Maoni Yangu Kwenye Tume ya Haki Jinai Juu ya Takukuru

Maoni Yangu Kwenye Tume ya Haki Jinai Juu ya Takukuru

Kama wanayo Basi imefeli Sana. Lkn ninavyojua hawana . Maana yaani huku kwenye idara ,we acha tu.... Tunajua wenyewe
Kwenye idara ni kupokea zigo lote la Intel then kuchambua ili ni hili jambo ambalo ni simple sasa kudili na viini vya Makosa yaliyobainika ni ishu nyingine kifupi nadili na sheria ukimpeleka mtuhumiwa Mahakamani bila kuwa na evidence ni mziki ndg, endelea kuwashauri PCCB kupitia kwa Mh.Rais maana wao pia wana magumu yao siyo malaika
 
Kwenye idara ni kupokea zigo lote la Intel then kuchambua ili ni ili jambo ambalo ni simple sasa kudili na viini vya Manisa yaliyobainika ni ishu nyingine kifupi nadili na sheria ukimpeleka mtuhumiwa Vila kuwa na evidence ni mziki ndg, endelea kuwashauri PCCB kupitia kwa Mh.Raid maana wao pia wana magumu Tao siyo malaika
Ahsante sana mkuu. Upo sawa hakika...
 
Kama wanayo Basi imefeli Sana. Lkn ninavyojua hawana . Maana yaani huku kwenye idara ,we acha tu.... Tunajua wenyewe
Idara nayo imefeli zaidi ya PCCB coz Kama wanatakiwa kunusa na kumpa mraji kwanini wananusa na kula? Intel za CCM tu kujua nani anagombea udiwani ndo wanachojua umbea umbea tu no evidence tulia hivyo hiyvo mkuu
 
Takukuru waajiri/ wawe na intelligence persons( watu wa intelijensia-wapelelezi wa Siri) ktk kila idara ili wazitafute taarifa wao wenyewe na kuzifanyia kazi na siyo mpk kusubiri kuletewa au kupewa maagizo..
Takukuru waajiri/ wawe na intelligence persons( watu wa intelijensia-wapelelezi wa Siri) ktk kila idara ili wazitafute taarifa wao wenyewe na kuzifanyia kazi na siyo mpk kusubiri kuletewa au kupewa maagizo..
Kwani ktk ofisi za idara si kuna watu wa TISS, kwanini wasipeleke taarifa takukuru au polisi.

Pia niambie uliwafikiaje hadi ukawapa ushauri ili namimi nikawape?

Na umejuaje kama ushauri wako umetekelezwa?
 
Idara nayo imefeli zaidi ya PCCB coz Kama wanatakiwa kunusa na kumpa mraji kwanini wananusa na kula? Intel za CCM tu kujua nani anagombea udiwani ndo wanachojua umbea umbea tu no evidence tulia hivyo hiyvo mkuu
Hahahahaaha
 
Kwani ktk ofisi za idara si kuna watu wa TISS, kwanini wasipeleke taarifa takukuru au polisi.

Pia niambie uliwafikiaje hadi ukawapa ushauri ili namimi nikawape?

Na umejuaje kama ushauri wako umetekelezwa?
Ulitolewa muda wa kutoa maoni ktk tume ya Haki jinai namba 0765010229
 
Kwani ktk ofisi za idara si kuna watu wa TISS, kwanini wasipeleke taarifa takukuru au polisi.

Pia niambie uliwafikiaje hadi ukawapa ushauri ili namimi nikawape?

Na umejuaje kama ushauri wako umetekelezwa?
Tulitoa maoni juu ya vyombo vyote vinavyojihusisha na jinai na utoaji haki
 
Kwani ktk ofisi za idara si kuna watu wa TISS, kwanini wasipeleke taarifa takukuru au polisi.

Pia niambie uliwafikiaje hadi ukawapa ushauri ili namimi nikawape?

Na umejuaje kama ushauri wako umetekelezwa?
Bila shaka Jana serikali imetangaza kuajiri watu 800 kuwasambaza kila wilaya kuisaidia takukuru
 
Bila shaka Jana serikali imetangaza kuajiri watu 800 kuwasambaza kila wilaya kuisaidia takukuru
Kwamba hao watu watakuwa wa juzi zaidi ya hawa waliopo tunaokula nao ugali tembele kitaa? Siasa mbaya Sana mkuu Kama umemsikia Mh akiwa anafunga hotuba yake Leo pale Arusha kasema kuwa wanasiasa, Polisi na baadhi ya idara zimetuhumiwa kwa vitendo vya rushwa sasa kashauri watuhumiwa waende kupigwa mdada namna ya kupambana na rushwa kwenye mataifa yaliyo mbele huko kwa mapambano na si kuwa PCCB wawe kipaumbele kwenda kujifunza zaidi. Hii ni chenga
 
Kwamba hao watu watakuwa wa juzi zaidi ya hawa waliopo tunaokula nao ugali tembele kitaa? Siasa mbaya Sana mkuu Kama umemsikia Mh akiwa anafunga hotuba yake Leo pale Arusha kasema kuwa wanasiasa, Polisi na baadhi ya idara zimetuhumiwa kwa vitendo vya rushwa sasa kashauri watuhumiwa waende kupigwa mdada namna ya kupambana na rushwa kwenye mataifa yaliyo mbele huko kwa mapambano na si kuwa PCCB wawe kipaumbele kwenda kujifunza zaidi. Hii ni chenga
Hahahaahhaah hatari Sana
 
JF ndy mtandao unaofatiliwa Sana na watu mbalimbali inchini na nje ya inchi.

Nimejifunza kuwa mtulivu na kuwa makini kwa kila ninacho comment na kupost humu.

Week iliyopo Kuna mtu alileta bandiko la malalamiko kuhusu taa za mbezi mwisho stand kwamba haziwaki kwa siku kadhaa.
na giza limetawala pale stand.

Ajabu nii taa kutengenezwa siku moja baada ya lile bandiko kuletwa humu..

Kwa sasa taa zote zinafanya kazi.
 
JF ndy mtandao unaofatiliwa Sana na watu mbalimbali inchini na nje ya inchi.

Nimejifunza kuwa mtulivu na kuwa makini kwa kila ninacho comment na kupost humu.

Week iliyopo Kuna mtu alileta bandiko la malalamiko kuhusu taa za mbezi mwisho stand kwamba haziwaki kwa siku kadhaa.
na giza limetawala pale stand.

Ajabu nii taa kutengenezwa siku moja baada ya lile bandiko kuletwa humu..

Kwa sasa taa zote zinafanya kazi.
Siyo kwamba ilitokea kwa coincidence?
 
Back
Top Bottom