Maoni Yangu Kwenye Tume ya Haki Jinai Juu ya Takukuru

Maoni Yangu Kwenye Tume ya Haki Jinai Juu ya Takukuru

Sweya Makungu

JF-Expert Member
Joined
Jun 11, 2023
Posts
508
Reaction score
601
Maoni yangu kwenye tume ya haki jinai juu ya Takukuru

Tumekuwa tukishuhudia ziara za Viongozi wakubwa, mawaziri au wakuu wa mikoa wakiibua madudu ktk miradi ya serikali na kuagiza Takukuru wafanye uchunguzi!!

Swali langu :

Hivi kwanini Takukuru hawafanyi kuchunguza jambo mpk wapewe maagizo ?

Ina maana bila kupewa maagizo wao wanakuwa kazi yao ni nn? Kwann wasiwe na interijensia yao maalumu ya kubaini madudu kabla hata hawajapewa maagizo !!!

Takukuru waajiri/ wawe na interigency persons( watu wa interijensia-wapelelezi wa Siri) ktk kila idara ili wazitafute taarifa wao wenyewe na kuzifanyia kazi na siyo mpk kusubiri kuletewa au kupewa maagizo..

Yaani Takukuru ipo ndani ya mkoa lkn wanasubiri mpk kiongozi atoke wizarani dodoma aje agundue madudu halafu awape maagizo ya kuchunguza jambo ambalo wapo nalo hapo mkoani Kila siku!!!

Mwl. Makungu m.s
0743781910
 
NAPENDA KUISHUKURU SERIKALI KWA KUUFANYIA KAZI USHAURI WANGU JUU YA TAKUKURU NILIOTOA MWEZI MARCH.

👇👇👇👇👇
Maoni yangu kwenye tume ya haki jinai juu ya Takukuru

Tumekuwa tukishuhudia ziara za Viongozi wakubwa, mawaziri au wakuu wa mikoa wakiibua madudu ktk miradi ya serikali na kuagiza Takukuru wafanye uchunguzi!!


Swali langu :

Hivi kwanini Takukuru hawafanyi kuchunguza jambo mpk wapewe maagizo ?

Ina maana bila kupewa maagizo wao wanakuwa kazi yao ni nn? Kwann wasiwe na interijensia yao maalumu ya kubaini madudu kabla hata hawajapewa maagizo !!!

Takukuru waajiri/ wawe na intelligence persons( watu wa intelijensia-wapelelezi wa Siri) ktk kila idara ili wazitafute taarifa wao wenyewe na kuzifanyia kazi na siyo mpk kusubiri kuletewa au kupewa maagizo..

Yaani Takukuru ipo ndani ya mkoa lkn wanasubiri mpk kiongozi atoke wizarani dodoma aje agundue madudu halafu awape maagizo ya kuchunguza jambo ambalo wapo nalo hapo mkoani Kila siku!!!

Mwl. Makungu m.s
0743781910
 
Ok,ulishauri nini mkuu ili tufuatilie utekelezaji wake?
Takukuru waajiri/ wawe na intelligence persons( watu wa intelijensia-wapelelezi wa Siri) ktk kila idara ili wazitafute taarifa wao wenyewe na kuzifanyia kazi na siyo mpk kusubiri kuletewa au kupewa maagizo..
 
Takukuru waajiri/ wawe na intelligence persons( watu wa intelijensia-wapelelezi wa Siri) ktk kila idara ili wazitafute taarifa wao wenyewe na kuzifanyia kazi na siyo mpk kusubiri kuletewa au kupewa maagizo..
Waanze na 1.7t ya SGR aliyopiga mwigulu na marafiki zake,
 
Back
Top Bottom