Maoni yangu ya kisomi kuhusu mabango ya Yanga

Maoni yangu ya kisomi kuhusu mabango ya Yanga

Nitaelezea kwa ufupi sana maoni yangu ya kisomi kuhusiana na ishu ya mabango ya Yanga yanayoonyesha matokeo ya mechi yake na Simba yaliyopachikwa maeneo mabalimbali Dar es Salaam.

Upande mmoja wamekuja na hoja kuwa walichofanya Yanga ni kuchukua maudhui kutoka Azam TV na walichofanya ni kuyasambaza tu kama yalivyo. Tukumbuke kuwa AzamTV hawawezi kusambaza maudhui ambayo katika graphics wanaorodhesha wadhamini wote wa Yanga. Ile ni graphics iliyotengenezwa na Yanga kwa madhumuni yao wenyewe. Unataka kuniambia Azam waliweka 1 ndogo na 5 kubwaaa kama lile bango linavyoonyesha? Ukiwaambia Yanga watoe uthibitisho wa video ya Azam waliyotoa kile kinachoonekana katika lile bango hawawezi kukuonyesha.

Ukitumia hoja ya haki ya timu kusambaza habari na matokeo yake kama ambavyo timu zimekuwa zinafanya kwenye mitandao ya kijamii, swali linaweza kuja, ni lini Yanga wamekuwa na utaratibu wa kutangaza matokeo ya mechi zao kwa njia ya mabango? Tukipata mifano mingine sawa, kama hakuna kesi inaendelea. Nina uhakika mikataba ya Azam na vilabu vyote inaonyesha ni maeneo na jinsi gani timu zote zinaweza kutumia maudhui ya ligi bila kuathiri haki za timu pinzani.

Hili suala linarudi hadi katika ile makala ya mwisho wa msimu uliopita, sidhani kama Yanga walifuata taratibu zote stahiki kutumia maudhui yote kutoka kwa wahusika wote ikiwemo Simba. Tukiamua kufukua makaburi, hata kwenye ile makala ambayo mpaka leo inaingiza pesa AZAM TV, Simba wanaweza kulipwa fidia.

Kama tumetoka kupiga kelele wale wanaotengeneza jezi feki bila idhini ya wahusika, hili tukiliacha lipite, kesho au keshokutwa kuna watu watatengeneza vyupi wataweka nembo ya mpinzani wake na matokeo yao halafu watasema wametoa Azam TV.
Kuondokana na sintofahamu hii iliyoketwa na mabango, uongozi wa Simba uijenge timu isipate kipigo kama hicho tena. Ikumbukwe msemaji wao Simba, kila mara amekuwa akitumia maneno na lugha ya kuidhihaki Young katika mikutano yake na wana habari. Wakereke tu hadi akili iwarudie.

MKUKI KWA NGURUWE
 
Nitaelezea kwa ufupi sana maoni yangu ya kisomi kuhusiana na ishu ya mabango ya Yanga yanayoonyesha matokeo ya mechi yake na Simba yaliyopachikwa maeneo mabalimbali Dar es Salaam.

Upande mmoja wamekuja na hoja kuwa walichofanya Yanga ni kuchukua maudhui kutoka Azam TV na walichofanya ni kuyasambaza tu kama yalivyo. Tukumbuke kuwa AzamTV hawawezi kusambaza maudhui ambayo katika graphics wanaorodhesha wadhamini wote wa Yanga. Ile ni graphics iliyotengenezwa na Yanga kwa madhumuni yao wenyewe. Unataka kuniambia Azam waliweka 1 ndogo na 5 kubwaaa kama lile bango linavyoonyesha? Ukiwaambia Yanga watoe uthibitisho wa video ya Azam waliyotoa kile kinachoonekana katika lile bango hawawezi kukuonyesha.

Ukitumia hoja ya haki ya timu kusambaza habari na matokeo yake kama ambavyo timu zimekuwa zinafanya kwenye mitandao ya kijamii, swali linaweza kuja, ni lini Yanga wamekuwa na utaratibu wa kutangaza matokeo ya mechi zao kwa njia ya mabango? Tukipata mifano mingine sawa, kama hakuna kesi inaendelea. Nina uhakika mikataba ya Azam na vilabu vyote inaonyesha ni maeneo na jinsi gani timu zote zinaweza kutumia maudhui ya ligi bila kuathiri haki za timu pinzani.

Hili suala linarudi hadi katika ile makala ya mwisho wa msimu uliopita, sidhani kama Yanga walifuata taratibu zote stahiki kutumia maudhui yote kutoka kwa wahusika wote ikiwemo Simba. Tukiamua kufukua makaburi, hata kwenye ile makala ambayo mpaka leo inaingiza pesa AZAM TV, Simba wanaweza kulipwa fidia.

Kama tumetoka kupiga kelele wale wanaotengeneza jezi feki bila idhini ya wahusika, hili tukiliacha lipite, kesho au keshokutwa kuna watu watatengeneza vyupi wataweka nembo ya mpinzani wake na matokeo yao halafu watasema wametoa Azam TV.
Umeeleweka dugu!
 
Nitaelezea kwa ufupi sana maoni yangu ya kisomi kuhusiana na ishu ya mabango ya Yanga yanayoonyesha matokeo ya mechi yake na Simba yaliyopachikwa maeneo mabalimbali Dar es Salaam.

Upande mmoja wamekuja na hoja kuwa walichofanya Yanga ni kuchukua maudhui kutoka Azam TV na walichofanya ni kuyasambaza tu kama yalivyo. Tukumbuke kuwa AzamTV hawawezi kusambaza maudhui ambayo katika graphics wanaorodhesha wadhamini wote wa Yanga. Ile ni graphics iliyotengenezwa na Yanga kwa madhumuni yao wenyewe. Unataka kuniambia Azam waliweka 1 ndogo na 5 kubwaaa kama lile bango linavyoonyesha? Ukiwaambia Yanga watoe uthibitisho wa video ya Azam waliyotoa kile kinachoonekana katika lile bango hawawezi kukuonyesha.

Ukitumia hoja ya haki ya timu kusambaza habari na matokeo yake kama ambavyo timu zimekuwa zinafanya kwenye mitandao ya kijamii, swali linaweza kuja, ni lini Yanga wamekuwa na utaratibu wa kutangaza matokeo ya mechi zao kwa njia ya mabango? Tukipata mifano mingine sawa, kama hakuna kesi inaendelea. Nina uhakika mikataba ya Azam na vilabu vyote inaonyesha ni maeneo na jinsi gani timu zote zinaweza kutumia maudhui ya ligi bila kuathiri haki za timu pinzani.

Hili suala linarudi hadi katika ile makala ya mwisho wa msimu uliopita, sidhani kama Yanga walifuata taratibu zote stahiki kutumia maudhui yote kutoka kwa wahusika wote ikiwemo Simba. Tukiamua kufukua makaburi, hata kwenye ile makala ambayo mpaka leo inaingiza pesa AZAM TV, Simba wanaweza kulipwa fidia.

Kama tumetoka kupiga kelele wale wanaotengeneza jezi feki bila idhini ya wahusika, hili tukiliacha lipite, kesho au keshokutwa kuna watu watatengeneza vyupi wataweka nembo ya mpinzani wake na matokeo yao halafu watasema wametoa Azam TV.
Kama huu ndio usomi wenyewe basi Taifa lina msiba.
 
Yanga ni timu fulani ya kiswahili sana, yani malengo yao makubwa ni kuifunga Simba.
Yani kuifunga Simba ( Club kubwa) imekua nongwa ivo? Hawa jamaa ni amateur
Kuchukuwa ubingwa Mara mbili mfululizo siyo malengo? Kufika fainali ya CAF siyo malengo?

Kuwafunga Simba 5G ndio malengo kuelekea kuchukuwa ubingwa tena.
 
Kuondokana na sintofahamu hii iliyoketwa na mabango, uongozi wa Simba uijenge timu isipate kipigo kama hicho tena. Ikumbukwe msemaji wao Simba, kila mara amekuwa akitumia maneno na lugha ya kuidhihaki Young katika mikutano yake na wana habari. Wakereke tu hadi akili iwarudie.

MKUKI KWA NGURUWE
Hivi kibegi chao kimeishia wapi?
 
Nitaelezea kwa ufupi sana maoni yangu ya kisomi kuhusiana na ishu ya mabango ya Yanga yanayoonyesha matokeo ya mechi yake na Simba yaliyopachikwa maeneo mabalimbali Dar es Salaam.

Upande mmoja wamekuja na hoja kuwa walichofanya Yanga ni kuchukua maudhui kutoka Azam TV na walichofanya ni kuyasambaza tu kama yalivyo. Tukumbuke kuwa AzamTV hawawezi kusambaza maudhui ambayo katika graphics wanaorodhesha wadhamini wote wa Yanga. Ile ni graphics iliyotengenezwa na Yanga kwa madhumuni yao wenyewe. Unataka kuniambia Azam waliweka 1 ndogo na 5 kubwaaa kama lile bango linavyoonyesha? Ukiwaambia Yanga watoe uthibitisho wa video ya Azam waliyotoa kile kinachoonekana katika lile bango hawawezi kukuonyesha.

Ukitumia hoja ya haki ya timu kusambaza habari na matokeo yake kama ambavyo timu zimekuwa zinafanya kwenye mitandao ya kijamii, swali linaweza kuja, ni lini Yanga wamekuwa na utaratibu wa kutangaza matokeo ya mechi zao kwa njia ya mabango? Tukipata mifano mingine sawa, kama hakuna kesi inaendelea. Nina uhakika mikataba ya Azam na vilabu vyote inaonyesha ni maeneo na jinsi gani timu zote zinaweza kutumia maudhui ya ligi bila kuathiri haki za timu pinzani.

Hili suala linarudi hadi katika ile makala ya mwisho wa msimu uliopita, sidhani kama Yanga walifuata taratibu zote stahiki kutumia maudhui yote kutoka kwa wahusika wote ikiwemo Simba. Tukiamua kufukua makaburi, hata kwenye ile makala ambayo mpaka leo inaingiza pesa AZAM TV, Simba wanaweza kulipwa fidia.

Kama tumetoka kupiga kelele wale wanaotengeneza jezi feki bila idhini ya wahusika, hili tukiliacha lipite, kesho au keshokutwa kuna watu watatengeneza vyupi wataweka nembo ya mpinzani wake na matokeo yao halafu watasema wametoa Azam TV.
Yanga ni weupe kwenye sheria hawajui sheria ni pana ndio maana nilikuwa nawaangalia tu kwenye mitandao wanapotapa tapa ila hapo kisheria hawatoki.
 
Yanga ni weupe kwenye sheria hawajui sheria ni pana ndio maana nilikuwa nawaangalia tu kwenye mitandao wanapotapa tapa ila hapo kisheria hawatoki.
Week sasa imeisha hakuna kesi wala tamko mnakomaa JF utadhani kuna mahakama humu
 
Bonyeza link hiyo kujiunga 👇👇👇👇👇👇👇
Umekata tamaa na Betting na ujui njia gan utumia kupata pesa kwajili ya kukupa Ada, KUNUNUA nguo, nakulipa Kodi ya nyumba inbox nikuunge watu wengi walio jiunga wameanza kuona faida ya kubet mtaji wa 1,000 unatosha kabisa
 
Hauwezi kutumia nembo ya brand ya watu kutaka kuwadhalilisha. Mnatumia kichaka cha "kwani matokeo yaliyowekwa siyo sahihi?", Pilato atawauliza tangu lini mmekuwa na utaratibu wa kutangaza matokeo kwa mabango? Suala hili itaangaliwa "motive" au "nia" nyuma ya tendo husika. Nia ipo wazi kabisa hata jinsi mnavyoongelea suala hili inaonekana.

Tungewafilisi kuku nyie, mshukuru tu mamluki na vikondoo vimejaa kwenye safu ya uongozi pale Simba
Kila jambo lina mwanzo wake, mabango yameanza baada ya mechi ya simba, halafu ndugu msomi hewa hakuna tofauti bango hilo kuwekwa kwenye billboards au kwenye platform za social media acheni ishamba
 
Kila jambo lina mwanzo wake, mabango yameanza baada ya mechi ya simba, halafu ndugu msomi hewa hakuna tofauti bango hilo kuwekwa kwenye billboards au kwenye platform za social media acheni ishamba
Kweli dunia ina maajabu. Wewe ndiyo wa kuniita mi mshamba na msomi hewa? Yani wewe huyoo?
 
Nitaelezea kwa ufupi sana maoni yangu ya kisomi kuhusiana na ishu ya mabango ya Yanga yanayoonyesha matokeo ya mechi yake na Simba yaliyopachikwa maeneo mabalimbali Dar es Salaam.

Upande mmoja wamekuja na hoja kuwa walichofanya Yanga ni kuchukua maudhui kutoka Azam TV na walichofanya ni kuyasambaza tu kama yalivyo. Tukumbuke kuwa AzamTV hawawezi kusambaza maudhui ambayo katika graphics wanaorodhesha wadhamini wote wa Yanga. Ile ni graphics iliyotengenezwa na Yanga kwa madhumuni yao wenyewe. Unataka kuniambia Azam waliweka 1 ndogo na 5 kubwaaa kama lile bango linavyoonyesha? Ukiwaambia Yanga watoe uthibitisho wa video ya Azam waliyotoa kile kinachoonekana katika lile bango hawawezi kukuonyesha.

Ukitumia hoja ya haki ya timu kusambaza habari na matokeo yake kama ambavyo timu zimekuwa zinafanya kwenye mitandao ya kijamii, swali linaweza kuja, ni lini Yanga wamekuwa na utaratibu wa kutangaza matokeo ya mechi zao kwa njia ya mabango? Tukipata mifano mingine sawa, kama hakuna kesi inaendelea. Nina uhakika mikataba ya Azam na vilabu vyote inaonyesha ni maeneo na jinsi gani timu zote zinaweza kutumia maudhui ya ligi bila kuathiri haki za timu pinzani.

Hili suala linarudi hadi katika ile makala ya mwisho wa msimu uliopita, sidhani kama Yanga walifuata taratibu zote stahiki kutumia maudhui yote kutoka kwa wahusika wote ikiwemo Simba. Tukiamua kufukua makaburi, hata kwenye ile makala ambayo mpaka leo inaingiza pesa AZAM TV, Simba wanaweza kulipwa fidia.

Kama tumetoka kupiga kelele wale wanaotengeneza jezi feki bila idhini ya wahusika, hili tukiliacha lipite, kesho au keshokutwa kuna watu watatengeneza vyupi wataweka nembo ya mpinzani wake na matokeo yao halafu watasema wametoa Azam TV.
Bado haujasemaaa
 
Semeni na hapo
IMG-20231108-WA0003.jpg
 
Back
Top Bottom