hp4510
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 7,235
- 7,392
Mimi nadhan huu mradi wa magari ya haraka serikali imeshindwa kuufanya uwe msaada wa wanainchi ambao wanatumia usafiri huu
Usafiri umekuwa wa kero na shida nyingi Sana hasa kuanzia muda wa Saa nane za mchana mpaka saa mbili usiku
Wasafiri wengi wanaachwa wakiwa wapenga folen ndefu Sana na magari yakiwa yamepaki Tu pembeni
Sijui viongozi wanapata Raha gani au furaha gani kuona watu wakiwa wamejaa na gari linapokuja wanaminyana kama magunia ya chumvi
Why kusiwe na magari mengi ambayo yanapakia watu na kwenda na kurudi Kwa haraka kuliko kuacha Abiria wafike 200 then linakuja gari la kubeba Abiria 80 Tu?
Usafiri umekuwa wa kero na shida nyingi Sana hasa kuanzia muda wa Saa nane za mchana mpaka saa mbili usiku
Wasafiri wengi wanaachwa wakiwa wapenga folen ndefu Sana na magari yakiwa yamepaki Tu pembeni
Sijui viongozi wanapata Raha gani au furaha gani kuona watu wakiwa wamejaa na gari linapokuja wanaminyana kama magunia ya chumvi
Why kusiwe na magari mengi ambayo yanapakia watu na kwenda na kurudi Kwa haraka kuliko kuacha Abiria wafike 200 then linakuja gari la kubeba Abiria 80 Tu?