Maoni yangu kuhusu gari aina ya Harrier maarufu "Tako la Nyani"

Maoni yangu kuhusu gari aina ya Harrier maarufu "Tako la Nyani"

Unaweza kupata pia

Jr[emoji769]
Bro wabongo kuunda gari hawezi, ila kuyabandika majina ni wako noma...[emoji848][emoji848]. Inasemekana waunda magari wanatumia hela nyingi sana kutafutia majina magari wanayounda, hawajastukia kwamba wabongo hii fani ya kupachika majina ndio lake..
We fikiria mara paaaap, unakuta nembo ya gari ni tako la gendaheka, halafu jina la gari tako la nyani..[emoji125][emoji125][emoji125][emoji41][emoji41]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bro wabongo kuunda gari hawezi, ila kuyabandika majina ni wako noma...[emoji848][emoji848]. Inasemekana waunda magari wanatumia hela nyingi sana kutafutia majina magari wanayounda, hawajastukia kwamba wabongo hii fani ya kupachika majina ndio lake..
We fikiria mara paaaap, unakuta nembo ya gari ni tako la gendaheka, halafu jina la gari tako la nyani..[emoji125][emoji125][emoji125][emoji41][emoji41]

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Jr[emoji769]
 
Kiuhalisia Harrier haina starehe yoyote ile ukitaka starehe inabidi ununue Lexus RX 330 hio ndo luxury version ya harrier ila harrier imependwa na watu wengi sababu Tanzania watu tunaishi kwa kuigana sana mfano wa gari zikizowahi kupendwa Tanzania ni GX ,100, GX110, Mark X, Altezza sasa hivi Crown zimevamiwa sana
In short bongo watu wananunua gari kwa upepo, sahivi Mark X imeisha, uelekeo ni Crown, Harrier, Prado na IST. Kila mtu anaeagiza gari analenga humo! Mwanzo ilikuwa Vits na Raum kabla ya upepo kuhamia IST!
 
Kwa wazoefu tunaweza kupanga vipi ulaji wa mafuta wa gari hizi kuanzia linalokula sana hadi la nafuu
1. Verossa 1G cc 1980
2. Veross 1JZ/2JZ cc 2500
3. Brevis cc 2500 na cc 3000(1JZ/2JZ)-D4
4. Mark X cc 2500 na 3000
5. Crown Athlete na Crown Royal Saloon cv 2500 na 3000.
Please kwa wajuzi watuambie na ukiondoa Athlete,Mark X huwa na shida gani? Naona kama gari iko poa sana. Mwenye ujuzi atujuze

Sent using Jamii Forums mobile app
2jz ni 3000cc mzee baba
 
ilibidi wajapani wawape nomenclature department kwa ajili ya gari zao! Maana kuna gari inaitwa kitchen party
Mgongo wa chura je? Unazifahamu hizi VW? au zile vespa za Zenji huku zinaitwa bata V[emoji85][emoji87]

Jr[emoji769]
 
In short bongo watu wananunua gari kwa upepo, sahivi Mark X imeisha, uelekeo ni Crown, Harrier, Prado na IST. Kila mtu anaeagiza gari analenga humo! Mwanzo ilikuwa Vits na Raum kabla ya upepo kuhamia IST!
IST imekaza lakini mwaka wa nne sasa na ushee kampiku Carina Ti

Jr[emoji769]
 
Mshana Jr Mkuu picha tafadhali ya Tako la nyani[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji2093][emoji2093][emoji2093][emoji2093][emoji2093]
 
Mshana Jr Mkuu picha tafadhali ya Tako la nyani[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji2093][emoji2093][emoji2093][emoji2093][emoji2093]
Dah naona hii demand kubwa sana... Haya pozeni kiu yenuView attachment 1048251
baboon.jpeg


Jr[emoji769]
 
Back
Top Bottom