ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 15,265
- 29,991
Mahakama zipo wazi mnajaza savers bure
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Matokeo ni ya simba na nembo inayoliliwa ni ya simba sasa shida iko wapi,au uchungu wa kolo kushindiliwa tano🤪Simba kinachowauma ni logo Yao kutumika au 5 Yao kutumika??
Maana mshaambiwa vyote hivyo ni vyenu
Mkuu wewe ulitakaje kwani yanga hawajawafunga simba sc goli 5????
Ila 5 kwa Thiiimbaaaa Sim5a zinauma sana.
kwani kinakuuma nin?
zile 5-1 ni kweli mlipigwa au Yanga wanatangaza uongo?? TUANZIE HAPO KWANZA
Hauwezi kutumia nembo ya brand ya watu kutaka kuwadhalilisha. Mnatumia kichaka cha "kwani matokeo yaliyowekwa siyo sahihi?", Pilato atawauliza tangu lini mmekuwa na utaratibu wa kutangaza matokeo kwa mabango? Suala hili itaangaliwa "motive" au "nia" nyuma ya tendo husika. Nia ipo wazi kabisa hata jinsi mnavyoongelea suala hili inaonekana.Matokeo ni ya simba na nembo inayoliliwa ni ya simba sasa shida iko wapi,au uchungu wa kolo kushindiliwa tano🤪
Unajiumiza bure hili ungeliacha tu lipite.Nitaelezea kwa ufupi sana maoni yangu ya kisomi kuhusiana na ishu ya mabango ya Yanga yanayoonyesha matokeo ya mechi yake na Simba yaliyopachikwa maeneo mabalimbali Dar es Salaam.
Upande mmoja wamekuja na hoja kuwa walichofanya Yanga ni kuchukua maudhui kutoka Azam TV na walichofanya ni kuyasambaza tu kama yalivyo. Tukumbuke kuwa AzamTV hawawezi kusambaza maudhui ambayo katika graphics wanaorodhesha wadhamini wote wa Yanga. Ile ni graphics iliyotengenezwa na Yanga kwa madhumuni yao wenyewe. Unataka kuniambia Azam waliweka 1 ndogo na 5 kubwaaa kama lile bango linavyoonyesha? Ukiwaambia Yanga watoe uthibitisho wa video ya Azam waliyotoa kile kinachoonekana katika lile bango hawawezi kukuonyesha.
Ukitumia hoja ya haki ya timu kusambaza habari na matokeo yake kama ambavyo timu zimekuwa zinafanya kwenye mitandao ya kijamii, swali linaweza kuja, ni lini Yanga wamekuwa na utaratibu wa kutangaza matokeo ya mechi zao kwa njia ya mabango? Tukipata mifano mingine sawa, kama hakuna kesi inaendelea. Nina uhakika mikataba ya Azam na vilabu vyote inaonyesha ni maeneo na jinsi gani timu zote zinaweza kutumia maudhui ya ligi bila kuathiri haki za timu pinzani.
Hili suala linarudi hadi katika ile makala ya mwisho wa msimu uliopita, sidhani kama Yanga walifuata taratibu zote stahiki kutumia maudhui yote kutoka kwa wahusika wote ikiwemo Simba. Tukiamua kufukua makaburi, hata kwenye ile makala ambayo mpaka leo inaingiza pesa AZAM TV, Simba wanaweza kulipwa fidia.
Kama tumetoka kupiga kelele wale wanaotengeneza jezi feki bila idhini ya wahusika, hili tukiliacha lipite, kesho au keshokutwa kuna watu watatengeneza vyupi wataweka nembo ya mpinzani wake na matokeo yao halafu watasema wametoa Azam TV.
5a5a kwa Nini tu5iweke?Naskia na Dodoma wanaweka n kweli?
Kumbe ni hivyoSimba kinachowauma ni logo Yao kutumika au 5 Yao kutumika??
Maana mshaambiwa vyote hivyo ni vyenu
Mkuu nadhani ingekua busara zaidi ungetumia maono yako makini kwa ajili ya maslahi yako binafsi na kama itawezekana kwa ajili ya chama lako pendwa la msimbazi. Naamini wewe na familia yako mtafaidika pamoja na chama lakoYanga siku zote nawaambia huwa mna mitazamo ya muda mfupi inayoendeshwa na mihemko. Hamfikirii lile mnalolitetea au kilipinga leo kesho linaweza kuwadhuru hata nyie wenyewe. Mnaendeshwa kama hamnazo.
Mkuu kama unaweka rekodi sawa kwa kizazi kijacho ungeweka na picha ya bango lenyewe for the referenceNajua hakuna atakayekwenda mahakamani ila ni muhimu rekodi zikawekwa sawa ili siku nyingine meza ikigeuka wasilielie. Vina muda basiii?
Hata wewe una haki na wajibu wa kwenda mahakamani unakwama wapiNajua hakuna atakayekwenda mahakamani ila ni muhimu rekodi zikawekwa sawa ili siku nyingine meza ikigeuka wasilielie. Vina muda basiii?
Ninyi mulionazo mangungu akawaletea manzoki kwenye uchaguzi na kwa usmart wenu mukampigia kura kwa ajili hiyoYanga siku zote nawaambia huwa mna mitazamo ya muda mfupi inayoendeshwa na mihemko. Hamfikirii lile mnalolitetea au kilipinga leo kesho linaweza kuwadhuru hata nyie wenyewe. Mnaendeshwa kama hamnazo.
Dunia haiishi vituko eti wewe nawe uifilisi yangaHauwezi kutumia nembo ya brand ya watu kutaka kuwadhalilisha. Mnatumia kichaka cha "kwani matokeo yaliyowekwa siyo sahihi?", Pilato atawauliza tangu lini mmekuwa na utaratibu wa kutangaza matokeo kwa mabango? Suala hili itaangaliwa "motive" au "nia" nyuma ya tendo husika. Nia ipo wazi kabisa hata jinsi mnavyoongelea suala hili inaonekana.
Tungewafilisi kuku nyie, mshukuru tu mamluki na vikondoo vimejaa kwenye safu ya uongozi pale Simba