Sweya Makungu
JF-Expert Member
- Jun 11, 2023
- 508
- 601
- Thread starter
- #41
Labda , lkn Hatuwezi kupinga maana ushauri ulitoka kabla ya utekelezaji
Siyo kwamba ilitokea kwa coincidence?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siyo kwamba ilitokea kwa coincidence?
Da, kwani hiyo kuletewa maagizo na wakubwa, hao wakubwa wanapataje? kama sio hao hao (intellegensia) wanawapatia. Utasikia kiongozi wa mwenge kagundua madudu kamshauri rais achukua hatua. Ni hao hao wanatuchezea akiri ili tuone kuna uwajibikaji. Ni mpaka kiongozi apite ndio wanawajibika, vinginevyo kama kawaida, Sijui kama kuna tija ktk mfumo huu wa ccmTakukuru waajiri/ wawe na intelligence persons( watu wa intelijensia-wapelelezi wa Siri) ktk kila idara ili wazitafute taarifa wao wenyewe na kuzifanyia kazi na siyo mpk kusubiri kuletewa au kupewa maagizo..
DuuuuuDa, kwani hiyo kuletewa maagizo na wakubwa, hao wakubwa wanapataje? kama sio hao hao wanawapatia. Utasikia kiongozi wa mwenge kagundua madudu kamshauri rais achukua hatua. Ni hao hao wanatuchezea akiri ili tuone kuna uwajibikaji. Sijui kama kuna tija ktk mfumo huu wa ccm
Haya jiulize tu intellegensia hii itaweza kukamata matrafiki wanaochukua rushwa wazi wazi barabarani?Duuuuu
Hatari Sana mkuuHaya jiulize tu intellegensia hii itaweza kukamata matrafiki wanaochukua rushwa wazi wazi barabarani?
Kingine utaperi wa mtandao, wanatuhimiza tutume namba za mataperi, nimetuma sana; sijaona feedback yoyote hapa Tz kwamba kuna taperi wa kimtandao kakamatwa!
Intelligensia zao zinafanya sana kazi kufuatilia vyama vya upinzani na kulinda wanaofaidi keki ya taifa, zaidi ya hapo sijasikia jipya lolote. Nipo pale naangalia mchezo huu.
Hakuna cha bahati mbaya,,Siyo kwamba ilitokea kwa coincidence?
Naam ndugu , Ni hakika kabisaHakuna cha bahati mbaya,,
Kila kitu kinafanyika kwa makusudi.
Mambo mengi Sana yakiletwa hapa yanafanyiwa Kazi.
Hahahahaha Mwabukusi ameshatuwakilishaWashauri sasa wasiuze bandari kwa warabu
SawaHakuna cha bahati mbaya,,
Kila kitu kinafanyika kwa makusudi.
Mambo mengi Sana yakiletwa hapa yanafanyiwa Kazi.