nikiwa above 140, sasa siku moja nikaombwa kuwatoa watu Tanga niwapeleke Dar kwa harrier yao yaani nilijuta. Gari haishiki barabara kabisaaaa katika kona nikahisi kabisa inaweza kutuangusha basi nikawa mpole.

Pamoja na hayo yote, lipo jambo la msingi unapaswa kujua unapotaka kununua gari, je mahitaji yako ni yapi??? Ukijibu swali hili vzr ni rahisi kupata ushauri mzuri wa gari nzuri inayoweza kukufaa.

Mf: Kuna mtu anataka gari yenye hadhi - huyu malengo yake yatakuwa gari mfano v8, vx etc

Mwingine anahitaji gari ambayo ni fuel efficient atachukua gari ya cc ndogo au ambayo ni ya umeme zaidi

Mwingine yeye anajali brand ambayo ni unique

Mwingine anataka gari ambayo ni durable ili aitumie muda mrefu sana

Sasa basi ukiwa unajua unataka nini then unalinganisha na mfuko wako basi unapata kitu roho inapenda.
 
Tunazo gari aina ya nyumbu na hata NIT majuzi kati hapa walitengeneza gari ila limeundwa kwa kutumia ma'grill'.
Ina maana sisi wabongo uwezo wetu umeishia kuyapa magari nick names. Hatuna kabisa mpango au uwezo wa kutengeneza magari ya kwetu na kuyapa majina ya kikwetu ?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sidhani kama kuna sehemu nchi hii kuna crown nyingi kama dodoma aisee,ni balaa.
Kiuhalisia Harrier haina starehe yoyote ile ukitaka starehe inabidi ununue Lexus RX 330 hio ndo luxury version ya harrier ila harrier imependwa na watu wengi sababu Tanzania watu tunaishi kwa kuigana sana mfano wa gari zikizowahi kupendwa Tanzania ni GX ,100, GX110, Mark X, Altezza sasa hivi Crown zimevamiwa sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi wazungu wanaposemaga:

Hairdresser cars.

Soccer mom cars.

Hua wanamaanisha nini?

Boss hii ni perception na mindset tu, hakunaga jinsia kwenye gari, kama ilivyo kwenye nguo kiasi ukivaa sketi mwanaume watu watakushangaa na kukuona kituko.....ndy mana hizo gari unazosema za wanawake wanaume pia huendesha!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nashangaa eti mtu anakwambia 180kph ni ndogo eti anakushauri ununue gari yenye 260kph, sasa unajiuliza unanunua gari uende nayo kwenye rally? Me nijuavyo mtu ukitembea speed ya 160 tu ujue upo katika hatari ya kupoteza maisha incase anything happens. Me binafsi sy muumini wa mibio hata kama nasafiri mbali 100kph nimezidi sana 130kph basi.
Mimi hata hiyo 130 kph sifiki huko nacheza kati ya 95 to 110kph. Bado kama ni Mbeya nawahi vizuri tu. Tatizo ni hizo sehemu nyingi za 50kph. Tanzania tumepoteza maana ya highway.
 
Mkuu Kwny hii list ongezea

Toyota Progress(IJZ-FSE 2.5L na 2JZ-FSE 3.0L)

Toyota celsior(3uz-FE 4.3l) hizi na zenyewe naanza kuziona mjini kiaina hivi).

Kwa wazoefu tunaweza kupanga vipi ulaji wa mafuta wa gari hizi kuanzia linalokula sana hadi la nafuu
1. Verossa 1G cc 1980
2. Veross 1JZ/2JZ cc 2500
3. Brevis cc 2500 na cc 3000(1JZ/2JZ)-D4
4. Mark X cc 2500 na 3000
5. Crown Athlete na Crown Royal Saloon cv 2500 na 3000.
Please kwa wajuzi watuambie na ukiondoa Athlete,Mark X huwa na shida gani? Naona kama gari iko poa sana. Mwenye ujuzi atujuze

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Afadhari umetusaidia taarifa maana wengine tulidhani hizi gari zina tatizo
Ni model ya gari ya Toyota Harrier kizazi cha vvt-i (umeme mwingi mafuta kidogo)... Huku kwetu tunaita new model lakini kimsingi sio new model kwa huko Japan.

Kwa kawaida Harrier ni gari zinazosifika kwa ulaji mbaya wa mafuta lakini model hii TAKO LA NYANI ni tofauti na model nyingine

Uundwaji wake umezingatia starehe zaidi, kasi, nguvu na ulaji mdogo wa mafuta. Hivi vigezo vimewavutia wa bongo wengi mpaka kuifanya ndio gari ya kuuzia sura kwa sasa yani ndio gari inayouza.

Huwezi kukaa dakika kumi mahali yanapopita magari bila kuiona hii gari mpaka sasa inaelekea kuwa kama sare ya taifa

Neno TAKO LA NYANI limetokana na hii gari taa zake za nyuma zilivyo.Yani zimekaa kama makalio ya nyani gendaeka yule mwenye makalio mekundu.

Lakini ni wangapi wanajua hatari za hii gari gumzo la jiji? Kwa taarifa yako ndio gari zinazoongoza kwa ajali zikifuatiwa na Alphard.

Unaweza kudhani zina tatizo lakini shida ni sisi wenyewe. Hatujazoea gari zenye take over kubwa na mwendokasi wa fasta.

Hivyo ndugu zangu kama kuna mwenye mpango wa kununua hii gari azingatie haya wepesi, mwendokasi na nguvu ya hii gari

Jr[emoji769]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom