Maoni yangu ya kisomi kuhusu mabango ya Yanga

Simba kinachowauma ni logo Yao kutumika au 5 Yao kutumika??

Maana mshaambiwa vyote hivyo ni vyenu
Matokeo ni ya simba na nembo inayoliliwa ni ya simba sasa shida iko wapi,au uchungu wa kolo kushindiliwa tano🤪
 
Mkuu wewe ulitakaje kwani yanga hawajawafunga simba sc goli 5????

Ila 5 kwa Thiiimbaaaa Sim5a zinauma sana.

kwani kinakuuma nin?

zile 5-1 ni kweli mlipigwa au Yanga wanatangaza uongo?? TUANZIE HAPO KWANZA

Matokeo ni ya simba na nembo inayoliliwa ni ya simba sasa shida iko wapi,au uchungu wa kolo kushindiliwa tano🤪
Hauwezi kutumia nembo ya brand ya watu kutaka kuwadhalilisha. Mnatumia kichaka cha "kwani matokeo yaliyowekwa siyo sahihi?", Pilato atawauliza tangu lini mmekuwa na utaratibu wa kutangaza matokeo kwa mabango? Suala hili itaangaliwa "motive" au "nia" nyuma ya tendo husika. Nia ipo wazi kabisa hata jinsi mnavyoongelea suala hili inaonekana.

Tungewafilisi kuku nyie, mshukuru tu mamluki na vikondoo vimejaa kwenye safu ya uongozi pale Simba
 
Unajiumiza bure hili ungeliacha tu lipite.
 
Adui yako mkubwa unapomshinda utasheherekea. Duniani hapa yanga hana adui yeyote isipokuwa tu simba. Simba ni adui namba moja wa yanga, na anapomtesa hufurahi.

Ulitaka yanga afurahi kumfunga al Ahly au Mamelodi kuliko kumfumua simba?

Simba ni adui no moja wa yanga, na itakua hivyo milele.
 
Yanga siku zote nawaambia huwa mna mitazamo ya muda mfupi inayoendeshwa na mihemko. Hamfikirii lile mnalolitetea au kilipinga leo kesho linaweza kuwadhuru hata nyie wenyewe. Mnaendeshwa kama hamnazo.
Mkuu nadhani ingekua busara zaidi ungetumia maono yako makini kwa ajili ya maslahi yako binafsi na kama itawezekana kwa ajili ya chama lako pendwa la msimbazi. Naamini wewe na familia yako mtafaidika pamoja na chama lako
 
Ila kweli yanga tumebugi

Maana wao ndo walikuwa wenyeji wetu mchezo ulikuwa wa kwao wakalipwa wao, wakala 5 zao

Tulipaswa kuwaomba kutundika hayo mabango ila tunafanya kuwakera tu wakereke weeeee wapigane

Maana wamefarakana hakuna yeyote wa kwenda Mahakamani akienda watambana fedha badala ya kusajiri uanze kusumbuka na kesi , unaanza kesi mara puuu asec hawahapa wanakuchapa 5 mzuka [emoji2][emoji2][emoji2]
 
Yanga ni timu fulani ya kiswahili sana, yani malengo yao makubwa ni kuifunga Simba.
Yani kuifunga Simba ( Club kubwa) imekua nongwa ivo? Hawa jamaa ni amateur
 
Fungueni mashtaka wanaouza cover za simu zenye nembo ya Simba bila makubaliano.
Na huyu wa vikombe faini 100M
 
Yanga siku zote nawaambia huwa mna mitazamo ya muda mfupi inayoendeshwa na mihemko. Hamfikirii lile mnalolitetea au kilipinga leo kesho linaweza kuwadhuru hata nyie wenyewe. Mnaendeshwa kama hamnazo.
Ninyi mulionazo mangungu akawaletea manzoki kwenye uchaguzi na kwa usmart wenu mukampigia kura kwa ajili hiyo
 
Dunia haiishi vituko eti wewe nawe uifilisi yanga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…